Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es salaam.

Kesi hiyo imepangwa leo Septemba 8 kwa ajili ya usikilizwaji wa awali mbele ya Jaji Dunstan Ndunguru huku upande wa Jamhuri ukitarajia kuwaita Mashahidi 30 kutoa ushahidi dhidi ya Lissu na kuwasilisha vielelezo 16.

Itakumbukwa awali kesi hiyo ilikuwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na baada ya kukamilishwa kwa upelelezi ikahamishiwa rasmi katika Mahakama Kuu kwa ajili ya kuendelea na hatua zaidi za kisheria.

READ Also  β€œWriting this book feels like a very heavy load taken off my shoulders,” she said

Katika kesi hiyo ya uhaini Lissu anadaiwa Aprili 3, 2025 Jijini Dar es salaam alitengeneza nia ya kushawishi au kuchochea umma kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.

  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    Today’s Newspaper: Kindiki Stripped

    Breaking news Kindiki has been removed from the crucial role he previously held of coordinating government operations across all ministries β€” the Intergovernmental Coordination function. This responsibility has now been…

    Read more

    CR7 Us Reportedly Set To Retire

    CR7 is reportedly set to retire from international football after Portugal’s UEFA Nations League clash against Wales on Sep 24. Portugal career: READ Also  β€œSijawahi Rudia Tena”: Man Leaves Locals…

    Read more

    You Missed

    Today’s Newspaper: Kindiki Stripped

    • By Milton
    • July 28, 2026
    • 5 views
    Today’s Newspaper: Kindiki Stripped

    CR7 Us Reportedly Set To Retire

    • By Milton
    • July 25, 2026
    • 3 views
    CR7 Us Reportedly Set To Retire

    Update: Iran Expands Conflict Through Regional Proxy

    • By Milton
    • July 25, 2026
    • 9 views
    Update: Iran Expands Conflict Through Regional Proxy

    Lamine Yamal Has Never Lost To Kylian Mbappe In A Knockout Match

    • By Milton
    • July 14, 2026
    • 14 views
    Lamine Yamal Has Never Lost To Kylian Mbappe In A Knockout Match

    U.S. Naval Blockade On Iran Takes Effect

    • By Milton
    • July 14, 2026
    • 16 views
    U.S. Naval Blockade On Iran Takes Effect

    A Man Drove The Same Car For 15 Years Trying To Reach 1,000,000 Kilometres

    • By Milton
    • July 14, 2026
    • 17 views
    A Man Drove The Same Car For 15 Years Trying To Reach 1,000,000 Kilometres