Tanzania Matatani

Bunge la Ulaya limepitisha pingamizi dhidi ya mpango wa Tume ya Ulaya wa kuelekeza msaada wa kifedha kwenda Tanzania kupitia mfuko wa NDICI-Global Europe hatua inayotajwa kuchochewa na hali ya kisiasa inayoendelea Nchini Tanzania.

Hatua hiyo imekuja baada ya matokeo ya kura zilizopigwa na Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya juu ya kuzuia utekelezaji wa mpango huo ambapo kura 53 zilikubali pingamizi hilo huku 2 zikipinga wakati kura moja ikiharibika.

Awali tume ya Ulaya ilipanga kutuma zaidi ya Euro Milioni 150 kwenda Tanzania mwaka 2026, kwa ajili ya miradi ya maendeleo Nchini Tanzania ambapo utekelezaji wa msaada huo haukuzingatia hali halisi ya haki za binadamu na utawala wa sheria nchini Tanzania.

READ Also  Suluhu Declared As President Elect After Getting 98% Of The Votes

Kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii, Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje, David McAllister amesema uamuzi huo ni ishara ya wazi kwamba Umoja wa Ulaya hauwezi kuendelea kutoa fedha kwa misingi ya nyaraka zinazopuuza hali ya ukandamizaji wa kisiasa, uchaguzi usio wa haki, na mwenendo wa kiimla wa Serikali.

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

Update: Iran Deploys “swarm tactic”: Fast Attack Craft Positioned To Intercept Vessels In Hormuz

Iran has deployed a network of fast attack craft across key islands surrounding the Strait of Hormuz as part of a coordinated “swarm tactic.” Units linked to the Islamic Revolutionary…

Read more

Update: North Korea Fires 7th Missile Of The Year South Korea Calls Emergency Security Meeting

North Korea has launched another ballistic missile, marking its seventh weapons test of the year and triggering an immediate security response from South Korea. Seoul’s national security authorities convened an…

Read more

You Missed

Update: Iran Deploys “swarm tactic”: Fast Attack Craft Positioned To Intercept Vessels In Hormuz

  • By Milton
  • April 19, 2026
  • 2 views
Update: Iran Deploys “swarm tactic”: Fast Attack Craft Positioned To Intercept Vessels In Hormuz

Update: North Korea Fires 7th Missile Of The Year South Korea Calls Emergency Security Meeting

  • By Milton
  • April 19, 2026
  • 3 views
Update: North Korea Fires 7th Missile Of The Year South Korea Calls Emergency Security Meeting

Crazy World: Nakuru Man Who Confronted Police Officers Carrying A Panga

  • By Milton
  • April 19, 2026
  • 4 views
Crazy World: Nakuru Man Who Confronted Police Officers Carrying A Panga

Super Sunday In The EPL

  • By Milton
  • April 19, 2026
  • 5 views
Super Sunday In The EPL

Bad News To TVET Graduates

  • By Milton
  • April 19, 2026
  • 7 views
Bad News To TVET Graduates

It Is Good Oburu Was Made The Interim

  • By Milton
  • April 19, 2026
  • 6 views
It Is Good Oburu Was Made The Interim