HABARI Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu imeahirishwa leo Novemba 12 hadi pale msajili wa Mahakama itakapo panga Tarehe ya kusikilizwa

Kesi hiyo imeahirishwa baada ya Mshitakiwa Tundu Lissu kuweka pingamizi dhidi ya upande wa Jamhuri kwa shahidi wa nne wa siri (Witness chamber) atokee kizimbani kwani Shahidi huyo kutoa ushahidi wa siri si salama kwake kama mshitakiwa.

Katika pingamizi Hilo,Lissu alichukua muda wa masaa mawili kutoa kanuni sita zinazokataza shahidi wa siri ikiwemo kanuni za ulinzi wa mashahidi za mwaka 2025, ambapo amesema kiboski ambacho shahidi yupo ni kizimba maalum cha ushahidi ambacho hata majaji hawatamuona katika kutoa ushahidi au kumuona isipokuwa mawakili pekee wa Serikali.

Baada ya pingamizi hilo upande wa Jamhuri kupitia kwa Nassoro Katuga umesema hoja za mshitakiwa zilikuwa nyingi na kuomba majaji na Mshitakiwa wawape muda wa kupitia kanuni hizo,ombi ambalo lilikubaliwa na Mshitakiwa Tundu Lissu na majaji. #EastAfricaTV

READ Also  Unlock Exceptional Success: The Powerful Magic for Fame, Wealth, and Prosperity
  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    Musalia Mudavadi Proposes Referendum Come 2027

    Prime CS Musalia Mudavadi has hinted at having the 2027 general election alongside a constitutional referendum. Mudavadi says some of the constitutional issues that need to be resolved can be…

    Read more

    • MiltonMilton
    • News
    • December 24, 2025
    • 2 views
    • 4 minutes Read
    My Husband Started Dating A Younger & Beautiful Campus Girl And Wanted To Divorce Me, But This One Thing I Did Ended Their Love, Masaka Lady Shares

    Rebecca, a 39-year-old woman from Masaka, Uganda, never imagined that her marriage would reach such a painful point. She had been married for over ten years and was a devoted…

    Read more

    You Missed

    Musalia Mudavadi Proposes Referendum Come 2027

    • By Milton
    • December 24, 2025
    • 2 views
    Musalia Mudavadi Proposes Referendum Come 2027

    My Husband Started Dating A Younger & Beautiful Campus Girl And Wanted To Divorce Me, But This One Thing I Did Ended Their Love, Masaka Lady Shares

    • By Milton
    • December 24, 2025
    • 2 views
    My Husband Started Dating A Younger & Beautiful Campus Girl And Wanted To Divorce Me, But This One Thing I Did Ended Their Love, Masaka Lady Shares

    My Children Suddenly Became Disobedient And Uncontrollable Until I Found The Real Solution That Worked Perfectly

    • By Milton
    • December 24, 2025
    • 2 views
    My Children Suddenly Became Disobedient And Uncontrollable Until I Found The Real Solution That Worked Perfectly

    My Farm Failed Season After Season While Others Harvested Abundantly, Until Things Changed, This Is How I Made Things Work For Me

    • By Milton
    • December 24, 2025
    • 4 views
    My Farm Failed Season After Season While Others Harvested Abundantly, Until Things Changed, This Is How I Made Things Work For Me

    I Kept Losing Court Cases And Conflicts Until Justice Finally Started Working In My Favor

    • By Milton
    • December 24, 2025
    • 5 views
    I Kept Losing Court Cases And Conflicts Until Justice Finally Started Working In My Favor

    After Doing Boda Boda Job For Over 7 Years, I Now Drive A Benz, Kato Shares How He Made Quick Money To Buy His First Car

    • By Milton
    • December 23, 2025
    • 5 views
    After Doing Boda Boda Job For Over 7 Years, I Now Drive A Benz, Kato Shares How He Made Quick Money To Buy His First Car