HABARI Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu imeahirishwa leo Novemba 12 hadi pale msajili wa Mahakama itakapo panga Tarehe ya kusikilizwa

Kesi hiyo imeahirishwa baada ya Mshitakiwa Tundu Lissu kuweka pingamizi dhidi ya upande wa Jamhuri kwa shahidi wa nne wa siri (Witness chamber) atokee kizimbani kwani Shahidi huyo kutoa ushahidi wa siri si salama kwake kama mshitakiwa.

Katika pingamizi Hilo,Lissu alichukua muda wa masaa mawili kutoa kanuni sita zinazokataza shahidi wa siri ikiwemo kanuni za ulinzi wa mashahidi za mwaka 2025, ambapo amesema kiboski ambacho shahidi yupo ni kizimba maalum cha ushahidi ambacho hata majaji hawatamuona katika kutoa ushahidi au kumuona isipokuwa mawakili pekee wa Serikali.

Baada ya pingamizi hilo upande wa Jamhuri kupitia kwa Nassoro Katuga umesema hoja za mshitakiwa zilikuwa nyingi na kuomba majaji na Mshitakiwa wawape muda wa kupitia kanuni hizo,ombi ambalo lilikubaliwa na Mshitakiwa Tundu Lissu na majaji. #EastAfricaTV

READ Also  The Cameroonian Football Federation (FECAFOOT) In Turmoil Just Days Before The Africa Cup Of Nations
  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    I Have Listened To Gachagua Explain About His Late Brother’s Will Following A Petition By Some Of The Beneficiaries Of Nderitu Gachagua Estate To President Ruto

    In his words, Gachagua says that his brother left the most advanced Will in the republic of Kenya that todate is studied in law schools across the country. He also…

    Read more

    • MiltonMilton
    • News
    • March 29, 2026
    • 1 views
    • 1 minute Read
    Uganda General Claims Ability to Seize Tehran in 14 Days, Draws Global Skepticism

    General Muhoozi Kainerugaba of Uganda has sparked widespread debate after declaring on social media that Ugandan forces could capture Tehran within 14 days using only a single division, a statement…

    Read more

    You Missed

    I Have Listened To Gachagua Explain About His Late Brother’s Will Following A Petition By Some Of The Beneficiaries Of Nderitu Gachagua Estate To President Ruto

    • By Milton
    • March 29, 2026
    • 1 views
    I Have Listened To Gachagua Explain About His Late Brother’s Will Following A Petition By Some Of The Beneficiaries Of Nderitu Gachagua Estate To President Ruto

    Uganda General Claims Ability to Seize Tehran in 14 Days, Draws Global Skepticism

    • By Milton
    • March 29, 2026
    • 1 views
    Uganda General Claims Ability to Seize Tehran in 14 Days, Draws Global Skepticism

    UPDATE: IEBC starts a 30-day intense campaign to net 2.5 million new voters from tomorrow

    • By Milton
    • March 29, 2026
    • 2 views
    UPDATE: IEBC starts a 30-day intense campaign to net 2.5 million new voters from tomorrow

    Football Titbits across the papers

    • By Milton
    • March 29, 2026
    • 3 views
    Football Titbits across the papers

    “No Kings” Protests Erupt Across U.S., Pressure Mounts on Donald Trump

    • By Milton
    • March 29, 2026
    • 4 views
    “No Kings” Protests Erupt Across U.S., Pressure Mounts on Donald Trump

    “I almost died in January, the window between life and death for me was 12 hours.”

    • By Milton
    • March 28, 2026
    • 2 views
    “I almost died in January, the window between life and death for me was 12 hours.”