Rais wa Guinea-Bissau, Umaro Sissoco Embaló Apinduliwa

Rais wa Guinea-Bissau, Umaro Sissoco Embaló amepinduliwa. Rais Umaro ameripotiwa kukamatwa na maafisa wa kijeshi baada ya milio ya risasi kusikika katika mji mkuu, Bissau kwa siku 3 mfululizo. Shirika la habari la BBC limeripoti kwamba Rais huyo ametiwa mbaroni na maafisa wa kijeshi na kwa sasa yupo chini ya ulinzi.

Brigedia Jenerali Denis N’Canha, mkuu wa Brigedi ya kijeshi mjini Bisau amehutubia kupitia televisheni ya taifa na kutangaza kuwa jeshi limechukua madaraka. Jenerali N’Canha amesema askari wote wa kikosi cha ulinzi cha Rais wamekamatwa pamoja na mawaziri kadhaa.

Kabla ya Jeshi kutangaza mapinduzi hayo, Rais Sissoco alipiga simu kwenye kituo cha televisheni cha France 24 kilichopo Ufaransa kwa sauti ya kutetemeka na kusema: “Nimewekwa chini ya ulinzi, nimeondolewa madarakani” kabla ya simu hiyo kukatwa ghafla.

READ Also  UPDATE: Kisumu Woman Rep Ruth Odinga Calls For Unity As The Luo People’s Currency Of Future negotiation.

Guinea-Bissau ilikuwa ikisubiri matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika Jumapili, ambapo mgombea mkuu wa upinzani Fernando Dias alienguliwa katika orodha ya wagombea ili kumfanya Rais Umaro ashinde kirahisi.

Jenerali N’Canha ametangaza kufutilia mbali matokeo ya awali ya uchaguzi yaliyoonyesha kumpa ushindi Rais Umaro kwa zaidi ya 90% na amesema uchaguzi huo ulijaa udanganyifu mkubwa. Jenerali N’Canha ametangaza kufunga mipaka ya nchi, huku akiwataka wananchi wabaki watulivu. Pia ameeleza kuwa Jeshi litaongoza nchi hiyo kwa muda mfupi ili kurejesha hali ya utulivu kabla ya kuandaa uchaguzi huru na wa haki.

Rais Umaro alikuwa Rais wa kwanza Afrika kumpongeza Rais Samia baada ya matokeo ya uchaguzi wa Tanzania kutangazwa. Kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter (X) Rais Umaro alipost picha akiwa na Rais Samia na kuandika maneno yafuatayo: “Napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa Rais Samia Suluhu kwa kuchaguliwa tena. Ushindi huu ni ushahidi wa imani ambayo wananchi wa Tanzania wamempa na ni kielelezo cha dhamira yake thabiti ya kuendeleza na kustawisha Tanzania.”

READ Also  2 Women Found Dead, Mamelodi

Nini maoni yako??

  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    Mamdani’s Snowball Insanity: NYC Mayor Refuses Charges After Mob Assaults Cops with Ice

    In the aftermath of a historic blizzard, a viral “snowball fight” in Washington Square Park turned ugly fast. A mob—far from innocent kids—pelted responding NYPD officers with snow packed with…

    Read more

    “I’M WITNESSING IT WITH MY OWN EYES”: California Border Town Resident Praises Trump’s SOTU Success

    The reviews are coming in from the people who matter most—the American citizens living on the front lines. A C-SPAN caller from a California border town just delivered a glowing…

    Read more

    You Missed

    Mamdani’s Snowball Insanity: NYC Mayor Refuses Charges After Mob Assaults Cops with Ice

    • By Milton
    • February 25, 2026
    • 13 views
    Mamdani’s Snowball Insanity: NYC Mayor Refuses Charges After Mob Assaults Cops with Ice

    “I’M WITNESSING IT WITH MY OWN EYES”: California Border Town Resident Praises Trump’s SOTU Success

    • By Milton
    • February 25, 2026
    • 13 views
    “I’M WITNESSING IT WITH MY OWN EYES”: California Border Town Resident Praises Trump’s SOTU Success

    Update: Cuban Forces Kill 4 Americans In Fiery Shootout Off Florida-Registered Speedboat

    • By Milton
    • February 25, 2026
    • 13 views
    Update: Cuban Forces Kill 4 Americans In Fiery Shootout Off Florida-Registered Speedboat

    A Former Prime Minister Who Was Named In The Epstein Files Has Been Rushed To Hospital After An Alleged Suicide Attempt

    • By Milton
    • February 25, 2026
    • 11 views
    A Former Prime Minister Who Was Named In The Epstein Files Has Been Rushed To Hospital After An Alleged Suicide Attempt

    Former Prime Minister Gordon Brown Has Given A Stark Warning, About If Reform Are Elected Ahead Of A Key By-election

    • By Milton
    • February 25, 2026
    • 11 views
    Former Prime Minister Gordon Brown Has Given A Stark Warning, About If Reform Are Elected Ahead Of A Key By-election

    Drama! Kampala Businesswoman Caught Red Handed Cheating On Her Rich Husband With Her Brother-In-Law – Shocking Testimony

    • By Milton
    • February 25, 2026
    • 19 views
    Drama! Kampala Businesswoman Caught Red Handed Cheating On Her Rich Husband With Her Brother-In-Law – Shocking Testimony