Tanzania Matatani

Bunge la Ulaya limepitisha pingamizi dhidi ya mpango wa Tume ya Ulaya wa kuelekeza msaada wa kifedha kwenda Tanzania kupitia mfuko wa NDICI-Global Europe hatua inayotajwa kuchochewa na hali ya kisiasa inayoendelea Nchini Tanzania.

Hatua hiyo imekuja baada ya matokeo ya kura zilizopigwa na Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya juu ya kuzuia utekelezaji wa mpango huo ambapo kura 53 zilikubali pingamizi hilo huku 2 zikipinga wakati kura moja ikiharibika.

Awali tume ya Ulaya ilipanga kutuma zaidi ya Euro Milioni 150 kwenda Tanzania mwaka 2026, kwa ajili ya miradi ya maendeleo Nchini Tanzania ambapo utekelezaji wa msaada huo haukuzingatia hali halisi ya haki za binadamu na utawala wa sheria nchini Tanzania.

READ Also  5 Months Without A Salary, Former Nominated Senator Cry

Kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii, Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje, David McAllister amesema uamuzi huo ni ishara ya wazi kwamba Umoja wa Ulaya hauwezi kuendelea kutoa fedha kwa misingi ya nyaraka zinazopuuza hali ya ukandamizaji wa kisiasa, uchaguzi usio wa haki, na mwenendo wa kiimla wa Serikali.

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

  • MiltonMilton
  • News
  • December 7, 2025
  • 2 views
  • 2 minutes Read
DCI Nab 26 Suspects In Illegal Issuance Of Vital Government Documents

In a meticulously coordinated operation, detectives have arrested 26 individuals implicated in the unlawful and unprocedural acquisition of vital government documents, including National Identity Cards, Passports, Birth Certificates, and Foreigner/Alien…

Read more

  • MiltonMilton
  • News
  • December 7, 2025
  • 3 views
  • 1 minute Read
5 Arrested In Mulot Digital Fraud Crackdown

In a swift response to mobile banking fraud in Mulot, detectives launched a coordinated operation that resulted in the arrest of five suspects at the bustling Mulot market. The suspects,…

Read more

You Missed

DCI Nab 26 Suspects In Illegal Issuance Of Vital Government Documents

  • By Milton
  • December 7, 2025
  • 2 views
DCI Nab 26 Suspects In Illegal Issuance Of Vital Government Documents

5 Arrested In Mulot Digital Fraud Crackdown

  • By Milton
  • December 7, 2025
  • 3 views
5 Arrested In Mulot Digital Fraud Crackdown

Receiving Day-Old Chicks (DAY 1–6)

  • By Milton
  • December 6, 2025
  • 2 views
Receiving Day-Old Chicks (DAY 1–6)

Today’s Premier League Matches

  • By Milton
  • December 6, 2025
  • 3 views
Today’s Premier League Matches

Eulogy For Beryl Odinga By Paul Ambala, Grandson Of Otieno Ambala

  • By Milton
  • December 6, 2025
  • 5 views
Eulogy For Beryl Odinga By Paul Ambala, Grandson Of Otieno Ambala

Update: Nyamira Governor Still In Trouble Despite Senate’s Decision

  • By Milton
  • December 6, 2025
  • 4 views
Update: Nyamira Governor Still In Trouble Despite Senate’s Decision