Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es salaam.

Kesi hiyo imepangwa leo Septemba 8 kwa ajili ya usikilizwaji wa awali mbele ya Jaji Dunstan Ndunguru huku upande wa Jamhuri ukitarajia kuwaita Mashahidi 30 kutoa ushahidi dhidi ya Lissu na kuwasilisha vielelezo 16.

Itakumbukwa awali kesi hiyo ilikuwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na baada ya kukamilishwa kwa upelelezi ikahamishiwa rasmi katika Mahakama Kuu kwa ajili ya kuendelea na hatua zaidi za kisheria.

READ Also  RIP MC Full Stop

Katika kesi hiyo ya uhaini Lissu anadaiwa Aprili 3, 2025 Jijini Dar es salaam alitengeneza nia ya kushawishi au kuchochea umma kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.

  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    “we don’t want to see him here in Burkina Faso”

    Authorities in Burkina Faso have banned events that were set for November 8 by South African coach Nkulukeko, according to an official government source. The government said the decision was…

    Read more

    • MiltonMilton
    • News
    • November 9, 2025
    • 3 views
    • 5 minutes Read
    After 5 Years Of Being Married To My Wife, I Caught Her Last Night Taking ARVs Secretly, What Should I Do, Ronald Shares

    Ronald, a businessman from Nairobi, Kenya, had been happily married to his wife, Lydia, for five years. From the outside, everything looked perfect. They shared a home, supported each other…

    Read more

    You Missed

    “we don’t want to see him here in Burkina Faso”

    • By Milton
    • November 9, 2025
    • 2 views
    “we don’t want to see him here in Burkina Faso”

    After 5 Years Of Being Married To My Wife, I Caught Her Last Night Taking ARVs Secretly, What Should I Do, Ronald Shares

    • By Milton
    • November 9, 2025
    • 3 views
    After 5 Years Of Being Married To My Wife, I Caught Her Last Night Taking ARVs Secretly, What Should I Do, Ronald Shares

    “My Wife Left Me For A Rich Sugar Daddy But This One Thing Brought Her Back Within 1 Day” Masaka Man Shares

    • By Milton
    • November 9, 2025
    • 4 views
    “My Wife Left Me For A Rich Sugar Daddy But This One Thing Brought Her Back Within 1 Day” Masaka Man Shares

    I Caught My Wife Who Is A Musician Red Handed Cheating On Me With Her Music Manager, Peter Cries Out

    • By Milton
    • November 9, 2025
    • 5 views
    I Caught My Wife Who Is A Musician Red Handed Cheating On Me With Her Music Manager, Peter Cries Out

    Meet Joseph Who Used To Be A Village Boy & School Dropout But Now He Is A World Foot Ball Star, This Is His Story

    • By Milton
    • November 9, 2025
    • 4 views
    Meet Joseph Who Used To Be A Village Boy & School Dropout But Now He Is A World Foot Ball Star, This Is His Story

    DCI Joins Multi-Agency Outreach In Rarieda

    • By Milton
    • November 9, 2025
    • 4 views
    DCI Joins Multi-Agency Outreach In Rarieda