HABARI Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu imeahirishwa leo Novemba 12 hadi pale msajili wa Mahakama itakapo panga Tarehe ya kusikilizwa

Kesi hiyo imeahirishwa baada ya Mshitakiwa Tundu Lissu kuweka pingamizi dhidi ya upande wa Jamhuri kwa shahidi wa nne wa siri (Witness chamber) atokee kizimbani kwani Shahidi huyo kutoa ushahidi wa siri si salama kwake kama mshitakiwa.

Katika pingamizi Hilo,Lissu alichukua muda wa masaa mawili kutoa kanuni sita zinazokataza shahidi wa siri ikiwemo kanuni za ulinzi wa mashahidi za mwaka 2025, ambapo amesema kiboski ambacho shahidi yupo ni kizimba maalum cha ushahidi ambacho hata majaji hawatamuona katika kutoa ushahidi au kumuona isipokuwa mawakili pekee wa Serikali.

Baada ya pingamizi hilo upande wa Jamhuri kupitia kwa Nassoro Katuga umesema hoja za mshitakiwa zilikuwa nyingi na kuomba majaji na Mshitakiwa wawape muda wa kupitia kanuni hizo,ombi ambalo lilikubaliwa na Mshitakiwa Tundu Lissu na majaji. #EastAfricaTV

READ Also  Why you’ll always see the officer in a white coat near Raila’s body
  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    Football Titbits across the papers

    Football Titbits across the papers. Liverpool make offer for Dutch defender Sam Beukema, AC Milan offer Rafael Leao to Premier League sides, Manchester United target ex-Nottingham Forest midfielder Danilo. Liverpool…

    Read more

    • MiltonMilton
    • News
    • April 30, 2026
    • 8 views
    • 1 minute Read
    UPDATE: President Ruto Awards Sebastian Sawe With Ksh 8 Million

    President Ruto awards Sebastian Sawe with Ksh 8 Million after becoming the first athlete to run a sub-two-hour marathon at the 2026 London Marathon. READ Also  If Eliud Owalo Wins…

    Read more

    You Missed

    Football Titbits across the papers

    • By Milton
    • May 3, 2026
    • 3 views
    Football Titbits across the papers

    UPDATE: President Ruto Awards Sebastian Sawe With Ksh 8 Million

    • By Milton
    • April 30, 2026
    • 8 views
    UPDATE: President Ruto Awards Sebastian Sawe With Ksh 8 Million

    UPDATE: Millie Odhiambo Rejects Election Zoning

    • By Milton
    • April 30, 2026
    • 7 views
    UPDATE: Millie Odhiambo Rejects Election Zoning

    Football Titbits across the papers

    • By Milton
    • April 30, 2026
    • 7 views
    Football Titbits across the papers

    I Still Believe Arsenal Will Win The Premier League

    • By Milton
    • April 20, 2026
    • 20 views
    I Still Believe Arsenal Will Win The Premier League

    Pep Guardiola On Donnarumma’s error

    • By Milton
    • April 20, 2026
    • 20 views
    Pep Guardiola On Donnarumma’s error