Tanzania Matatani

Bunge la Ulaya limepitisha pingamizi dhidi ya mpango wa Tume ya Ulaya wa kuelekeza msaada wa kifedha kwenda Tanzania kupitia mfuko wa NDICI-Global Europe hatua inayotajwa kuchochewa na hali ya kisiasa inayoendelea Nchini Tanzania.

Hatua hiyo imekuja baada ya matokeo ya kura zilizopigwa na Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya juu ya kuzuia utekelezaji wa mpango huo ambapo kura 53 zilikubali pingamizi hilo huku 2 zikipinga wakati kura moja ikiharibika.

Awali tume ya Ulaya ilipanga kutuma zaidi ya Euro Milioni 150 kwenda Tanzania mwaka 2026, kwa ajili ya miradi ya maendeleo Nchini Tanzania ambapo utekelezaji wa msaada huo haukuzingatia hali halisi ya haki za binadamu na utawala wa sheria nchini Tanzania.

READ Also  Suluhu Declared As President Elect After Getting 98% Of The Votes

Kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii, Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje, David McAllister amesema uamuzi huo ni ishara ya wazi kwamba Umoja wa Ulaya hauwezi kuendelea kutoa fedha kwa misingi ya nyaraka zinazopuuza hali ya ukandamizaji wa kisiasa, uchaguzi usio wa haki, na mwenendo wa kiimla wa Serikali.

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

Football Titbits across the papers

Football Titbits across the papers. Liverpool make offer for Dutch defender Sam Beukema, AC Milan offer Rafael Leao to Premier League sides, Manchester United target ex-Nottingham Forest midfielder Danilo. Liverpool…

Read more

  • MiltonMilton
  • News
  • April 30, 2026
  • 8 views
  • 1 minute Read
UPDATE: President Ruto Awards Sebastian Sawe With Ksh 8 Million

President Ruto awards Sebastian Sawe with Ksh 8 Million after becoming the first athlete to run a sub-two-hour marathon at the 2026 London Marathon. READ Also  Football Titbits Across The…

Read more

You Missed

Football Titbits across the papers

  • By Milton
  • May 3, 2026
  • 3 views
Football Titbits across the papers

UPDATE: President Ruto Awards Sebastian Sawe With Ksh 8 Million

  • By Milton
  • April 30, 2026
  • 8 views
UPDATE: President Ruto Awards Sebastian Sawe With Ksh 8 Million

UPDATE: Millie Odhiambo Rejects Election Zoning

  • By Milton
  • April 30, 2026
  • 7 views
UPDATE: Millie Odhiambo Rejects Election Zoning

Football Titbits across the papers

  • By Milton
  • April 30, 2026
  • 7 views
Football Titbits across the papers

I Still Believe Arsenal Will Win The Premier League

  • By Milton
  • April 20, 2026
  • 20 views
I Still Believe Arsenal Will Win The Premier League

Pep Guardiola On Donnarumma’s error

  • By Milton
  • April 20, 2026
  • 20 views
Pep Guardiola On Donnarumma’s error