HABARI Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu imeahirishwa leo Novemba 12 hadi pale msajili wa Mahakama itakapo panga Tarehe ya kusikilizwa

Kesi hiyo imeahirishwa baada ya Mshitakiwa Tundu Lissu kuweka pingamizi dhidi ya upande wa Jamhuri kwa shahidi wa nne wa siri (Witness chamber) atokee kizimbani kwani Shahidi huyo kutoa ushahidi wa siri si salama kwake kama mshitakiwa.

Katika pingamizi Hilo,Lissu alichukua muda wa masaa mawili kutoa kanuni sita zinazokataza shahidi wa siri ikiwemo kanuni za ulinzi wa mashahidi za mwaka 2025, ambapo amesema kiboski ambacho shahidi yupo ni kizimba maalum cha ushahidi ambacho hata majaji hawatamuona katika kutoa ushahidi au kumuona isipokuwa mawakili pekee wa Serikali.

Baada ya pingamizi hilo upande wa Jamhuri kupitia kwa Nassoro Katuga umesema hoja za mshitakiwa zilikuwa nyingi na kuomba majaji na Mshitakiwa wawape muda wa kupitia kanuni hizo,ombi ambalo lilikubaliwa na Mshitakiwa Tundu Lissu na majaji. #EastAfricaTV

READ Also  Ruto's Powerful Tribute To "Baba"
  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    Update: Ndindi Nyoro Wins Big

    Glad to have received great leaders joining the People’s Party today. We received; Hon Esther Irungu – MCA, Kiambu County. Hon Anthony Marubu (Manucho) – Currently MCA in Murang’a. Both…

    Read more

    • MiltonMilton
    • News
    • August 18, 2026
    • 4 views
    • 2 minutes Read
    Update: Okoth Obado In Court Again

    Convicted former Migori Governor Okoth Obado and his co-convicts are set to return to the Milimani High Court today for a virtual mention in the highly scrutinised Sharon Otieno murder…

    Read more

    You Missed

    Update: Ndindi Nyoro Wins Big

    • By Milton
    • August 18, 2026
    • 2 views
    Update: Ndindi Nyoro Wins Big

    Update: Okoth Obado In Court Again

    • By Milton
    • August 18, 2026
    • 4 views
    Update: Okoth Obado In Court Again

    WAFCON 2026 AWARD WINNERS

    • By Milton
    • August 18, 2026
    • 4 views
    WAFCON 2026 AWARD WINNERS

    Weather Forecast For 18th to 24th August 2026

    • By Milton
    • August 18, 2026
    • 7 views
    Weather Forecast For 18th to 24th August 2026

    Opinion: Ruto’s Top Leaders Who Will Ditch Him

    • By Milton
    • August 18, 2026
    • 9 views
    Opinion: Ruto’s Top Leaders Who Will Ditch Him

    π—”π—‘π—”π—Ÿπ—¬π—¦π—œπ—¦: Iran Uses Low-Cost Drones to Pressure U.S. Air Defenses

    • By Milton
    • August 15, 2026
    • 14 views
    π—”π—‘π—”π—Ÿπ—¬π—¦π—œπ—¦: Iran Uses Low-Cost Drones to Pressure U.S. Air Defenses