Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es salaam.

Kesi hiyo imepangwa leo Septemba 8 kwa ajili ya usikilizwaji wa awali mbele ya Jaji Dunstan Ndunguru huku upande wa Jamhuri ukitarajia kuwaita Mashahidi 30 kutoa ushahidi dhidi ya Lissu na kuwasilisha vielelezo 16.

Itakumbukwa awali kesi hiyo ilikuwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na baada ya kukamilishwa kwa upelelezi ikahamishiwa rasmi katika Mahakama Kuu kwa ajili ya kuendelea na hatua zaidi za kisheria.

READ Also  How Rigathi Gachagua Has Congratulated The President Elect Of Malawi

Katika kesi hiyo ya uhaini Lissu anadaiwa Aprili 3, 2025 Jijini Dar es salaam alitengeneza nia ya kushawishi au kuchochea umma kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.

  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    Gor Mahia Chairman Ambrose Rachier Accused Nairobi United Fans For Chaos

    On Monday, Gor Mahia chairman Ambrose Rachier accused Nairobi United fans for the chaos witnessed during their SportPesa League fixture at Dandora Stadium, adding that the security response was not…

    Read more

    When A Breakup Happens And A False Narrative Is Being Sold To Paint You As The Villain, Don’t Defend Yourself But Do This

    Arguing is exhausting and rarely changes anything. Especially when you’re dealing with a narcissistic person who feels exposed and wants to punish you for leaving. Instead, play the aftermath. Let…

    Read more

    Leave a Reply

    Your email address will not be published. Required fields are marked *

    You Missed

    Gor Mahia Chairman Ambrose Rachier Accused Nairobi United Fans For Chaos

    • By Milton
    • December 25, 2025
    • 2 views
    Gor Mahia Chairman Ambrose Rachier Accused Nairobi United Fans For Chaos

    When A Breakup Happens And A False Narrative Is Being Sold To Paint You As The Villain, Don’t Defend Yourself But Do This

    • By Milton
    • December 25, 2025
    • 2 views
    When A Breakup Happens And A False Narrative Is Being Sold To Paint You As The Villain, Don’t Defend Yourself But Do This

    Meet Libyan Military Who Died In A Plane Crash

    • By Milton
    • December 24, 2025
    • 3 views
    Meet Libyan Military Who Died In A Plane Crash

    Museveni And Janet Open Hoima City Stadium

    • By Milton
    • December 24, 2025
    • 6 views
    Museveni And Janet Open Hoima City Stadium

    Musalia Mudavadi Proposes Referendum Come 2027

    • By Milton
    • December 24, 2025
    • 4 views
    Musalia Mudavadi Proposes Referendum Come 2027

    My Husband Started Dating A Younger & Beautiful Campus Girl And Wanted To Divorce Me, But This One Thing I Did Ended Their Love, Masaka Lady Shares

    • By Milton
    • December 24, 2025
    • 4 views
    My Husband Started Dating A Younger & Beautiful Campus Girl And Wanted To Divorce Me, But This One Thing I Did Ended Their Love, Masaka Lady Shares