Muogope Mwanaume Mwenye Tabia Hizi

-OGOPA MWANAMKE muongeaji sana.. Ukiongea neno moja yeye hujibu maneno kumi na kuendelea, Huyu hata akikosea jambo ukimuelewesha hatoelewa na ni mwepesi kubishana na wewe hata kama utakuwa unamelekeza katika haq.

-OGOPA MWANAMKE anayependa kujisifu sana juu ya uzuri wake, huyu pia mara nyingi si msikivu ndani ya ndoa yake na ni rahisi kuomba talaka bila ya sababu akiamini yeye ni mzuri na anapendwa na wanaume wengi hivyo huwezi kumbabaisha.

-OGOPA MWANAMKE mwenye kujifanya mjuaji sana.. Ukimuelekeza jambo la ukweli hulitafutia sababu ya kukufanya uonekane kuwa unalomuelekeza si la muhimu kwake na hujiona kuwa yeye anajua zaidi kuliko wewe..

-OGOPA MWANAMKE ambaye ana fikra potofu za haki sawa kwa wote (Yaani 50 kwa 50) kwamba yaani anaamini kuwa naye ana haki ya kufanya lolote kama wewe mume na haijalishi kuwa umeridhia au laa.. Huyu hatokupa nafasi kama mume na hutaka kuyafanya maamuzi yake ndo yawe ya mwisho katika majambo..

READ Also  My School Started Just With 5 Students But Today They Are Over 2000, Kenyan Man Shares

-OGOPA MWANAMKE asiye na Hofu na ALLAH.. huyu huwa ni mbaya zaidi na si mlezi mzuri wa watoto katika kuwaelekeza katika maadili mema.. Huweza kufanya lolote bila kujali ni lenye kumpatia madhambi au laa..

-OGOPA MWANAMKE yule mwenye kupenda kujipamba kwa ajili ya wanaume wengine, anayependa kuuonesha uzuri wake kwa wanaume na mwenye kujiona..

Aina hizi za wanawake na nyinginezo pia huweza kukufanya uikose tamu ya ndoa pindi uwaoapo kutokana na tabia zao na mwenendo wao usiopendeza…

CHAGUA MWANAMKE ALIYE BORA NA SI BORA MWANAMKE..

UTAPATA RAHA NA FURAHA NA UTAONJA LADHA NA TAMU YA NDOA YAKO.𝗠𝗨𝗢𝗚𝗢𝗣𝗘 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗠𝗞𝗘 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗧𝗔𝗕𝗜𝗔 𝗛𝗜𝗭𝗜

READ Also  My husband said being with me felt like being with a lifeless log

-OGOPA MWANAMKE muongeaji sana.. Ukiongea neno moja yeye hujibu maneno kumi na kuendelea, Huyu hata akikosea jambo ukimuelewesha hatoelewa na ni mwepesi kubishana na wewe hata kama utakuwa unamelekeza katika haq..

-OGOPA MWANAMKE anayependa kujisifu sana juu ya uzuri wake, huyu pia mara nyingi si msikivu ndani ya ndoa yake na ni rahisi kuomba talaka bila ya sababu akiamini yeye ni mzuri na anapendwa na wanaume wengi hivyo huwezi kumbabaisha..

-OGOPA MWANAMKE mwenye kujifanya mjuaji sana.. Ukimuelekeza jambo la ukweli hulitafutia sababu ya kukufanya uonekane kuwa unalomuelekeza si la muhimu kwake na hujiona kuwa yeye anajua zaidi kuliko wewe..

-OGOPA MWANAMKE ambaye ana fikra potofu za haki sawa kwa wote (Yaani 50 kwa 50) kwamba yaani anaamini kuwa naye ana haki ya kufanya lolote kama wewe mume na haijalishi kuwa umeridhia au laa.. Huyu hatokupa nafasi kama mume na hutaka kuyafanya maamuzi yake ndo yawe ya mwisho katika majambo..

READ Also  My Life Changed For The Better After I Made This One Phone Call, Kenyan Man Narrates How He Got Wealth

-OGOPA MWANAMKE asiye na Hofu na ALLAH.. huyu huwa ni mbaya zaidi na si mlezi mzuri wa watoto katika kuwaelekeza katika maadili mema.. Huweza kufanya lolote bila kujali ni lenye kumpatia madhambi au laa..

-OGOPA MWANAMKE yule mwenye kupenda kujipamba kwa ajili ya wanaume wengine, anayependa kuuonesha uzuri wake kwa wanaume na mwenye kujiona..

Aina hizi za wanawake na nyinginezo pia huweza kukufanya uikose tamu ya ndoa pindi uwaoapo kutokana na tabia zao na mwenendo wao usiopendeza…

CHAGUA MWANAMKE ALIYE BORA NA SI BORA MWANAMKE..

UTAPATA RAHA NA FURAHA NA UTAONJA LADHA NA TAMU YA NDOA.

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

  • MiltonMilton
  • Ads
  • December 15, 2025
  • 24 views
  • 2 minutes Read
There Is No Other Way But Only This One That Can Stop Your Husband From Being Tempted to Date Your House Girl

My name is Aisha Namutebi, a 33-year-old woman from Kampala, Uganda, and I am sharing this testimony because I know so many women suffer silently in their marriages. I never…

Read more

  • MiltonMilton
  • Ads
  • December 15, 2025
  • 25 views
  • 2 minutes Read
I Was Always Involved in Accidents That Almost Killed Me, Until This Stopped It, Otieno Tells

My name is Peter Otieno, a 36-year-old man from Eldoret, Kenya, and I am sharing this testimony to help anyone who has been facing repeated accidents or misfortune. For years,…

Read more

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

You Missed

Meet Libyan Military Who Died In A Plane Crash

  • By Milton
  • December 24, 2025
  • 1 views
Meet Libyan Military Who Died In A Plane Crash

Museveni And Janet Open Hoima City Stadium

  • By Milton
  • December 24, 2025
  • 3 views
Museveni And Janet Open Hoima City Stadium

Musalia Mudavadi Proposes Referendum Come 2027

  • By Milton
  • December 24, 2025
  • 2 views
Musalia Mudavadi Proposes Referendum Come 2027

My Husband Started Dating A Younger & Beautiful Campus Girl And Wanted To Divorce Me, But This One Thing I Did Ended Their Love, Masaka Lady Shares

  • By Milton
  • December 24, 2025
  • 3 views
My Husband Started Dating A Younger & Beautiful Campus Girl And Wanted To Divorce Me, But This One Thing I Did Ended Their Love, Masaka Lady Shares

My Children Suddenly Became Disobedient And Uncontrollable Until I Found The Real Solution That Worked Perfectly

  • By Milton
  • December 24, 2025
  • 2 views
My Children Suddenly Became Disobedient And Uncontrollable Until I Found The Real Solution That Worked Perfectly

My Farm Failed Season After Season While Others Harvested Abundantly, Until Things Changed, This Is How I Made Things Work For Me

  • By Milton
  • December 24, 2025
  • 4 views
My Farm Failed Season After Season While Others Harvested Abundantly, Until Things Changed, This Is How I Made Things Work For Me