Tanzania Matatani

Bunge la Ulaya limepitisha pingamizi dhidi ya mpango wa Tume ya Ulaya wa kuelekeza msaada wa kifedha kwenda Tanzania kupitia mfuko wa NDICI-Global Europe hatua inayotajwa kuchochewa na hali ya kisiasa inayoendelea Nchini Tanzania.

Hatua hiyo imekuja baada ya matokeo ya kura zilizopigwa na Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya juu ya kuzuia utekelezaji wa mpango huo ambapo kura 53 zilikubali pingamizi hilo huku 2 zikipinga wakati kura moja ikiharibika.

Awali tume ya Ulaya ilipanga kutuma zaidi ya Euro Milioni 150 kwenda Tanzania mwaka 2026, kwa ajili ya miradi ya maendeleo Nchini Tanzania ambapo utekelezaji wa msaada huo haukuzingatia hali halisi ya haki za binadamu na utawala wa sheria nchini Tanzania.

READ Also  Process Of Removing Dad's Name From Birth Certificate Of A Child

Kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii, Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje, David McAllister amesema uamuzi huo ni ishara ya wazi kwamba Umoja wa Ulaya hauwezi kuendelea kutoa fedha kwa misingi ya nyaraka zinazopuuza hali ya ukandamizaji wa kisiasa, uchaguzi usio wa haki, na mwenendo wa kiimla wa Serikali.

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

Football Titbits Across The Papers

Arsenal eye Morgan Rogers, Paris St-Germain to rival Liverpool for Yan Diomande, Roberto de Zerbi eyes raid on former club Brighton and Jack Grealish will get chance to revive Man…

Read more

Today’s KPL matchday

KPL matchday! 2pm | Mara Sugar FC vs Gor Mahia FC at ROSH in Homa Bay 3pm | Sofapaka FC vs KCB Football Club at Kasarani Annex 4pm | Ulinzi…

Read more

You Missed

Football Titbits Across The Papers

  • By Milton
  • May 27, 2026
  • 5 views
Football Titbits Across The Papers

Today’s KPL matchday

  • By Milton
  • May 27, 2026
  • 6 views
Today’s KPL matchday

Update: Iranian State Media Releases This Images

  • By Milton
  • May 27, 2026
  • 8 views
Update: Iranian State Media Releases This Images

Why Mt Kenya People Should Stop Demonstrating

  • By Milton
  • May 25, 2026
  • 7 views
Why Mt Kenya People Should Stop Demonstrating

Update: Njugush And Wakavinye Are Allegedly Back Together

  • By Milton
  • May 25, 2026
  • 12 views
Update: Njugush And Wakavinye Are Allegedly Back Together

Football Titbits Across The Papers

  • By Milton
  • May 25, 2026
  • 10 views
Football Titbits Across The Papers