Jinsi Ndoto Yangu ya Biashara Ilivyogeuka Kuwa Jinamizi na Jinsi Nilivyopata Tumaini Jipya

Jina langu ni Charles, kijana mpambanaji na mkazi wa jijini Dar es Salaam. Kwa muda mrefu, nimekuwa nikifanya kazi kama fundi makenika (professional mechanic), kazi ambayo nimeiheshimu na kuipenda sana. Hata hivyo, siku zote nilikuwa na ndoto kubwa zaidi: kufungua duka langu la kuuza vipuri vya magari (spare parts).Kwa mwaka mzima uliopita, nilijinyima sana. Nilifanya kazi kwa bidii, nikala kwa uchache, na kuweka akiba kila senti niliyopata. Lengo langu lilikuwa moja tu kukusanya mtaji wa kutosha ili niweze kuagiza mzigo wa maana kutoka nje ya nchi.


Baada ya utafiti wa kina, nilifanikiwa kumpata msambazaji (dealer) mwaminifu kutoka nchini China. Mawasiliano yetu yalikuwa mazuri sana. Tulikubaliana bei, na hata alinitumia picha na video za bidhaa zote nilizohitaji. Nilipoona vile vipuri kwenye video, moyo wangu ulijaa furaha isiyo na kifani. Nilijiona kama nimeshavuka mstari wa umaskini; ndoto yangu ilikuwa inatimia. Kilichobaki ilikuwa hatua moja tu: kutuma pesa ili mzigo uanze safari ya kuja Tanzania.

READ Also  The Miracle That Turned My Life Around After Years of Misfortunes & Sufferings

Siku ya tukio, nilibeba pesa zangu zote akiba ya mwaka mzima na kuelekea benki ili kufanya muamala (deposit) kwa yule msambazaji. Nilikuwa na morali ya juu sana. Lakini nilipofika eneo la benki, kitu cha ajabu kilitokea. Ghafla, nilipoteza fahamu. Sikuweza kuelewa nini kilitokea, ni kama nilipigwa na giza nene au “zuga”.Nilipozinduka, nilijikuta nimezungukwa na umati wa watu waliokuwa wakinitazama kwa mshangao.

Nilikuwa nimechanganyikiwa, kichwa kizito, na sikujua nimefika vipi katika hali ile. Jambo la kutisha zaidi ni kwamba niliporaba mifukoni na kwenye begi langu, pesa zote zilikuwa zimetoweka. Machozi yalinilenga. Nguvu ziliisha. Ndoto yangu ya mwaka mzima iliyeyuka ndani ya sekunde chache.

READ Also  “My Business Was Collapsing Until I Took This Decision, Now I Swing In Profits” Patrick Tell

Wakati nikiwa nimepigwa na butwaa, nisijue la kufanya wala pa kuanzia, mwanaume mmoja alijitokeza kutoka kwenye ule umati. Alinisongelea na kuniambia kwa sauti ya chini, “Kijana, inaonekana umeibiwa kwa njia za kishirikina, lakini usikate tamaa.”Yule bwana aliniambia kuwa kuna mtu anaweza kunisaidia kurejesha kile kilichopotea.

  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    • MiltonMilton
    • Ads
    • December 15, 2025
    • 79 views
    • 2 minutes Read
    There Is No Other Way But Only This One That Can Stop Your Husband From Being Tempted to Date Your House Girl

    My name is Aisha Namutebi, a 33-year-old woman from Kampala, Uganda, and I am sharing this testimony because I know so many women suffer silently in their marriages. I never…

    Read more

    • MiltonMilton
    • Ads
    • December 15, 2025
    • 93 views
    • 2 minutes Read
    I Was Always Involved in Accidents That Almost Killed Me, Until This Stopped It, Otieno Tells

    My name is Peter Otieno, a 36-year-old man from Eldoret, Kenya, and I am sharing this testimony to help anyone who has been facing repeated accidents or misfortune. For years,…

    Read more

    You Missed

    Politics In Kenya Is Never Boring, And This Week, The Tea Is Piping Hot

    • By Milton
    • February 17, 2026
    • 21 views
    Politics In Kenya Is Never Boring, And This Week, The Tea Is Piping Hot

    Urgent Consultations In ODM Underway

    • By Milton
    • February 17, 2026
    • 32 views
    Urgent Consultations In ODM Underway

    Crazy World! Kenyan man who stole police landcruiser boldly stating that he pays taxes

    • By Milton
    • February 17, 2026
    • 26 views
    Crazy World! Kenyan man who stole police landcruiser boldly stating that he pays taxes

    I Bought My Girlfriend iPhone 17 & a Range Rover But She Dumped Me for a Boda Boda Man 1 Week Later – Kampala Tycoon Shares His Testimony

    • By Milton
    • February 16, 2026
    • 31 views
    I Bought My Girlfriend iPhone 17 & a Range Rover But She Dumped Me for a Boda Boda Man 1 Week Later – Kampala Tycoon Shares His Testimony

    See The Best Strategy You Should Use If You Wish To Get a Quick Job Promotion – Testimony from Nakuru

    • By Milton
    • February 16, 2026
    • 20 views
    See The Best Strategy You Should Use If You Wish To Get a Quick Job Promotion – Testimony from Nakuru

    Sée The Latest Secret That Has Been Helping Africans Get an American Visa – A Testimony from Eldoret

    • By Milton
    • February 16, 2026
    • 16 views
    Sée The Latest Secret That Has Been Helping Africans Get an American Visa – A Testimony from Eldoret