Tanzania Matatani

Bunge la Ulaya limepitisha pingamizi dhidi ya mpango wa Tume ya Ulaya wa kuelekeza msaada wa kifedha kwenda Tanzania kupitia mfuko wa NDICI-Global Europe hatua inayotajwa kuchochewa na hali ya kisiasa inayoendelea Nchini Tanzania.

Hatua hiyo imekuja baada ya matokeo ya kura zilizopigwa na Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya juu ya kuzuia utekelezaji wa mpango huo ambapo kura 53 zilikubali pingamizi hilo huku 2 zikipinga wakati kura moja ikiharibika.

Awali tume ya Ulaya ilipanga kutuma zaidi ya Euro Milioni 150 kwenda Tanzania mwaka 2026, kwa ajili ya miradi ya maendeleo Nchini Tanzania ambapo utekelezaji wa msaada huo haukuzingatia hali halisi ya haki za binadamu na utawala wa sheria nchini Tanzania.

READ Also  Update: Trump Slams Allies For Refusing Hormuz Mission, Reminds Them Of U.S. Troop Presence

Kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii, Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje, David McAllister amesema uamuzi huo ni ishara ya wazi kwamba Umoja wa Ulaya hauwezi kuendelea kutoa fedha kwa misingi ya nyaraka zinazopuuza hali ya ukandamizaji wa kisiasa, uchaguzi usio wa haki, na mwenendo wa kiimla wa Serikali.

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

I Have Listened To Gachagua Explain About His Late Brother’s Will Following A Petition By Some Of The Beneficiaries Of Nderitu Gachagua Estate To President Ruto

In his words, Gachagua says that his brother left the most advanced Will in the republic of Kenya that todate is studied in law schools across the country. He also…

Read more

  • MiltonMilton
  • News
  • March 29, 2026
  • 3 views
  • 1 minute Read
Uganda General Claims Ability to Seize Tehran in 14 Days, Draws Global Skepticism

General Muhoozi Kainerugaba of Uganda has sparked widespread debate after declaring on social media that Ugandan forces could capture Tehran within 14 days using only a single division, a statement…

Read more

You Missed

I Have Listened To Gachagua Explain About His Late Brother’s Will Following A Petition By Some Of The Beneficiaries Of Nderitu Gachagua Estate To President Ruto

  • By Milton
  • March 29, 2026
  • 2 views
I Have Listened To Gachagua Explain About His Late Brother’s Will Following A Petition By Some Of The Beneficiaries Of Nderitu Gachagua Estate To President Ruto

Uganda General Claims Ability to Seize Tehran in 14 Days, Draws Global Skepticism

  • By Milton
  • March 29, 2026
  • 3 views
Uganda General Claims Ability to Seize Tehran in 14 Days, Draws Global Skepticism

UPDATE: IEBC starts a 30-day intense campaign to net 2.5 million new voters from tomorrow

  • By Milton
  • March 29, 2026
  • 4 views
UPDATE: IEBC starts a 30-day intense campaign to net 2.5 million new voters from tomorrow

Football Titbits across the papers

  • By Milton
  • March 29, 2026
  • 4 views
Football Titbits across the papers

“No Kings” Protests Erupt Across U.S., Pressure Mounts on Donald Trump

  • By Milton
  • March 29, 2026
  • 6 views
“No Kings” Protests Erupt Across U.S., Pressure Mounts on Donald Trump

“I almost died in January, the window between life and death for me was 12 hours.”

  • By Milton
  • March 28, 2026
  • 3 views
“I almost died in January, the window between life and death for me was 12 hours.”