‘Tulilala Kama Hatujafunga Mlango’ Here Is A Story

0

Such a bad morning. Tulilla kama hatujafunga mlango,kuamka place Jayden huwa analala hayuko,tukatafuta nyumba mzima mtoto hayuko,kuangalia tunaona mlango iko open,wueh Xtine si amepiga nduru hadi majirani wakaamka hadi nikamwambia babe, nduru ya nini,si nifunge tu mlango,kumbe time nafunga mlango ndio Jayden anarudi mbio akapush mlango kwa nguvu nikafinywa vidole acha niweke nduru,kumbe ni kuota naota ni zip zikua nimefunga na time nilikua nafunga nikafinywa kidole,kumbe si kidole nimefinywa,ni waziri wa maswala ya ndani ya kimandiki za kejeli za lugha na mtawala wa Umoja Phase 3. Huyo ndio alifinywa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *