Tanzania Yapanda Katika Orodha Ya Timu Bora FIFA

Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA) limetangaza orodha mpya ya timu bora duniani kwa mwaka 2026, ambapo Tanzania imepanda nafasi, ikiendelea kuimarisha hadhi yake katika soka la kimataifa. Orodha hiyo imeathiriwa kwa kiasi kikubwa na matokeo ya Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025.

Morocco wameongoza kwa kupanda kwa kiwango kikubwa zaidi barani Afrika, wakifikia nafasi ya nane duniani licha ya kupoteza fainali ya AFCON dhidi ya Senegal. Senegal nao wamepanda hadi nafasi ya 12 kutoka nafasi ya 17 waliyokuwa nayo mwaka 2024. Morocco mwaka jana walikuwa nafasi ya 11, huku nafasi yao bora kuwahi kushika ikiwa ya 10 mwaka 1998.

READ Also  How To Heal From Past Trauma And Spiritual Interference

Kwa timu nyingine za Afrika, Nigeria waliomaliza nafasi ya tatu AFCON wameorodheshwa nafasi ya 26, Misri wako nafasi ya 31, Cameroon nafasi ya 45, huku Gabon wakishuka hadi nafasi ya 86 baada ya kutolewa mapema. Katika orodha ya jumla, Hispania wanaongoza duniani wakifuatiwa na Argentina, Ufaransa, England na Brazil, huku Ureno na Uholanzi wakishika nafasi ya sita na saba mtawalia.

  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    • MiltonMilton
    • News
    • February 17, 2026
    • 14 views
    • 1 minute Read
    Crazy World! Kenyan man who stole police landcruiser boldly stating that he pays taxes

    A Kenyan man reportedly from Kisii region was arrested after allegedly stealing a police vehicle belonging to the Kenya Police Service and driving it around before being intercepted. The vehicle…

    Read more

    • MiltonMilton
    • News
    • February 16, 2026
    • 23 views
    • 1 minute Read
    I Bought My Girlfriend iPhone 17 & a Range Rover But She Dumped Me for a Boda Boda Man 1 Week Later – Kampala Tycoon Shares His Testimony

    In Kampala, Uganda, a successful businessman has opened up about one of the most painful experiences of his life. He says he believed he had found the woman he would…

    Read more

    You Missed

    Crazy World! Kenyan man who stole police landcruiser boldly stating that he pays taxes

    • By Milton
    • February 17, 2026
    • 14 views
    Crazy World! Kenyan man who stole police landcruiser boldly stating that he pays taxes

    I Bought My Girlfriend iPhone 17 & a Range Rover But She Dumped Me for a Boda Boda Man 1 Week Later – Kampala Tycoon Shares His Testimony

    • By Milton
    • February 16, 2026
    • 23 views
    I Bought My Girlfriend iPhone 17 & a Range Rover But She Dumped Me for a Boda Boda Man 1 Week Later – Kampala Tycoon Shares His Testimony

    See The Best Strategy You Should Use If You Wish To Get a Quick Job Promotion – Testimony from Nakuru

    • By Milton
    • February 16, 2026
    • 20 views
    See The Best Strategy You Should Use If You Wish To Get a Quick Job Promotion – Testimony from Nakuru

    Sée The Latest Secret That Has Been Helping Africans Get an American Visa – A Testimony from Eldoret

    • By Milton
    • February 16, 2026
    • 15 views
    Sée The Latest Secret That Has Been Helping Africans Get an American Visa – A Testimony from Eldoret

    Masaka Lady Shares How Her Husband Dumped Her for a Younger & More Beautiful Woman — But After Doing This, He Came Back Begging

    • By Milton
    • February 16, 2026
    • 16 views
    Masaka Lady Shares How Her Husband Dumped Her for a Younger & More Beautiful Woman — But After Doing This, He Came Back Begging

    Ayatollah Khameini Does Not Regard President Trump:

    • By Milton
    • February 16, 2026
    • 26 views
    Ayatollah Khameini Does Not Regard President Trump: