HABARI Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu imeahirishwa leo Novemba 12 hadi pale msajili wa Mahakama itakapo panga Tarehe ya kusikilizwa

Kesi hiyo imeahirishwa baada ya Mshitakiwa Tundu Lissu kuweka pingamizi dhidi ya upande wa Jamhuri kwa shahidi wa nne wa siri (Witness chamber) atokee kizimbani kwani Shahidi huyo kutoa ushahidi wa siri si salama kwake kama mshitakiwa.

Katika pingamizi Hilo,Lissu alichukua muda wa masaa mawili kutoa kanuni sita zinazokataza shahidi wa siri ikiwemo kanuni za ulinzi wa mashahidi za mwaka 2025, ambapo amesema kiboski ambacho shahidi yupo ni kizimba maalum cha ushahidi ambacho hata majaji hawatamuona katika kutoa ushahidi au kumuona isipokuwa mawakili pekee wa Serikali.

Baada ya pingamizi hilo upande wa Jamhuri kupitia kwa Nassoro Katuga umesema hoja za mshitakiwa zilikuwa nyingi na kuomba majaji na Mshitakiwa wawape muda wa kupitia kanuni hizo,ombi ambalo lilikubaliwa na Mshitakiwa Tundu Lissu na majaji. #EastAfricaTV

READ Also  English Premier League Fixtures
  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    Today’s Newspaper: Kindiki Stripped

    Breaking news Kindiki has been removed from the crucial role he previously held of coordinating government operations across all ministries β€” the Intergovernmental Coordination function. This responsibility has now been…

    Read more

    CR7 Us Reportedly Set To Retire

    CR7 is reportedly set to retire from international football after Portugal’s UEFA Nations League clash against Wales on Sep 24. Portugal career: READ Also  β€œMy Wife Whom I Share 3…

    Read more

    You Missed

    Today’s Newspaper: Kindiki Stripped

    • By Milton
    • July 28, 2026
    • 7 views
    Today’s Newspaper: Kindiki Stripped

    CR7 Us Reportedly Set To Retire

    • By Milton
    • July 25, 2026
    • 4 views
    CR7 Us Reportedly Set To Retire

    Update: Iran Expands Conflict Through Regional Proxy

    • By Milton
    • July 25, 2026
    • 11 views
    Update: Iran Expands Conflict Through Regional Proxy

    Lamine Yamal Has Never Lost To Kylian Mbappe In A Knockout Match

    • By Milton
    • July 14, 2026
    • 15 views
    Lamine Yamal Has Never Lost To Kylian Mbappe In A Knockout Match

    U.S. Naval Blockade On Iran Takes Effect

    • By Milton
    • July 14, 2026
    • 17 views
    U.S. Naval Blockade On Iran Takes Effect

    A Man Drove The Same Car For 15 Years Trying To Reach 1,000,000 Kilometres

    • By Milton
    • July 14, 2026
    • 19 views
    A Man Drove The Same Car For 15 Years Trying To Reach 1,000,000 Kilometres