Tanzania Matatani

Bunge la Ulaya limepitisha pingamizi dhidi ya mpango wa Tume ya Ulaya wa kuelekeza msaada wa kifedha kwenda Tanzania kupitia mfuko wa NDICI-Global Europe hatua inayotajwa kuchochewa na hali ya kisiasa inayoendelea Nchini Tanzania.

Hatua hiyo imekuja baada ya matokeo ya kura zilizopigwa na Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya juu ya kuzuia utekelezaji wa mpango huo ambapo kura 53 zilikubali pingamizi hilo huku 2 zikipinga wakati kura moja ikiharibika.

Awali tume ya Ulaya ilipanga kutuma zaidi ya Euro Milioni 150 kwenda Tanzania mwaka 2026, kwa ajili ya miradi ya maendeleo Nchini Tanzania ambapo utekelezaji wa msaada huo haukuzingatia hali halisi ya haki za binadamu na utawala wa sheria nchini Tanzania.

READ Also  Rais Wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Awaachia Waandamanaji Huru

Kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii, Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje, David McAllister amesema uamuzi huo ni ishara ya wazi kwamba Umoja wa Ulaya hauwezi kuendelea kutoa fedha kwa misingi ya nyaraka zinazopuuza hali ya ukandamizaji wa kisiasa, uchaguzi usio wa haki, na mwenendo wa kiimla wa Serikali.

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

Update: Ndindi Nyoro Wins Big

Glad to have received great leaders joining the People’s Party today. We received; Hon Esther Irungu – MCA, Kiambu County. Hon Anthony Marubu (Manucho) – Currently MCA in Murang’a. Both…

Read more

  • MiltonMilton
  • News
  • August 18, 2026
  • 4 views
  • 2 minutes Read
Update: Okoth Obado In Court Again

Convicted former Migori Governor Okoth Obado and his co-convicts are set to return to the Milimani High Court today for a virtual mention in the highly scrutinised Sharon Otieno murder…

Read more

You Missed

Update: Ndindi Nyoro Wins Big

  • By Milton
  • August 18, 2026
  • 2 views
Update: Ndindi Nyoro Wins Big

Update: Okoth Obado In Court Again

  • By Milton
  • August 18, 2026
  • 4 views
Update: Okoth Obado In Court Again

WAFCON 2026 AWARD WINNERS

  • By Milton
  • August 18, 2026
  • 4 views
WAFCON 2026 AWARD WINNERS

Weather Forecast For 18th to 24th August 2026

  • By Milton
  • August 18, 2026
  • 6 views
Weather Forecast For 18th to 24th August 2026

Opinion: Ruto’s Top Leaders Who Will Ditch Him

  • By Milton
  • August 18, 2026
  • 8 views
Opinion: Ruto’s Top Leaders Who Will Ditch Him

π—”π—‘π—”π—Ÿπ—¬π—¦π—œπ—¦: Iran Uses Low-Cost Drones to Pressure U.S. Air Defenses

  • By Milton
  • August 15, 2026
  • 14 views
π—”π—‘π—”π—Ÿπ—¬π—¦π—œπ—¦: Iran Uses Low-Cost Drones to Pressure U.S. Air Defenses