Tanzania Matatani

Bunge la Ulaya limepitisha pingamizi dhidi ya mpango wa Tume ya Ulaya wa kuelekeza msaada wa kifedha kwenda Tanzania kupitia mfuko wa NDICI-Global Europe hatua inayotajwa kuchochewa na hali ya kisiasa inayoendelea Nchini Tanzania.

Hatua hiyo imekuja baada ya matokeo ya kura zilizopigwa na Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya juu ya kuzuia utekelezaji wa mpango huo ambapo kura 53 zilikubali pingamizi hilo huku 2 zikipinga wakati kura moja ikiharibika.

Awali tume ya Ulaya ilipanga kutuma zaidi ya Euro Milioni 150 kwenda Tanzania mwaka 2026, kwa ajili ya miradi ya maendeleo Nchini Tanzania ambapo utekelezaji wa msaada huo haukuzingatia hali halisi ya haki za binadamu na utawala wa sheria nchini Tanzania.

READ Also  Don’t Sleep Tonight, See What Will Be Happening On The Sky

Kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii, Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje, David McAllister amesema uamuzi huo ni ishara ya wazi kwamba Umoja wa Ulaya hauwezi kuendelea kutoa fedha kwa misingi ya nyaraka zinazopuuza hali ya ukandamizaji wa kisiasa, uchaguzi usio wa haki, na mwenendo wa kiimla wa Serikali.

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

CR7 Us Reportedly Set To Retire

CR7 is reportedly set to retire from international football after Portugal’s UEFA Nations League clash against Wales on Sep 24. Portugal career: READ Also  UPDATE: Public Servants in Tanzania reportedly…

Read more

Update: Iran Expands Conflict Through Regional Proxy

Rather than engaging in a direct conventional war, Iran has increasingly relied on a strategy of horizontal escalation, using missiles, drones, and allied armed groups to expand the battlefield across…

Read more

You Missed

CR7 Us Reportedly Set To Retire

  • By Milton
  • July 25, 2026
  • 2 views
CR7 Us Reportedly Set To Retire

Update: Iran Expands Conflict Through Regional Proxy

  • By Milton
  • July 25, 2026
  • 5 views
Update: Iran Expands Conflict Through Regional Proxy

Lamine Yamal Has Never Lost To Kylian Mbappe In A Knockout Match

  • By Milton
  • July 14, 2026
  • 12 views
Lamine Yamal Has Never Lost To Kylian Mbappe In A Knockout Match

U.S. Naval Blockade On Iran Takes Effect

  • By Milton
  • July 14, 2026
  • 12 views
U.S. Naval Blockade On Iran Takes Effect

A Man Drove The Same Car For 15 Years Trying To Reach 1,000,000 Kilometres

  • By Milton
  • July 14, 2026
  • 14 views
A Man Drove The Same Car For 15 Years Trying To Reach 1,000,000 Kilometres

A Tanker Was Struck By A Missile Off The Coast Of Oman

  • By Milton
  • July 14, 2026
  • 15 views
A Tanker Was Struck By A Missile Off The Coast Of Oman