Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es salaam.

Kesi hiyo imepangwa leo Septemba 8 kwa ajili ya usikilizwaji wa awali mbele ya Jaji Dunstan Ndunguru huku upande wa Jamhuri ukitarajia kuwaita Mashahidi 30 kutoa ushahidi dhidi ya Lissu na kuwasilisha vielelezo 16.

Itakumbukwa awali kesi hiyo ilikuwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na baada ya kukamilishwa kwa upelelezi ikahamishiwa rasmi katika Mahakama Kuu kwa ajili ya kuendelea na hatua zaidi za kisheria.

READ Also  Yesterday's UEFA Champions League Results

Katika kesi hiyo ya uhaini Lissu anadaiwa Aprili 3, 2025 Jijini Dar es salaam alitengeneza nia ya kushawishi au kuchochea umma kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.

  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    Football Titbits across the papers

    Football Titbits across the papers. Liverpool make offer for Dutch defender Sam Beukema, AC Milan offer Rafael Leao to Premier League sides, Manchester United target ex-Nottingham Forest midfielder Danilo. Liverpool…

    Read more

    • MiltonMilton
    • News
    • April 30, 2026
    • 9 views
    • 1 minute Read
    UPDATE: President Ruto Awards Sebastian Sawe With Ksh 8 Million

    President Ruto awards Sebastian Sawe with Ksh 8 Million after becoming the first athlete to run a sub-two-hour marathon at the 2026 London Marathon. READ Also  Should Kenya Be Worried…

    Read more

    You Missed

    Football Titbits across the papers

    • By Milton
    • May 3, 2026
    • 3 views
    Football Titbits across the papers

    UPDATE: President Ruto Awards Sebastian Sawe With Ksh 8 Million

    • By Milton
    • April 30, 2026
    • 9 views
    UPDATE: President Ruto Awards Sebastian Sawe With Ksh 8 Million

    UPDATE: Millie Odhiambo Rejects Election Zoning

    • By Milton
    • April 30, 2026
    • 9 views
    UPDATE: Millie Odhiambo Rejects Election Zoning

    Football Titbits across the papers

    • By Milton
    • April 30, 2026
    • 8 views
    Football Titbits across the papers

    I Still Believe Arsenal Will Win The Premier League

    • By Milton
    • April 20, 2026
    • 22 views
    I Still Believe Arsenal Will Win The Premier League

    Pep Guardiola On Donnarumma’s error

    • By Milton
    • April 20, 2026
    • 20 views
    Pep Guardiola On Donnarumma’s error