Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es salaam.

Kesi hiyo imepangwa leo Septemba 8 kwa ajili ya usikilizwaji wa awali mbele ya Jaji Dunstan Ndunguru huku upande wa Jamhuri ukitarajia kuwaita Mashahidi 30 kutoa ushahidi dhidi ya Lissu na kuwasilisha vielelezo 16.

Itakumbukwa awali kesi hiyo ilikuwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na baada ya kukamilishwa kwa upelelezi ikahamishiwa rasmi katika Mahakama Kuu kwa ajili ya kuendelea na hatua zaidi za kisheria.

READ Also  Kakamega Town Brought to a Standstill After Woman Who Had This Issues Healed Instantly

Katika kesi hiyo ya uhaini Lissu anadaiwa Aprili 3, 2025 Jijini Dar es salaam alitengeneza nia ya kushawishi au kuchochea umma kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.

  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    Update: Ndindi Nyoro Wins Big

    Glad to have received great leaders joining the People’s Party today. We received; Hon Esther Irungu – MCA, Kiambu County. Hon Anthony Marubu (Manucho) – Currently MCA in Murang’a. Both…

    Read more

    • MiltonMilton
    • News
    • August 18, 2026
    • 4 views
    • 2 minutes Read
    Update: Okoth Obado In Court Again

    Convicted former Migori Governor Okoth Obado and his co-convicts are set to return to the Milimani High Court today for a virtual mention in the highly scrutinised Sharon Otieno murder…

    Read more

    You Missed

    Update: Ndindi Nyoro Wins Big

    • By Milton
    • August 18, 2026
    • 2 views
    Update: Ndindi Nyoro Wins Big

    Update: Okoth Obado In Court Again

    • By Milton
    • August 18, 2026
    • 4 views
    Update: Okoth Obado In Court Again

    WAFCON 2026 AWARD WINNERS

    • By Milton
    • August 18, 2026
    • 4 views
    WAFCON 2026 AWARD WINNERS

    Weather Forecast For 18th to 24th August 2026

    • By Milton
    • August 18, 2026
    • 7 views
    Weather Forecast For 18th to 24th August 2026

    Opinion: Ruto’s Top Leaders Who Will Ditch Him

    • By Milton
    • August 18, 2026
    • 9 views
    Opinion: Ruto’s Top Leaders Who Will Ditch Him

    π—”π—‘π—”π—Ÿπ—¬π—¦π—œπ—¦: Iran Uses Low-Cost Drones to Pressure U.S. Air Defenses

    • By Milton
    • August 15, 2026
    • 14 views
    π—”π—‘π—”π—Ÿπ—¬π—¦π—œπ—¦: Iran Uses Low-Cost Drones to Pressure U.S. Air Defenses