Ayana 16th Dec Written Updates

P๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Jemimah alipigiwa simu na Ray,akamuuliza mbona hukuniambia Chris ako na gun? Jemimah akamwmabia sikujua ataibebaโ€ฆJemimah akamuuliza na pesa mko nazo? Ray akamwambia yeah na sijui pa kuzieka..Jemimah akamwambia kaa nazo hadi mambo yatulie. Ray akajaribu kumwambia yoh mi siezi kaa na hizi pesa lakini Jemimah akakata simu,kwa nini? Kwa sababu Chris aliingia.

Chris amefika akiwa ameumia sana,alafu Jemimah anajifanya kuhurumisha sana but she is the maste rmindโ€ฆakamuuliza kama aliona wale wezi but Chris akamwambia zii,sikuwaona but shida yangu tu walijuaje niko na pesa. Ona Jemimah venye pia anasema na kweli walijuaje ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚makosa yenye akina Ray walifanya ni,waliacha motorbike.

Ray ilibidi arudi nyumbani,shida sijui ataambia Asha aliumia akifanya nini na bado yuko na zile pesa,mamillion ya pesa. Alifika kama Asha kamelala akaingia pole poooole kwa room akaeka chini ya bed,but Asha hakua amelala,she was awake na akaona chenye kimeekwa kwa kitanda. Kuuliza Ray akasema ni vitu za job.

Asha akanotice kidonda kwa mkono wa Ray,akamwambia babe yafaa twende hosi lakini Ray akamwambia yoh mi niko sawa babe, usiwe na wasiwasi.

READ Also  ๐€yana 17th Dec Written Updates

Kumbe Chris na yeye alisuspect mtu, Tyrone. Chris alimcall Tyrone akamwmabia najua ni wewe tru ulitumana watu waniibie pesa and you will pay for it. Tyrone akashindwa,sasa hii imetoka wapi ju kusema ukweli he has no idea what Chris is talking about ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ray ashatulia amefungwa mkono huku Asha anamwambia babe siezi taka kitu mbaya ikufanyikie ama ufanye kitu mbaya. Ray anamwambia tulia babe, siezi fanya kitu mbaya na nitamake sure unakaa maisha poa. Punde si punde wakikunywa chai, mlangoni kukabishwa.

Ray akauliza wee ni nani anabisha? Kumbe ni yule jamaa mwenye walikua na yeye jana,at least Ray roho ikatulia. Lakini cheki,wakati Ray ameenda kuongea na beshte yake kwanza anaitwa Along Lilo(AL)โ€ฆhapo na hapo,Asha akafanya one, very big mistake,akaends kuangalia ni nini Ray alieka chini ya kitanda jana usiku,,aaah! Makosa. Hata kama ni bwanako,as long as ushajua yeye ni gaidi na asuspect unaeza mset manze wewe ni kwisha maneno,Asha, ashajitangazia Kang’o ka Asha ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
AL alikuja kuongea na Ray kujua venye ako na Ray akamwambia mnaona shida mumenieka? AL akamwambia tulia at least uko sawa.

READ Also  Today's Football Titbits Across The Papers

Ray hawana habari Asha ashachukua bag. Kisha AL akaambia Ray unajua hiyo pikipiki waliipata? Ray akamwambia unaona, sasa si tutashikwa? AL akamwambia tulia,hiyo piki niliiba so wakitafuta watashika tu mwenye pikipiki but si sisi.

Ray akaambia AL achukue zile pesa aende nazo but AL akamwambia si unajua mi huwa siishi pahali so kaa tu na hizo pesa.

