Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es salaam.

Kesi hiyo imepangwa leo Septemba 8 kwa ajili ya usikilizwaji wa awali mbele ya Jaji Dunstan Ndunguru huku upande wa Jamhuri ukitarajia kuwaita Mashahidi 30 kutoa ushahidi dhidi ya Lissu na kuwasilisha vielelezo 16.

Itakumbukwa awali kesi hiyo ilikuwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na baada ya kukamilishwa kwa upelelezi ikahamishiwa rasmi katika Mahakama Kuu kwa ajili ya kuendelea na hatua zaidi za kisheria.

READ Also  How To Produce Maggot

Katika kesi hiyo ya uhaini Lissu anadaiwa Aprili 3, 2025 Jijini Dar es salaam alitengeneza nia ya kushawishi au kuchochea umma kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.

  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    Politics In Kenya Is Never Boring, And This Week, The Tea Is Piping Hot

    So here’s the latest episode in what feels like a political telenovela: Nairobi MP Esther Passaris has come out swinging at none other than Edwin Sifuna, and let’s just say……

    Read more

    Urgent Consultations In ODM Underway

    Party stakeholders have entered emergency consultations to address the leadership vacuum. The primary agenda:Bringing Edwin Sifuna back into a prominent role to salvage the party from imminent collapse. THE NEW…

    Read more

    You Missed

    Politics In Kenya Is Never Boring, And This Week, The Tea Is Piping Hot

    • By Milton
    • February 17, 2026
    • 23 views
    Politics In Kenya Is Never Boring, And This Week, The Tea Is Piping Hot

    Urgent Consultations In ODM Underway

    • By Milton
    • February 17, 2026
    • 34 views
    Urgent Consultations In ODM Underway

    Crazy World! Kenyan man who stole police landcruiser boldly stating that he pays taxes

    • By Milton
    • February 17, 2026
    • 29 views
    Crazy World! Kenyan man who stole police landcruiser boldly stating that he pays taxes

    I Bought My Girlfriend iPhone 17 & a Range Rover But She Dumped Me for a Boda Boda Man 1 Week Later – Kampala Tycoon Shares His Testimony

    • By Milton
    • February 16, 2026
    • 31 views
    I Bought My Girlfriend iPhone 17 & a Range Rover But She Dumped Me for a Boda Boda Man 1 Week Later – Kampala Tycoon Shares His Testimony

    See The Best Strategy You Should Use If You Wish To Get a Quick Job Promotion – Testimony from Nakuru

    • By Milton
    • February 16, 2026
    • 22 views
    See The Best Strategy You Should Use If You Wish To Get a Quick Job Promotion – Testimony from Nakuru

    Sée The Latest Secret That Has Been Helping Africans Get an American Visa – A Testimony from Eldoret

    • By Milton
    • February 16, 2026
    • 16 views
    Sée The Latest Secret That Has Been Helping Africans Get an American Visa – A Testimony from Eldoret