Tanzania Matatani

Bunge la Ulaya limepitisha pingamizi dhidi ya mpango wa Tume ya Ulaya wa kuelekeza msaada wa kifedha kwenda Tanzania kupitia mfuko wa NDICI-Global Europe hatua inayotajwa kuchochewa na hali ya kisiasa inayoendelea Nchini Tanzania.

Hatua hiyo imekuja baada ya matokeo ya kura zilizopigwa na Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya juu ya kuzuia utekelezaji wa mpango huo ambapo kura 53 zilikubali pingamizi hilo huku 2 zikipinga wakati kura moja ikiharibika.

Awali tume ya Ulaya ilipanga kutuma zaidi ya Euro Milioni 150 kwenda Tanzania mwaka 2026, kwa ajili ya miradi ya maendeleo Nchini Tanzania ambapo utekelezaji wa msaada huo haukuzingatia hali halisi ya haki za binadamu na utawala wa sheria nchini Tanzania.

READ Also  Breaking News: Young Lady Allegedly Jump Into The River After Being Heartbroken

Kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii, Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje, David McAllister amesema uamuzi huo ni ishara ya wazi kwamba Umoja wa Ulaya hauwezi kuendelea kutoa fedha kwa misingi ya nyaraka zinazopuuza hali ya ukandamizaji wa kisiasa, uchaguzi usio wa haki, na mwenendo wa kiimla wa Serikali.

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

State Of The Nation Address By The United Opposition

November 20, 2025 Wazelendo wenzangu, Today, we speak to you not just as leaders, but as fellow Kenyans, standing with you, witnessing history unfold. We have seen the courage of…

Read more

It Has Now Been 4 Months Since Jeff Koinange Disappeared From The Airwaves

It has now been four months since Jeff Koinange disappeared from the airwaves, particularly from his 9 PM news program on Citizen TV every Wednesday, JKL (Jeff Koinange Live). Jeff,…

Read more

You Missed

State Of The Nation Address By The United Opposition

  • By Milton
  • November 20, 2025
  • 1 views
State Of The Nation Address By The United Opposition

Tanzania Matatani

  • By Milton
  • November 20, 2025
  • 4 views
Tanzania Matatani

It Has Now Been 4 Months Since Jeff Koinange Disappeared From The Airwaves

  • By Milton
  • November 20, 2025
  • 4 views
It Has Now Been 4 Months Since Jeff Koinange Disappeared From The Airwaves

What Gachagua Told Mourners At Gilgil

  • By Milton
  • November 20, 2025
  • 3 views
What Gachagua Told Mourners At Gilgil

Wajackoyah Returns To Kang’o, Bondo. Defends Winnie Fiercely

  • By Milton
  • November 19, 2025
  • 4 views
Wajackoyah Returns To Kang’o, Bondo. Defends Winnie Fiercely

US President Donald Trump Hosts Saudi Arabia Delegates At White House

  • By Milton
  • November 19, 2025
  • 7 views
US President Donald Trump Hosts Saudi Arabia Delegates At White House