Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es salaam.

Kesi hiyo imepangwa leo Septemba 8 kwa ajili ya usikilizwaji wa awali mbele ya Jaji Dunstan Ndunguru huku upande wa Jamhuri ukitarajia kuwaita Mashahidi 30 kutoa ushahidi dhidi ya Lissu na kuwasilisha vielelezo 16.

Itakumbukwa awali kesi hiyo ilikuwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na baada ya kukamilishwa kwa upelelezi ikahamishiwa rasmi katika Mahakama Kuu kwa ajili ya kuendelea na hatua zaidi za kisheria.

Katika kesi hiyo ya uhaini Lissu anadaiwa Aprili 3, 2025 Jijini Dar es salaam alitengeneza nia ya kushawishi au kuchochea umma kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.

  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    Mbappe’s mother Fayza Revealed What Was Said During His Transfer

    Mbappe’s mother Fayza: “When I saw Kylian leave Paris… they told him that PSG was CLOSER to winning the Champions League than Real”. “Kylian with his childlike eyes answered: “Yes,…

    Read more

    Snake Cuts Short Sweetness Of Someone’s Husband And Someone’s Wife Who Were Caught Cheating In Marimanti Friday Night

    Friday night in Marimanti was calm and silent. The moon hung bright in the sky, but inside a small lodge room, the air was thick with love and desire. The…

    Read more

    Leave a Reply

    Your email address will not be published. Required fields are marked *

    You Missed

    Mbappe’s mother Fayza Revealed What Was Said During His Transfer

    • By Milton
    • September 10, 2025
    • 8 views
    Mbappe’s mother Fayza Revealed What Was Said During His Transfer

    Snake Cuts Short Sweetness Of Someone’s Husband And Someone’s Wife Who Were Caught Cheating In Marimanti Friday Night

    • By Milton
    • September 10, 2025
    • 21 views
    Snake Cuts Short Sweetness Of Someone’s Husband And Someone’s Wife Who Were Caught Cheating In Marimanti Friday Night

    Update: Public University Lecturers Issue A 7 Day Strike Notice

    • By Milton
    • September 10, 2025
    • 14 views
    Update: Public University Lecturers Issue A 7 Day Strike Notice

    Secrets Of Uniform Pregnancy In Goat Farming

    • By Milton
    • September 10, 2025
    • 39 views
    Secrets Of Uniform Pregnancy In Goat Farming

    Local entrepreneur sees profits soar after business attraction spell

    • By Milton
    • September 10, 2025
    • 33 views
    Local entrepreneur sees profits soar after business attraction spell

    Today’s Football Titbits Across The Papers

    • By Milton
    • September 10, 2025
    • 22 views
    Today’s Football Titbits Across The Papers