Tanzania Matatani

Bunge la Ulaya limepitisha pingamizi dhidi ya mpango wa Tume ya Ulaya wa kuelekeza msaada wa kifedha kwenda Tanzania kupitia mfuko wa NDICI-Global Europe hatua inayotajwa kuchochewa na hali ya kisiasa inayoendelea Nchini Tanzania.

Hatua hiyo imekuja baada ya matokeo ya kura zilizopigwa na Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya juu ya kuzuia utekelezaji wa mpango huo ambapo kura 53 zilikubali pingamizi hilo huku 2 zikipinga wakati kura moja ikiharibika.

Awali tume ya Ulaya ilipanga kutuma zaidi ya Euro Milioni 150 kwenda Tanzania mwaka 2026, kwa ajili ya miradi ya maendeleo Nchini Tanzania ambapo utekelezaji wa msaada huo haukuzingatia hali halisi ya haki za binadamu na utawala wa sheria nchini Tanzania.

READ Also  Details Of Tanzania Election That's Happening Today

Kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii, Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje, David McAllister amesema uamuzi huo ni ishara ya wazi kwamba Umoja wa Ulaya hauwezi kuendelea kutoa fedha kwa misingi ya nyaraka zinazopuuza hali ya ukandamizaji wa kisiasa, uchaguzi usio wa haki, na mwenendo wa kiimla wa Serikali.

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

Lamine Yamal Has Never Lost To Kylian Mbappe In A Knockout Match

Lamine Yamal has 𝐍𝐄𝐕𝐄𝐑 π‹πŽπ’π“ to Kylian MbappΓ© in a knockout match. βœ… EURO semi-final – 2024βœ… Supercopa final – 2025βœ… Copa del Rey final – 2025βœ… Nations League semi-final…

Read more

U.S. Naval Blockade On Iran Takes Effect

The U.S. naval blockade targeting Iranian ports and oil facilities has officially entered into force, according to previous announcements by U.S. Central Command (CENTCOM). U.S. and allied naval forces have…

Read more

You Missed

Lamine Yamal Has Never Lost To Kylian Mbappe In A Knockout Match

  • By Milton
  • July 14, 2026
  • 8 views
Lamine Yamal Has Never Lost To Kylian Mbappe In A Knockout Match

U.S. Naval Blockade On Iran Takes Effect

  • By Milton
  • July 14, 2026
  • 9 views
U.S. Naval Blockade On Iran Takes Effect

A Man Drove The Same Car For 15 Years Trying To Reach 1,000,000 Kilometres

  • By Milton
  • July 14, 2026
  • 10 views
A Man Drove The Same Car For 15 Years Trying To Reach 1,000,000 Kilometres

A Tanker Was Struck By A Missile Off The Coast Of Oman

  • By Milton
  • July 14, 2026
  • 12 views
A Tanker Was Struck By A Missile Off The Coast Of Oman

Why Since 2018, Kylian Mbappe’s Hasn’t Touched A Single Salary

  • By Milton
  • July 14, 2026
  • 13 views
Why Since 2018, Kylian Mbappe’s Hasn’t Touched A Single Salary

Details Of France Vs Spain Semifinal

  • By Milton
  • July 14, 2026
  • 11 views
Details Of France Vs Spain Semifinal