Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es salaam.

Kesi hiyo imepangwa leo Septemba 8 kwa ajili ya usikilizwaji wa awali mbele ya Jaji Dunstan Ndunguru huku upande wa Jamhuri ukitarajia kuwaita Mashahidi 30 kutoa ushahidi dhidi ya Lissu na kuwasilisha vielelezo 16.

Itakumbukwa awali kesi hiyo ilikuwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na baada ya kukamilishwa kwa upelelezi ikahamishiwa rasmi katika Mahakama Kuu kwa ajili ya kuendelea na hatua zaidi za kisheria.

READ Also  RIP: Sad As A Young Mother Of 2 Was Found Lifeless In A Hotel Room After Spending The Night With Her Fiancé

Katika kesi hiyo ya uhaini Lissu anadaiwa Aprili 3, 2025 Jijini Dar es salaam alitengeneza nia ya kushawishi au kuchochea umma kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.

  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    • MiltonMilton
    • News
    • January 27, 2026
    • 16 views
    • 3 minutes Read
    Mbarara Man Breaks Down, Cries After Discovering That The Child He Raised And Paid University Fees For Is Not Biologically His

    Residents of Mbarara town, Uganda, were left in shock after a man known as Peter broke down in tears upon discovering that the child he had raised for over twenty…

    Read more

    • MiltonMilton
    • News
    • January 27, 2026
    • 16 views
    • 1 minute Read
    “I don’t speak to my family anymore. I cut everyone off”, Themba Gorimbo

    Zimbabwean UFC f!ghter Themba Gorimbo has dis0wned his family” “I don’t speak to my family anymore. I cut everyone off—deleted numbers, blocked everyone. I still love my family, but from…

    Read more

    You Missed

    Strategy You Can Use To Make Your Children Bright in Class

    • By Milton
    • January 27, 2026
    • 14 views
    Strategy You Can Use To Make Your Children Bright in Class

    Mbarara Man Breaks Down, Cries After Discovering That The Child He Raised And Paid University Fees For Is Not Biologically His

    • By Milton
    • January 27, 2026
    • 16 views
    Mbarara Man Breaks Down, Cries After Discovering That The Child He Raised And Paid University Fees For Is Not Biologically His

    “I don’t speak to my family anymore. I cut everyone off”, Themba Gorimbo

    • By Milton
    • January 27, 2026
    • 16 views
    “I don’t speak to my family anymore. I cut everyone off”, Themba Gorimbo

    Kenya Navy Has Launches A Four-day Multinational Maritime Exercise In Mombasa, Training Alongside Forces From The United States, United Kingdom, France, And Australia

    • By Milton
    • January 27, 2026
    • 14 views
    Kenya Navy Has Launches A Four-day Multinational Maritime Exercise In Mombasa, Training Alongside Forces From The United States, United Kingdom, France, And Australia

    Update: President Ruto Appoints 15 New Judges

    • By Milton
    • January 27, 2026
    • 12 views
    Update: President Ruto Appoints 15 New Judges

    I Was Always Broke After Receiving Money – Until I Fixed What Was Draining My Finances

    • By Milton
    • January 27, 2026
    • 21 views
    I Was Always Broke After Receiving Money – Until I Fixed What Was Draining My Finances