๐€yana 17th Dec Written Updates

P๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Robert alikua kwa call na Saida anamwambia wee,unataka niache kazi zangu nitafute Asha,unajua hiyo haiezi work bwana. Punde si punde, Annaliza akakuja,akauliza Robert,umeongea na Tyrone? Robert akamwambia zii, kwani yuko? Ann akamwambia yafaa tuwe na meeting but hajashow up. Sisi tunajua Tyrone ako police.

Huku police,Sabina anaangalia Jemimah anaona apana huyu mama hamuamini kabisa, Punde si punde, Ray akamcall Jemimah akamwambia yafaa akujie hizi pesa ni risky sana wakikaa nazo. Jemimah akamwambia relax,ngoja mambo yatulie.

Huku Sabina na Saida wamengoja Tyrone atoke,huku Saida anawaambia iam sure na najua Tyrone sana haezi fanya kitu kama hiyo. Tyrone alitoka akawaambia guys iam innocent huyu mubabaz ni hasira tu ju my daughter dumped me.

Chris na yeye akauliza Jemimah,nilikuona kwa Tyrone ulikua unafanya nini? Jemimah akasema ni kuona Tinah,she wanted to see me and she apologized. Chris hana habari kikulacho ni chenye huwa anakula.

Report ilifikia Robert kuhusu venye Chris alisema Tyrone alituma goons kumuibia but all in all hakuna evidence hataa.

READ Also  What Former President Uhuru Kenyatta Did In Bondo Today

Asha maisha inashika sana..kashaambiwa kasiwe kakienda kazini,yeye akae,afagie nyumba na alale Ray aende kazini. Lakini wakati anafagia fagia,aliona kitu kwa carrier bag akashindwa hii ni niniโ€ฆkutoa,akashtuka hadi akatupa. Makosa sana.

Jemimah alikuja akameet akina Ray na AL akawaaambia,mnaeza toa cut yenu but mkae mkijua najua pesa mliiba so msijaribu hata noti moja tutakosana vibaya sana.

Asha aliamua kumcall Beka ju ako na number yake. Beka akashika akishindwa hii new number ni ya nani..lakini alisikia tu sauti akajua ni Asha. Akamuuliza wee uko wapi Asha, uko wapi? Asha akamuuliza mamangu yuko aje? Beka akamwambia mama hayuko sawa,na hukufanya vizuri kabisa kuenda,mamako analia sana kila siku.

Asha aliuliza Beka, mnaona kama nilifanya makosa kutoroka kwa sababu nimechanganyikiwa sana. Beka akamwambia Asha,kama unataka msaada niambie hata kama hutaki wazazi wako wajue. Asha alimwambia tu,tafadhali usiambie mtu tumeongea na usalamie mamangu. Kumbe Tinah alisikia Beka wakiongea kwa simu, Asha anaregret ju anajua, she made a mistake kuhepa na Ray.

READ Also  "My Wife Is Seeing Another Man"

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Tinah alikuja akauliza Beka umekua unaongea na nani? Beka kajigoroka kiasi kiasi but Tinah already ashajua ni Asha. All in all Tinah alipigiwa simu mzigo wake wa Gikomba ushafika.

Kazini kawaida, Robert anajituma sana kwa Annaliza,hadi Anna akauliza akamuuliza, mbona kila saa unakuja kuniangalia and inviting me for dinner,what exactly unataka I hope si kujaribu kudinyadi wewe? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Robert akamwambia tulia, just dinner I promise hakun akitu tutafanya.

Tinah ashapata manguo zake yafaa auze hadi Beka akamwmabia manze jamaa anakuuzia hizi manguo anakupea mzuri mzuri sana,yafaa umshikilia. Tinah akamwambia hata babake anampea support sana. Beka akamwambia heri wewe wazazi wazuri,sisi wengina hatukubahatika kuwa na wazazi. Tinah akamuuliza unamaanisha aje? Beka akamwambia ni venye sisi wengine wazazi wetu hawakutuโ€ฆ.kabla amalize,akaona Saida anawasikiza ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Beka alimfuata Saida ju kuna ujumbe yafaa ampee kutoka kwa Asha,lakini makosa Beka alifanya ni,aliacha simu yake hapo,Tinah akachukua simu ya Beka,akatoa ile number yenye Asha alitumia kumcall akaweka kwa simu yake.

