Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es salaam.

Kesi hiyo imepangwa leo Septemba 8 kwa ajili ya usikilizwaji wa awali mbele ya Jaji Dunstan Ndunguru huku upande wa Jamhuri ukitarajia kuwaita Mashahidi 30 kutoa ushahidi dhidi ya Lissu na kuwasilisha vielelezo 16.

Itakumbukwa awali kesi hiyo ilikuwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na baada ya kukamilishwa kwa upelelezi ikahamishiwa rasmi katika Mahakama Kuu kwa ajili ya kuendelea na hatua zaidi za kisheria.

READ Also  Sad: Another Defeat To Ange Postecoglou And Nottingham Forest

Katika kesi hiyo ya uhaini Lissu anadaiwa Aprili 3, 2025 Jijini Dar es salaam alitengeneza nia ya kushawishi au kuchochea umma kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.

  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    Meet Libyan Military Who Died In A Plane Crash

    Libyan Prime Minister Abdul-Hamid Dbeibah confirmed the death of Libyan military chief Muhammad Ali Ahmad al-Haddad in a plane crash in Turkey. Turkey’s interior minister said earlier that air traffic…

    Read more

    Museveni And Janet Open Hoima City Stadium

    President Yoweri Museveni and First Lady Maama Janet Museveni, who also serves as Minister of Education and Sports, have officially opened the Hoima City Stadium. The state-of-the-art 20,000-seater facility was…

    Read more

    Leave a Reply

    Your email address will not be published. Required fields are marked *

    You Missed

    Meet Libyan Military Who Died In A Plane Crash

    • By Milton
    • December 24, 2025
    • 2 views
    Meet Libyan Military Who Died In A Plane Crash

    Museveni And Janet Open Hoima City Stadium

    • By Milton
    • December 24, 2025
    • 5 views
    Museveni And Janet Open Hoima City Stadium

    Musalia Mudavadi Proposes Referendum Come 2027

    • By Milton
    • December 24, 2025
    • 3 views
    Musalia Mudavadi Proposes Referendum Come 2027

    My Husband Started Dating A Younger & Beautiful Campus Girl And Wanted To Divorce Me, But This One Thing I Did Ended Their Love, Masaka Lady Shares

    • By Milton
    • December 24, 2025
    • 4 views
    My Husband Started Dating A Younger & Beautiful Campus Girl And Wanted To Divorce Me, But This One Thing I Did Ended Their Love, Masaka Lady Shares

    My Children Suddenly Became Disobedient And Uncontrollable Until I Found The Real Solution That Worked Perfectly

    • By Milton
    • December 24, 2025
    • 3 views
    My Children Suddenly Became Disobedient And Uncontrollable Until I Found The Real Solution That Worked Perfectly

    My Farm Failed Season After Season While Others Harvested Abundantly, Until Things Changed, This Is How I Made Things Work For Me

    • By Milton
    • December 24, 2025
    • 5 views
    My Farm Failed Season After Season While Others Harvested Abundantly, Until Things Changed, This Is How I Made Things Work For Me