Wacha Ray arudi kwa nyumba,apate Asha ako na ile bag..lakini ajabu ni kuwa Ray hakushtuka,kwa nini,kumbe,enyewe akili mali, real bag ya pesa haiko hapa,real bag ya pesa Ray alificha akakuja an bag ingine yenye imejaa nyundo,koromeo na kokobilo..hizo ni vifaa za mjengo mshishangae ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Swali alibadilisha saa ngali? Usiku, wakati Asha amelala,Ray alishuki,akaamka pole pooole akachukue zile pesa akaeka kwa bag tofauti,.na bag yenye Asha aliona akaeka zile vifaa vya mjengo. Hivyo ndio Asha kalichezwa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Tinah na yeye shughuli after shughuli,kwanza leo anaenda Gikomba na ashaitisha uber. But msee wa uber anamchelewesha sana akafanya Tinah akachelewa hadi akapatwa na Tinah.

READ Also  Key aspects of pea farming

Jemimah alimpata Tinah akamuuliza niliambiwa unanitafuta? Tinah akamwambia yeah, I just wanted to kuomba msamaha. Jemimah akamuuliza what if ni plan yako na Chris nidhani mumeachana kumbe mnanicheza? Tinah akamwmabia for real for real I mean it.

Lakini punde si punde, Jemimah akaona makarao wanaenda kwa Tyrone na Chris ako ndani. Jemimah akajua mara moja ni Tyrone ameendea.

Tyrone yeye hana habari whats coming, ashaoga anaenda kazini lakini punde si punde, makarao wakafika na Chris. Akawauliza shida ni nini? Chris akasema ni huyu,alitumana watu waniibie pesa zangu. Tyrone yeye hajui anythingโ€ฆamekuja tu kushikwa.

Jemimah pia alifika akauliza Chris ujinga gani unafanya? Chris akasema huyu ndio alituma watu waniibie ju ni yeye alijua nimelipwa shares zangu. Tyrone alikosa otherwise wakaenda polisi kuandika statement but Tyrone aliangalia Jemimah kwa macho akamwambia sikiza Jemimah, I have nothing to do with this. Jemima anajua yeah its not Tyrone,ju ni yeye kama Jemimah ndio alitumana.

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

Names Of Western MPs Who Support Edwin Sifuna

A faction has emerged from ODM, led by CS Oparanya, declaring that it fully supports Hon Edwin Sifuna. The group is said to have about fifteen (15) ODM MPs from…

Read more

  • MiltonMilton
  • News
  • February 18, 2026
  • 23 views
  • 1 minute Read
Update: Prime Suspect In UCU Dean’s Murder Taken To Crime Scene

Police have taken Hussein Dak Taewaiko, the prime suspect in the murder of Uganda Christian University Director of Student Affairs Pamela Tumwebaze, back to the scene of crime for a…

Read more

You Missed

Names Of Western MPs Who Support Edwin Sifuna

  • By Milton
  • February 18, 2026
  • 29 views
Names Of Western MPs Who Support Edwin Sifuna

Update: Prime Suspect In UCU Dean’s Murder Taken To Crime Scene

  • By Milton
  • February 18, 2026
  • 23 views
Update: Prime Suspect In UCU Dean’s Murder Taken To Crime Scene

Luweero Man Catches His Wife Red-Handed Cheating On Him With His Own Brother

  • By Milton
  • February 18, 2026
  • 24 views
Luweero Man Catches His Wife Red-Handed Cheating On Him With His Own Brother

Lady Shares The Secret Weapon She Used To Make Her Husband Start Supporting Her & Their Children Again After He Abandoned Them

  • By Milton
  • February 18, 2026
  • 19 views
Lady Shares The Secret Weapon She Used To Make Her Husband Start Supporting Her & Their Children Again After He Abandoned Them

The High Court Of Kenya Has Certified As Urgent A Petition Challenging The Cooperation Pact Between President William Ruto And Nairobi Governor Johnson Sakaja

  • By Milton
  • February 18, 2026
  • 23 views
The High Court  Of Kenya Has Certified As Urgent A Petition Challenging The Cooperation Pact Between President William Ruto And Nairobi Governor Johnson Sakaja

5 Criminals, Among Them A Police Officer Attached To Koru Police Station, Were Killed Yesterday

  • By Milton
  • February 18, 2026
  • 17 views
5 Criminals, Among Them A Police Officer Attached To Koru Police Station, Were Killed Yesterday