Tanzania Yapanda Katika Orodha Ya Timu Bora FIFA

Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA) limetangaza orodha mpya ya timu bora duniani kwa mwaka 2026, ambapo Tanzania imepanda nafasi, ikiendelea kuimarisha hadhi yake katika soka la kimataifa. Orodha hiyo imeathiriwa kwa kiasi kikubwa na matokeo ya Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025.

Morocco wameongoza kwa kupanda kwa kiwango kikubwa zaidi barani Afrika, wakifikia nafasi ya nane duniani licha ya kupoteza fainali ya AFCON dhidi ya Senegal. Senegal nao wamepanda hadi nafasi ya 12 kutoka nafasi ya 17 waliyokuwa nayo mwaka 2024. Morocco mwaka jana walikuwa nafasi ya 11, huku nafasi yao bora kuwahi kushika ikiwa ya 10 mwaka 1998.

READ Also  Anti-Terror Police Kill Several Suspected Terrorists While Attempting To Enter Kenya

Kwa timu nyingine za Afrika, Nigeria waliomaliza nafasi ya tatu AFCON wameorodheshwa nafasi ya 26, Misri wako nafasi ya 31, Cameroon nafasi ya 45, huku Gabon wakishuka hadi nafasi ya 86 baada ya kutolewa mapema. Katika orodha ya jumla, Hispania wanaongoza duniani wakifuatiwa na Argentina, Ufaransa, England na Brazil, huku Ureno na Uholanzi wakishika nafasi ya sita na saba mtawalia.

  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    Update: Ndindi Nyoro Wins Big

    Glad to have received great leaders joining the People’s Party today. We received; Hon Esther Irungu – MCA, Kiambu County. Hon Anthony Marubu (Manucho) – Currently MCA in Murang’a. Both…

    Read more

    • MiltonMilton
    • News
    • August 18, 2026
    • 4 views
    • 2 minutes Read
    Update: Okoth Obado In Court Again

    Convicted former Migori Governor Okoth Obado and his co-convicts are set to return to the Milimani High Court today for a virtual mention in the highly scrutinised Sharon Otieno murder…

    Read more

    You Missed

    Update: Ndindi Nyoro Wins Big

    • By Milton
    • August 18, 2026
    • 2 views
    Update: Ndindi Nyoro Wins Big

    Update: Okoth Obado In Court Again

    • By Milton
    • August 18, 2026
    • 4 views
    Update: Okoth Obado In Court Again

    WAFCON 2026 AWARD WINNERS

    • By Milton
    • August 18, 2026
    • 4 views
    WAFCON 2026 AWARD WINNERS

    Weather Forecast For 18th to 24th August 2026

    • By Milton
    • August 18, 2026
    • 7 views
    Weather Forecast For 18th to 24th August 2026

    Opinion: Ruto’s Top Leaders Who Will Ditch Him

    • By Milton
    • August 18, 2026
    • 9 views
    Opinion: Ruto’s Top Leaders Who Will Ditch Him

    π—”π—‘π—”π—Ÿπ—¬π—¦π—œπ—¦: Iran Uses Low-Cost Drones to Pressure U.S. Air Defenses

    • By Milton
    • August 15, 2026
    • 14 views
    π—”π—‘π—”π—Ÿπ—¬π—¦π—œπ—¦: Iran Uses Low-Cost Drones to Pressure U.S. Air Defenses