๐€yana 17th Dec Written Updates

P๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Robert alikua kwa call na Saida anamwambia wee,unataka niache kazi zangu nitafute Asha,unajua hiyo haiezi work bwana. Punde si punde, Annaliza akakuja,akauliza Robert,umeongea na Tyrone? Robert akamwambia zii, kwani yuko? Ann akamwambia yafaa tuwe na meeting but hajashow up. Sisi tunajua Tyrone ako police.

Huku police,Sabina anaangalia Jemimah anaona apana huyu mama hamuamini kabisa, Punde si punde, Ray akamcall Jemimah akamwambia yafaa akujie hizi pesa ni risky sana wakikaa nazo. Jemimah akamwambia relax,ngoja mambo yatulie.

Huku Sabina na Saida wamengoja Tyrone atoke,huku Saida anawaambia iam sure na najua Tyrone sana haezi fanya kitu kama hiyo. Tyrone alitoka akawaambia guys iam innocent huyu mubabaz ni hasira tu ju my daughter dumped me.

Chris na yeye akauliza Jemimah,nilikuona kwa Tyrone ulikua unafanya nini? Jemimah akasema ni kuona Tinah,she wanted to see me and she apologized. Chris hana habari kikulacho ni chenye huwa anakula.

Report ilifikia Robert kuhusu venye Chris alisema Tyrone alituma goons kumuibia but all in all hakuna evidence hataa.

READ Also  Don't Block Them. Don't Beg Them. Just Do This And Watch

Asha maisha inashika sana..kashaambiwa kasiwe kakienda kazini,yeye akae,afagie nyumba na alale Ray aende kazini. Lakini wakati anafagia fagia,aliona kitu kwa carrier bag akashindwa hii ni niniโ€ฆkutoa,akashtuka hadi akatupa. Makosa sana.

Jemimah alikuja akameet akina Ray na AL akawaaambia,mnaeza toa cut yenu but mkae mkijua najua pesa mliiba so msijaribu hata noti moja tutakosana vibaya sana.

Asha aliamua kumcall Beka ju ako na number yake. Beka akashika akishindwa hii new number ni ya nani..lakini alisikia tu sauti akajua ni Asha. Akamuuliza wee uko wapi Asha, uko wapi? Asha akamuuliza mamangu yuko aje? Beka akamwambia mama hayuko sawa,na hukufanya vizuri kabisa kuenda,mamako analia sana kila siku.

Asha aliuliza Beka, mnaona kama nilifanya makosa kutoroka kwa sababu nimechanganyikiwa sana. Beka akamwambia Asha,kama unataka msaada niambie hata kama hutaki wazazi wako wajue. Asha alimwambia tu,tafadhali usiambie mtu tumeongea na usalamie mamangu. Kumbe Tinah alisikia Beka wakiongea kwa simu, Asha anaregret ju anajua, she made a mistake kuhepa na Ray.

READ Also  I Cursed The Day I Got Married, I Regretted My Decision But This One Phone Call I Made Changed My Life Completely, Congo Woman Shares

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Tinah alikuja akauliza Beka umekua unaongea na nani? Beka kajigoroka kiasi kiasi but Tinah already ashajua ni Asha. All in all Tinah alipigiwa simu mzigo wake wa Gikomba ushafika.

Kazini kawaida, Robert anajituma sana kwa Annaliza,hadi Anna akauliza akamuuliza, mbona kila saa unakuja kuniangalia and inviting me for dinner,what exactly unataka I hope si kujaribu kudinyadi wewe? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Robert akamwambia tulia, just dinner I promise hakun akitu tutafanya.

