HABARI Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu imeahirishwa leo Novemba 12 hadi pale msajili wa Mahakama itakapo panga Tarehe ya kusikilizwa

Kesi hiyo imeahirishwa baada ya Mshitakiwa Tundu Lissu kuweka pingamizi dhidi ya upande wa Jamhuri kwa shahidi wa nne wa siri (Witness chamber) atokee kizimbani kwani Shahidi huyo kutoa ushahidi wa siri si salama kwake kama mshitakiwa.

Katika pingamizi Hilo,Lissu alichukua muda wa masaa mawili kutoa kanuni sita zinazokataza shahidi wa siri ikiwemo kanuni za ulinzi wa mashahidi za mwaka 2025, ambapo amesema kiboski ambacho shahidi yupo ni kizimba maalum cha ushahidi ambacho hata majaji hawatamuona katika kutoa ushahidi au kumuona isipokuwa mawakili pekee wa Serikali.

Baada ya pingamizi hilo upande wa Jamhuri kupitia kwa Nassoro Katuga umesema hoja za mshitakiwa zilikuwa nyingi na kuomba majaji na Mshitakiwa wawape muda wa kupitia kanuni hizo,ombi ambalo lilikubaliwa na Mshitakiwa Tundu Lissu na majaji. #EastAfricaTV

READ Also  How This Has Been A Crazy Week In The Football World
  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    DCI: Wanted Land Fraud Suspect Arrested

    Detectives from the DCI Headquartersโ€™ Land Fraud Investigations Unit (LFIU) have arrested Nancy Wamuyu Njai, who was wanted under a warrant of arrest issued by the Kajiado Chief Magistrateโ€™s Court…

    Read more

    Blow To Ruto And Mbeere North MP Leo Wa Muthende

    NEWS UPDATE! Blow to Ruto and Mbeere North MP Leo Wa Muthende as residents demand the return of transformers and other development projects that were donated by the government during…

    Read more

    You Missed

    DCI: Wanted Land Fraud Suspect Arrested

    • By Milton
    • July 9, 2026
    • 4 views
    DCI: Wanted Land Fraud Suspect Arrested

    Blow To Ruto And Mbeere North MP Leo Wa Muthende

    • By Milton
    • July 9, 2026
    • 6 views
    Blow To Ruto And Mbeere North MP Leo Wa Muthende

    Football Titbits Across The Papers

    • By Milton
    • July 9, 2026
    • 5 views
    Football Titbits Across The Papers

    U.S. Strike Reported on Railway Bridge in Northern Iran

    • By Milton
    • July 9, 2026
    • 8 views
    U.S. Strike Reported on Railway Bridge in Northern Iran

    Update: U.S. Strike Reported at Chabahar Port

    • By Milton
    • July 9, 2026
    • 6 views
    Update: U.S. Strike Reported at Chabahar Port

    World Cup 2026: Ronaldo Speaks

    • By Milton
    • July 7, 2026
    • 5 views
    World Cup 2026: Ronaldo Speaks