HABARI Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu imeahirishwa leo Novemba 12 hadi pale msajili wa Mahakama itakapo panga Tarehe ya kusikilizwa

Kesi hiyo imeahirishwa baada ya Mshitakiwa Tundu Lissu kuweka pingamizi dhidi ya upande wa Jamhuri kwa shahidi wa nne wa siri (Witness chamber) atokee kizimbani kwani Shahidi huyo kutoa ushahidi wa siri si salama kwake kama mshitakiwa.

Katika pingamizi Hilo,Lissu alichukua muda wa masaa mawili kutoa kanuni sita zinazokataza shahidi wa siri ikiwemo kanuni za ulinzi wa mashahidi za mwaka 2025, ambapo amesema kiboski ambacho shahidi yupo ni kizimba maalum cha ushahidi ambacho hata majaji hawatamuona katika kutoa ushahidi au kumuona isipokuwa mawakili pekee wa Serikali.

Baada ya pingamizi hilo upande wa Jamhuri kupitia kwa Nassoro Katuga umesema hoja za mshitakiwa zilikuwa nyingi na kuomba majaji na Mshitakiwa wawape muda wa kupitia kanuni hizo,ombi ambalo lilikubaliwa na Mshitakiwa Tundu Lissu na majaji. #EastAfricaTV

READ Also  How a Single Call Turned My Life Around
  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    • MiltonMilton
    • News
    • March 9, 2026
    • 2 views
    • 2 minutes Read
    Woman Reveals How She Stopped Her Husband From Secretly Supporting His Side Chic

    A married woman from Meru has opened up about the painful discovery she made when she realized that her husband had been secretly supporting another woman without her knowledge. According…

    Read more

    • MiltonMilton
    • News
    • March 9, 2026
    • 2 views
    • 2 minutes Read
    After Being Fired From Work Unfairly, Employee Finally Gets Reinstated – Here Is The Strategy That Worked

    A man from Mombasa has shared how he managed to regain his job after being dismissed under circumstances he believed were unfair. According to him, he had worked for the…

    Read more

    You Missed

    Woman Reveals How She Stopped Her Husband From Secretly Supporting His Side Chic

    • By Milton
    • March 9, 2026
    • 2 views
    Woman Reveals How She Stopped Her Husband From Secretly Supporting His Side Chic

    After Being Fired From Work Unfairly, Employee Finally Gets Reinstated – Here Is The Strategy That Worked

    • By Milton
    • March 9, 2026
    • 2 views
    After Being Fired From Work Unfairly, Employee Finally Gets Reinstated – Here Is The Strategy That Worked

    RIP: Sad As Former Harambee Stars Coach Die

    • By Milton
    • March 9, 2026
    • 3 views
    RIP: Sad As Former Harambee Stars Coach Die

    Iran’s Epic Counterstrike: Magic Carpet Takes Down F-35 Fleet

    • By Milton
    • March 9, 2026
    • 6 views
    Iran’s Epic Counterstrike: Magic Carpet Takes Down F-35 Fleet

    IRAN WAR — DAY 9. Here’s 10 Latest Updates You Should Probably Know

    • By Milton
    • March 9, 2026
    • 5 views
    IRAN WAR — DAY 9. Here’s 10 Latest Updates You Should Probably Know

    Young Man Narrates How He Escaped a Strange Series of Misfortunes That Followed Him Everywhere

    • By Milton
    • March 9, 2026
    • 4 views
    Young Man Narrates How He Escaped a Strange Series of Misfortunes That Followed Him Everywhere