Tinah ashapata manguo zake yafaa auze hadi Beka akamwmabia manze jamaa anakuuzia hizi manguo anakupea mzuri mzuri sana,yafaa umshikilia. Tinah akamwambia hata babake anampea support sana. Beka akamwambia heri wewe wazazi wazuri,sisi wengina hatukubahatika kuwa na wazazi. Tinah akamuuliza unamaanisha aje? Beka akamwambia ni venye sisi wengine wazazi wetu hawakutuโ€ฆ.kabla amalize,akaona Saida anawasikiza ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Beka alimfuata Saida ju kuna ujumbe yafaa ampee kutoka kwa Asha,lakini makosa Beka alifanya ni,aliacha simu yake hapo,Tinah akachukua simu ya Beka,akatoa ile number yenye Asha alitumia kumcall akaweka kwa simu yake.

READ Also  Social Media On Fire As Nancy Goes Online To Cry How Men Donโ€™t Want To Date Her But She Later Did This To Attract Men

Beka alikuja akaambia Saida,unajua nimeongea na Asha? Saida akamwambia usitaje jina la mtoto wangu wakati wewe ndo ulisababisha..Beka akamwambia nimeongea na yeye na alikua analia akisema anajutia sana. Saida akajua mara moja lazima huyo kijana amefanyia Asha wake kibayaโ€ฆakaambia Beka nipe ile number. Hapo ndio Beka akarealize simu aliacha penye Tinah alikua.

Saida na Beka wakakuja kuangalia ile number kwa simu ya Beka lakini kumbe,wakati Tinah alichukua ile number kwa simu ya Beka,she deleted it,,so Beka hana number sasa but Tinah yuko nayo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Tinah alikuja akacall ile number,akaambia Asha sikiza, hata kama hutaongea. Huku ushasahaulika na hata mamako haezi taka kusikia jina lako likitajwa,so ningekua wewe singewai rudi hukuโ€ฆ Tinah anaongea huku Asha anasikiza tu. Tinah akamwambia sikiza, stay away from us. Asha akamuuliza hii number umetoa wapi? Tinah akamwambia usikue mjinga,si umecall Beka na hapo ndio amenipea number,tumia akiliโ€ฆ.mako!..makosa.

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

Politics In Kenya Is Never Boring, And This Week, The Tea Is Piping Hot

So hereโ€™s the latest episode in what feels like a political telenovela: Nairobi MP Esther Passaris has come out swinging at none other than Edwin Sifuna, and letโ€™s just sayโ€ฆ…

Read more

Urgent Consultations In ODM Underway

Party stakeholders have entered emergency consultations to address the leadership vacuum. The primary agenda:Bringing Edwin Sifuna back into a prominent role to salvage the party from imminent collapse. THE NEW…

Read more

You Missed

Politics In Kenya Is Never Boring, And This Week, The Tea Is Piping Hot

  • By Milton
  • February 17, 2026
  • 19 views
Politics In Kenya Is Never Boring, And This Week, The Tea Is Piping Hot

Urgent Consultations In ODM Underway

  • By Milton
  • February 17, 2026
  • 29 views
Urgent Consultations In ODM Underway

Crazy World! Kenyan man who stole police landcruiser boldly stating that he pays taxes

  • By Milton
  • February 17, 2026
  • 24 views
Crazy World! Kenyan man who stole police landcruiser boldly stating that he pays taxes

I Bought My Girlfriend iPhone 17 & a Range Rover But She Dumped Me for a Boda Boda Man 1 Week Later โ€“ Kampala Tycoon Shares His Testimony

  • By Milton
  • February 16, 2026
  • 28 views
I Bought My Girlfriend iPhone 17 & a Range Rover But She Dumped Me for a Boda Boda Man 1 Week Later โ€“ Kampala Tycoon Shares His Testimony

See The Best Strategy You Should Use If You Wish To Get a Quick Job Promotion โ€“ Testimony from Nakuru

  • By Milton
  • February 16, 2026
  • 20 views
See The Best Strategy You Should Use If You Wish To Get a Quick Job Promotion โ€“ Testimony from Nakuru

Sรฉe The Latest Secret That Has Been Helping Africans Get an American Visa โ€“ A Testimony from Eldoret

  • By Milton
  • February 16, 2026
  • 16 views
Sรฉe The Latest Secret That Has Been Helping Africans Get an American Visa โ€“ A Testimony from Eldoret