Tazama Alichokifanya Vinícius Júnior Baada Ya Kufunga Mabao Mawili Dhidi Ya Atlético Madrid Katika Uwanja Wa Santiago Bernabéu

HII NI KAMA FILAMU YA KWELI!

Vinícius Júnior baada ya kufunga mabao mawili dhidi ya Atlético Madrid katika uwanja wa Santiago Bernabéu Stadium, alitengeneza tukio la kukumbukwa sana kama filamu.

Miezi michache iliyopita, Diego Simeone (Cholo) alimwambia Vinícius kuwa Florentino Pérez angeweza kumfukuza, na pia akamwonyesha ishara ya kusikiliza jinsi mashabiki wa Real Madrid walivyokuwa wakimzomea.

Lakini katika mechi hii, Vinícius alijibu kwa vitendo alifunga mabao mawili na kuipa ushindi Real Madrid dhidi ya Atlético Madrid ya Simeone. Kwenye style ya kusherehekea ya mabao yake, alirudia ile ishara ya “sikiliza”… safari hii akiwaambia wasikie jinsi mashabiki wa Bernabéu wanavyomshangilia kwa nguvu.

READ Also  At 89, Lawyer John Khaminwa Continues To Practice Law With Enviable Clarity

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

Football Titbits Across The Papers

Arsenal eye Morgan Rogers, Paris St-Germain to rival Liverpool for Yan Diomande, Roberto de Zerbi eyes raid on former club Brighton and Jack Grealish will get chance to revive Man…

Read more

Today’s KPL matchday

KPL matchday! 2pm | Mara Sugar FC vs Gor Mahia FC at ROSH in Homa Bay 3pm | Sofapaka FC vs KCB Football Club at Kasarani Annex 4pm | Ulinzi…

Read more

You Missed

Football Titbits Across The Papers

  • By Milton
  • May 27, 2026
  • 5 views
Football Titbits Across The Papers

Today’s KPL matchday

  • By Milton
  • May 27, 2026
  • 7 views
Today’s KPL matchday

Update: Iranian State Media Releases This Images

  • By Milton
  • May 27, 2026
  • 8 views
Update: Iranian State Media Releases This Images

Why Mt Kenya People Should Stop Demonstrating

  • By Milton
  • May 25, 2026
  • 7 views
Why Mt Kenya People Should Stop Demonstrating

Update: Njugush And Wakavinye Are Allegedly Back Together

  • By Milton
  • May 25, 2026
  • 12 views
Update: Njugush And Wakavinye Are Allegedly Back Together

Football Titbits Across The Papers

  • By Milton
  • May 25, 2026
  • 10 views
Football Titbits Across The Papers