HABARI Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu imeahirishwa leo Novemba 12 hadi pale msajili wa Mahakama itakapo panga Tarehe ya kusikilizwa

Kesi hiyo imeahirishwa baada ya Mshitakiwa Tundu Lissu kuweka pingamizi dhidi ya upande wa Jamhuri kwa shahidi wa nne wa siri (Witness chamber) atokee kizimbani kwani Shahidi huyo kutoa ushahidi wa siri si salama kwake kama mshitakiwa.

Katika pingamizi Hilo,Lissu alichukua muda wa masaa mawili kutoa kanuni sita zinazokataza shahidi wa siri ikiwemo kanuni za ulinzi wa mashahidi za mwaka 2025, ambapo amesema kiboski ambacho shahidi yupo ni kizimba maalum cha ushahidi ambacho hata majaji hawatamuona katika kutoa ushahidi au kumuona isipokuwa mawakili pekee wa Serikali.

Baada ya pingamizi hilo upande wa Jamhuri kupitia kwa Nassoro Katuga umesema hoja za mshitakiwa zilikuwa nyingi na kuomba majaji na Mshitakiwa wawape muda wa kupitia kanuni hizo,ombi ambalo lilikubaliwa na Mshitakiwa Tundu Lissu na majaji. #EastAfricaTV

READ Also  β€œAfter Many Years Of Struggling With S.T.I These People Finally Cured Me” David Tells
  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    Football Titbits Across The Papers

    Manchester United and Tottenham have made moves to sign Netherlands forward Crysencio Summerville, 24, from West Ham. (Teamtalk), external Chelsea are monitoring 26-year-old Porto goalkeeper Diogo Costa as they consider…

    Read more

    The World Cup Drama Continues! Round 2 Starts Today

    The World Cup drama continues! Round 2 starts today. 7pm | Czech Republic πŸ‡¨πŸ‡Ώ vs South Africa πŸ‡ΏπŸ‡¦ 10pm | Switzerland πŸ‡¨πŸ‡­ vs Bosnia πŸ‡§πŸ‡¦ 1am | Canada πŸ‡¨πŸ‡¦ vs…

    Read more

    You Missed

    Football Titbits Across The Papers

    • By Milton
    • June 18, 2026
    • 2 views
    Football Titbits Across The Papers

    The World Cup Drama Continues! Round 2 Starts Today

    • By Milton
    • June 18, 2026
    • 3 views
    The World Cup Drama Continues! Round 2 Starts Today

    Update: Cole Palmer’s Connection With Chelsea’s Attack Was Reflected In The Chances He Created For Those Around Him

    • By Milton
    • June 3, 2026
    • 10 views
    Update: Cole Palmer’s Connection With Chelsea’s Attack Was Reflected In The Chances He Created For Those Around Him

    ππ‘π„π€πŠπˆππ†: These Are The π‚πŽππ…πˆπ‘πŒπ„πƒ 𝐍𝐄𝐖 𝐑𝐔𝐋𝐄𝐒 For The 2026 World Cup

    • By Milton
    • June 3, 2026
    • 17 views
    ππ‘π„π€πŠπˆππ†: These Are The π‚πŽππ…πˆπ‘πŒπ„πƒ 𝐍𝐄𝐖 𝐑𝐔𝐋𝐄𝐒 For The 2026 World Cup

    Update: Gachagua’s Team Unites For Upcoming Ol Kalou parliamentary By-election

    • By Milton
    • June 3, 2026
    • 12 views
    Update: Gachagua’s Team Unites For Upcoming Ol Kalou parliamentary By-election

    π—”π—‘π—”π—Ÿπ—¬π—¦π—œπ—¦: Pentagon Targets 300,000 Kamikaze Drones In Major Military Expansion

    • By Milton
    • June 3, 2026
    • 17 views
    π—”π—‘π—”π—Ÿπ—¬π—¦π—œπ—¦: Pentagon Targets 300,000 Kamikaze Drones In Major Military Expansion