HABARI Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu imeahirishwa leo Novemba 12 hadi pale msajili wa Mahakama itakapo panga Tarehe ya kusikilizwa

Kesi hiyo imeahirishwa baada ya Mshitakiwa Tundu Lissu kuweka pingamizi dhidi ya upande wa Jamhuri kwa shahidi wa nne wa siri (Witness chamber) atokee kizimbani kwani Shahidi huyo kutoa ushahidi wa siri si salama kwake kama mshitakiwa.

Katika pingamizi Hilo,Lissu alichukua muda wa masaa mawili kutoa kanuni sita zinazokataza shahidi wa siri ikiwemo kanuni za ulinzi wa mashahidi za mwaka 2025, ambapo amesema kiboski ambacho shahidi yupo ni kizimba maalum cha ushahidi ambacho hata majaji hawatamuona katika kutoa ushahidi au kumuona isipokuwa mawakili pekee wa Serikali.

Baada ya pingamizi hilo upande wa Jamhuri kupitia kwa Nassoro Katuga umesema hoja za mshitakiwa zilikuwa nyingi na kuomba majaji na Mshitakiwa wawape muda wa kupitia kanuni hizo,ombi ambalo lilikubaliwa na Mshitakiwa Tundu Lissu na majaji. #EastAfricaTV

READ Also  My Husband Used To Beat Me But What I Did Last Month Made Him Cry And Beg For Forgiveness
  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    Football Titbits Across The Papers

    Arsenal eye Morgan Rogers, Paris St-Germain to rival Liverpool for Yan Diomande, Roberto de Zerbi eyes raid on former club Brighton and Jack Grealish will get chance to revive Man…

    Read more

    Today’s KPL matchday

    KPL matchday! 2pm | Mara Sugar FC vs Gor Mahia FC at ROSH in Homa Bay 3pm | Sofapaka FC vs KCB Football Club at Kasarani Annex 4pm | Ulinzi…

    Read more

    You Missed

    Football Titbits Across The Papers

    • By Milton
    • May 27, 2026
    • 5 views
    Football Titbits Across The Papers

    Today’s KPL matchday

    • By Milton
    • May 27, 2026
    • 6 views
    Today’s KPL matchday

    Update: Iranian State Media Releases This Images

    • By Milton
    • May 27, 2026
    • 8 views
    Update: Iranian State Media Releases This Images

    Why Mt Kenya People Should Stop Demonstrating

    • By Milton
    • May 25, 2026
    • 7 views
    Why Mt Kenya People Should Stop Demonstrating

    Update: Njugush And Wakavinye Are Allegedly Back Together

    • By Milton
    • May 25, 2026
    • 12 views
    Update: Njugush And Wakavinye Are Allegedly Back Together

    Football Titbits Across The Papers

    • By Milton
    • May 25, 2026
    • 10 views
    Football Titbits Across The Papers