HABARI Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu imeahirishwa leo Novemba 12 hadi pale msajili wa Mahakama itakapo panga Tarehe ya kusikilizwa

Kesi hiyo imeahirishwa baada ya Mshitakiwa Tundu Lissu kuweka pingamizi dhidi ya upande wa Jamhuri kwa shahidi wa nne wa siri (Witness chamber) atokee kizimbani kwani Shahidi huyo kutoa ushahidi wa siri si salama kwake kama mshitakiwa.

Katika pingamizi Hilo,Lissu alichukua muda wa masaa mawili kutoa kanuni sita zinazokataza shahidi wa siri ikiwemo kanuni za ulinzi wa mashahidi za mwaka 2025, ambapo amesema kiboski ambacho shahidi yupo ni kizimba maalum cha ushahidi ambacho hata majaji hawatamuona katika kutoa ushahidi au kumuona isipokuwa mawakili pekee wa Serikali.

Baada ya pingamizi hilo upande wa Jamhuri kupitia kwa Nassoro Katuga umesema hoja za mshitakiwa zilikuwa nyingi na kuomba majaji na Mshitakiwa wawape muda wa kupitia kanuni hizo,ombi ambalo lilikubaliwa na Mshitakiwa Tundu Lissu na majaji. #EastAfricaTV

READ Also  Today's UEFA Champions League matches
  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    • MiltonMilton
    • News
    • December 7, 2025
    • 2 views
    • 2 minutes Read
    DCI Nab 26 Suspects In Illegal Issuance Of Vital Government Documents

    In a meticulously coordinated operation, detectives have arrested 26 individuals implicated in the unlawful and unprocedural acquisition of vital government documents, including National Identity Cards, Passports, Birth Certificates, and Foreigner/Alien…

    Read more

    • MiltonMilton
    • News
    • December 7, 2025
    • 3 views
    • 1 minute Read
    5 Arrested In Mulot Digital Fraud Crackdown

    In a swift response to mobile banking fraud in Mulot, detectives launched a coordinated operation that resulted in the arrest of five suspects at the bustling Mulot market. The suspects,…

    Read more

    You Missed

    DCI Nab 26 Suspects In Illegal Issuance Of Vital Government Documents

    • By Milton
    • December 7, 2025
    • 2 views
    DCI Nab 26 Suspects In Illegal Issuance Of Vital Government Documents

    5 Arrested In Mulot Digital Fraud Crackdown

    • By Milton
    • December 7, 2025
    • 3 views
    5 Arrested In Mulot Digital Fraud Crackdown

    Receiving Day-Old Chicks (DAY 1–6)

    • By Milton
    • December 6, 2025
    • 3 views
    Receiving Day-Old Chicks (DAY 1–6)

    Today’s Premier League Matches

    • By Milton
    • December 6, 2025
    • 5 views
    Today’s Premier League Matches

    Eulogy For Beryl Odinga By Paul Ambala, Grandson Of Otieno Ambala

    • By Milton
    • December 6, 2025
    • 5 views
    Eulogy For Beryl Odinga By Paul Ambala, Grandson Of Otieno Ambala

    Update: Nyamira Governor Still In Trouble Despite Senate’s Decision

    • By Milton
    • December 6, 2025
    • 5 views
    Update: Nyamira Governor Still In Trouble Despite Senate’s Decision