READ Also  โ€œI Caught My Husband Cheating On Me With Our Female Neighborโ€ Grace Cries Out

Beka alikuja akaambia Saida,unajua nimeongea na Asha? Saida akamwambia usitaje jina la mtoto wangu wakati wewe ndo ulisababisha..Beka akamwambia nimeongea na yeye na alikua analia akisema anajutia sana. Saida akajua mara moja lazima huyo kijana amefanyia Asha wake kibayaโ€ฆakaambia Beka nipe ile number. Hapo ndio Beka akarealize simu aliacha penye Tinah alikua.

Saida na Beka wakakuja kuangalia ile number kwa simu ya Beka lakini kumbe,wakati Tinah alichukua ile number kwa simu ya Beka,she deleted it,,so Beka hana number sasa but Tinah yuko nayo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Tinah alikuja akacall ile number,akaambia Asha sikiza, hata kama hutaongea. Huku ushasahaulika na hata mamako haezi taka kusikia jina lako likitajwa,so ningekua wewe singewai rudi hukuโ€ฆ Tinah anaongea huku Asha anasikiza tu. Tinah akamwambia sikiza, stay away from us. Asha akamuuliza hii number umetoa wapi? Tinah akamwambia usikue mjinga,si umecall Beka na hapo ndio amenipea number,tumia akiliโ€ฆ.mako!..makosa.

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

I Have Listened To Gachagua Explain About His Late Brother’s Will Following A Petition By Some Of The Beneficiaries Of Nderitu Gachagua Estate To President Ruto

In his words, Gachagua says that his brother left the most advanced Will in the republic of Kenya that todate is studied in law schools across the country. He also…

Read more

  • MiltonMilton
  • News
  • March 29, 2026
  • 3 views
  • 1 minute Read
Uganda General Claims Ability to Seize Tehran in 14 Days, Draws Global Skepticism

General Muhoozi Kainerugaba of Uganda has sparked widespread debate after declaring on social media that Ugandan forces could capture Tehran within 14 days using only a single division, a statement…

Read more

You Missed

I Have Listened To Gachagua Explain About His Late Brother’s Will Following A Petition By Some Of The Beneficiaries Of Nderitu Gachagua Estate To President Ruto

  • By Milton
  • March 29, 2026
  • 2 views
I Have Listened To Gachagua Explain About His Late Brother’s Will Following A Petition By Some Of The Beneficiaries Of Nderitu Gachagua Estate To President Ruto

Uganda General Claims Ability to Seize Tehran in 14 Days, Draws Global Skepticism

  • By Milton
  • March 29, 2026
  • 3 views
Uganda General Claims Ability to Seize Tehran in 14 Days, Draws Global Skepticism

UPDATE: IEBC starts a 30-day intense campaign to net 2.5 million new voters from tomorrow

  • By Milton
  • March 29, 2026
  • 4 views
UPDATE: IEBC starts a 30-day intense campaign to net 2.5 million new voters from tomorrow

Football Titbits across the papers

  • By Milton
  • March 29, 2026
  • 4 views
Football Titbits across the papers

โ€œNo Kingsโ€ Protests Erupt Across U.S., Pressure Mounts on Donald Trump

  • By Milton
  • March 29, 2026
  • 6 views
โ€œNo Kingsโ€ Protests Erupt Across U.S., Pressure Mounts on Donald Trump

โ€œI almost died in January, the window between life and death for me was 12 hours.โ€

  • By Milton
  • March 28, 2026
  • 2 views
โ€œI almost died in January, the window between life and death for me was 12 hours.โ€