Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es salaam.

Kesi hiyo imepangwa leo Septemba 8 kwa ajili ya usikilizwaji wa awali mbele ya Jaji Dunstan Ndunguru huku upande wa Jamhuri ukitarajia kuwaita Mashahidi 30 kutoa ushahidi dhidi ya Lissu na kuwasilisha vielelezo 16.

Itakumbukwa awali kesi hiyo ilikuwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na baada ya kukamilishwa kwa upelelezi ikahamishiwa rasmi katika Mahakama Kuu kwa ajili ya kuendelea na hatua zaidi za kisheria.

READ Also  Football Titbits across the papers

Katika kesi hiyo ya uhaini Lissu anadaiwa Aprili 3, 2025 Jijini Dar es salaam alitengeneza nia ya kushawishi au kuchochea umma kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.

  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    World Cup 2026: Ronaldo Speaks

    Cristiano Ronaldo: β€œWe played a good game, the performance was well done. We could have done better but Spain are among the best, they will get to the final or…

    Read more

    Here Are The 3 Quarter-Final World Cup 2026 Matches

    πŸ•³οΈβš‘π•†π”½π”½π•€β„‚π•€π”Έπ•ƒ: Here are the three quarter-final World Cup 2026 matches confirmed so far! πŸ‡«πŸ‡· France vs Morocco πŸ‡²πŸ‡¦πŸ“… Thursday, 9 July 2026πŸ•— 20:00 GMT🏟️ Gillette Stadium, Foxborough πŸ‡ΊπŸ‡Έ πŸ‡ͺπŸ‡Έ Spain…

    Read more

    You Missed

    World Cup 2026: Ronaldo Speaks

    • By Milton
    • July 7, 2026
    • 3 views
    World Cup 2026: Ronaldo Speaks

    Here Are The 3 Quarter-Final World Cup 2026 Matches

    • By Milton
    • July 7, 2026
    • 6 views
    Here Are The 3 Quarter-Final World Cup 2026 Matches

    FIFA Breaks Silence On This Match

    • By Milton
    • June 30, 2026
    • 11 views
    FIFA Breaks Silence On This Match

    𝗕π—₯π—˜π—”π—žπ—œπ—‘π—š: Zelensky warns Belarus against assisting Russian drone operations

    • By Milton
    • June 20, 2026
    • 17 views
    𝗕π—₯π—˜π—”π—žπ—œπ—‘π—š: Zelensky warns Belarus against assisting Russian drone operations

    Can you stay awake from 1 AM to 5 AM?

    • By Milton
    • June 19, 2026
    • 19 views
    Can you stay awake from 1 AM to 5 AM?

    Football Titbits Across The Papers

    • By Milton
    • June 18, 2026
    • 17 views
    Football Titbits Across The Papers