Duniani Kuna Mambo Sana
![](https://milton.co.ke/wp-content/uploads/2024/04/1713372357202.jpg)
Duniani kuna mambo sana
Kuna dada kanifata anaomba ushauri
Ameolewa na amefanikiwa watoto 3
Kuna kipindi alichepuka na rafiki wa mume wake akapata ujauzito na kuzaa mtoto wa 3
Sasa anasema toka ajifungue mtoto ana miezi 7 sasa mume wake hajawahi kusex naye wala kuongea naye ila wanaishi tu na kutoa matunzo kama kawaida
Mwanaume yupo bize na kazi na wale watoto wengine
Sasa anaona kama mume amehisi kitu na yeye anaogopa kusema hajui pa kuanzia wapi na anaogopa ndoa yake kuvunjika
Aendelee kuishi hivo hivo akiumia au amweleze ukweli ijulikane live? Download IYEF Social app on Google playstore and get more updates.