Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es salaam.

Kesi hiyo imepangwa leo Septemba 8 kwa ajili ya usikilizwaji wa awali mbele ya Jaji Dunstan Ndunguru huku upande wa Jamhuri ukitarajia kuwaita Mashahidi 30 kutoa ushahidi dhidi ya Lissu na kuwasilisha vielelezo 16.

Itakumbukwa awali kesi hiyo ilikuwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na baada ya kukamilishwa kwa upelelezi ikahamishiwa rasmi katika Mahakama Kuu kwa ajili ya kuendelea na hatua zaidi za kisheria.

READ Also  United States Extends Tariff Exemptions For Critical Minerals Under AGOA With Africa

Katika kesi hiyo ya uhaini Lissu anadaiwa Aprili 3, 2025 Jijini Dar es salaam alitengeneza nia ya kushawishi au kuchochea umma kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.

  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    Football Titbits Across The Papers

    Arsenal eye Morgan Rogers, Paris St-Germain to rival Liverpool for Yan Diomande, Roberto de Zerbi eyes raid on former club Brighton and Jack Grealish will get chance to revive Man…

    Read more

    Today’s KPL matchday

    KPL matchday! 2pm | Mara Sugar FC vs Gor Mahia FC at ROSH in Homa Bay 3pm | Sofapaka FC vs KCB Football Club at Kasarani Annex 4pm | Ulinzi…

    Read more

    You Missed

    Football Titbits Across The Papers

    • By Milton
    • May 27, 2026
    • 5 views
    Football Titbits Across The Papers

    Today’s KPL matchday

    • By Milton
    • May 27, 2026
    • 7 views
    Today’s KPL matchday

    Update: Iranian State Media Releases This Images

    • By Milton
    • May 27, 2026
    • 8 views
    Update: Iranian State Media Releases This Images

    Why Mt Kenya People Should Stop Demonstrating

    • By Milton
    • May 25, 2026
    • 7 views
    Why Mt Kenya People Should Stop Demonstrating

    Update: Njugush And Wakavinye Are Allegedly Back Together

    • By Milton
    • May 25, 2026
    • 12 views
    Update: Njugush And Wakavinye Are Allegedly Back Together

    Football Titbits Across The Papers

    • By Milton
    • May 25, 2026
    • 10 views
    Football Titbits Across The Papers