Muogope Mwanaume Mwenye Tabia Hizi

-OGOPA MWANAMKE muongeaji sana.. Ukiongea neno moja yeye hujibu maneno kumi na kuendelea, Huyu hata akikosea jambo ukimuelewesha hatoelewa na ni mwepesi kubishana na wewe hata kama utakuwa unamelekeza katika haq.

-OGOPA MWANAMKE anayependa kujisifu sana juu ya uzuri wake, huyu pia mara nyingi si msikivu ndani ya ndoa yake na ni rahisi kuomba talaka bila ya sababu akiamini yeye ni mzuri na anapendwa na wanaume wengi hivyo huwezi kumbabaisha.

-OGOPA MWANAMKE mwenye kujifanya mjuaji sana.. Ukimuelekeza jambo la ukweli hulitafutia sababu ya kukufanya uonekane kuwa unalomuelekeza si la muhimu kwake na hujiona kuwa yeye anajua zaidi kuliko wewe..

-OGOPA MWANAMKE ambaye ana fikra potofu za haki sawa kwa wote (Yaani 50 kwa 50) kwamba yaani anaamini kuwa naye ana haki ya kufanya lolote kama wewe mume na haijalishi kuwa umeridhia au laa.. Huyu hatokupa nafasi kama mume na hutaka kuyafanya maamuzi yake ndo yawe ya mwisho katika majambo..

READ Also  Here Is What To Do If You Want Someone You Love So Much To Love You Back

-OGOPA MWANAMKE asiye na Hofu na ALLAH.. huyu huwa ni mbaya zaidi na si mlezi mzuri wa watoto katika kuwaelekeza katika maadili mema.. Huweza kufanya lolote bila kujali ni lenye kumpatia madhambi au laa..

-OGOPA MWANAMKE yule mwenye kupenda kujipamba kwa ajili ya wanaume wengine, anayependa kuuonesha uzuri wake kwa wanaume na mwenye kujiona..

Aina hizi za wanawake na nyinginezo pia huweza kukufanya uikose tamu ya ndoa pindi uwaoapo kutokana na tabia zao na mwenendo wao usiopendeza…

CHAGUA MWANAMKE ALIYE BORA NA SI BORA MWANAMKE..

UTAPATA RAHA NA FURAHA NA UTAONJA LADHA NA TAMU YA NDOA YAKO.𝗠𝗨𝗢𝗚𝗢𝗣𝗘 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗠𝗞𝗘 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗧𝗔𝗕𝗜𝗔 𝗛𝗜𝗭𝗜

READ Also  My Brothers Wanted Me Dead After I Inherited My Father’s Wealth, Zambia Man Narrates His Story

-OGOPA MWANAMKE muongeaji sana.. Ukiongea neno moja yeye hujibu maneno kumi na kuendelea, Huyu hata akikosea jambo ukimuelewesha hatoelewa na ni mwepesi kubishana na wewe hata kama utakuwa unamelekeza katika haq..

-OGOPA MWANAMKE anayependa kujisifu sana juu ya uzuri wake, huyu pia mara nyingi si msikivu ndani ya ndoa yake na ni rahisi kuomba talaka bila ya sababu akiamini yeye ni mzuri na anapendwa na wanaume wengi hivyo huwezi kumbabaisha..

-OGOPA MWANAMKE mwenye kujifanya mjuaji sana.. Ukimuelekeza jambo la ukweli hulitafutia sababu ya kukufanya uonekane kuwa unalomuelekeza si la muhimu kwake na hujiona kuwa yeye anajua zaidi kuliko wewe..

-OGOPA MWANAMKE ambaye ana fikra potofu za haki sawa kwa wote (Yaani 50 kwa 50) kwamba yaani anaamini kuwa naye ana haki ya kufanya lolote kama wewe mume na haijalishi kuwa umeridhia au laa.. Huyu hatokupa nafasi kama mume na hutaka kuyafanya maamuzi yake ndo yawe ya mwisho katika majambo..

READ Also  Kakamega Town Brought to a Standstill After Woman Who Had Intimacy Issues Healed Instantly

-OGOPA MWANAMKE asiye na Hofu na ALLAH.. huyu huwa ni mbaya zaidi na si mlezi mzuri wa watoto katika kuwaelekeza katika maadili mema.. Huweza kufanya lolote bila kujali ni lenye kumpatia madhambi au laa..

-OGOPA MWANAMKE yule mwenye kupenda kujipamba kwa ajili ya wanaume wengine, anayependa kuuonesha uzuri wake kwa wanaume na mwenye kujiona..

Aina hizi za wanawake na nyinginezo pia huweza kukufanya uikose tamu ya ndoa pindi uwaoapo kutokana na tabia zao na mwenendo wao usiopendeza…

CHAGUA MWANAMKE ALIYE BORA NA SI BORA MWANAMKE..

UTAPATA RAHA NA FURAHA NA UTAONJA LADHA NA TAMU YA NDOA.

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

  • MiltonMilton
  • Ads
  • December 15, 2025
  • 107 views
  • 2 minutes Read
There Is No Other Way But Only This One That Can Stop Your Husband From Being Tempted to Date Your House Girl

My name is Aisha Namutebi, a 33-year-old woman from Kampala, Uganda, and I am sharing this testimony because I know so many women suffer silently in their marriages. I never…

Read more

  • MiltonMilton
  • Ads
  • December 15, 2025
  • 124 views
  • 2 minutes Read
I Was Always Involved in Accidents That Almost Killed Me, Until This Stopped It, Otieno Tells

My name is Peter Otieno, a 36-year-old man from Eldoret, Kenya, and I am sharing this testimony to help anyone who has been facing repeated accidents or misfortune. For years,…

Read more

You Missed

I Have Listened To Gachagua Explain About His Late Brother’s Will Following A Petition By Some Of The Beneficiaries Of Nderitu Gachagua Estate To President Ruto

  • By Milton
  • March 29, 2026
  • 2 views
I Have Listened To Gachagua Explain About His Late Brother’s Will Following A Petition By Some Of The Beneficiaries Of Nderitu Gachagua Estate To President Ruto

Uganda General Claims Ability to Seize Tehran in 14 Days, Draws Global Skepticism

  • By Milton
  • March 29, 2026
  • 3 views
Uganda General Claims Ability to Seize Tehran in 14 Days, Draws Global Skepticism

UPDATE: IEBC starts a 30-day intense campaign to net 2.5 million new voters from tomorrow

  • By Milton
  • March 29, 2026
  • 4 views
UPDATE: IEBC starts a 30-day intense campaign to net 2.5 million new voters from tomorrow

Football Titbits across the papers

  • By Milton
  • March 29, 2026
  • 4 views
Football Titbits across the papers

“No Kings” Protests Erupt Across U.S., Pressure Mounts on Donald Trump

  • By Milton
  • March 29, 2026
  • 6 views
“No Kings” Protests Erupt Across U.S., Pressure Mounts on Donald Trump

“I almost died in January, the window between life and death for me was 12 hours.”

  • By Milton
  • March 28, 2026
  • 3 views
“I almost died in January, the window between life and death for me was 12 hours.”