Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es salaam.

Kesi hiyo imepangwa leo Septemba 8 kwa ajili ya usikilizwaji wa awali mbele ya Jaji Dunstan Ndunguru huku upande wa Jamhuri ukitarajia kuwaita Mashahidi 30 kutoa ushahidi dhidi ya Lissu na kuwasilisha vielelezo 16.

Itakumbukwa awali kesi hiyo ilikuwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na baada ya kukamilishwa kwa upelelezi ikahamishiwa rasmi katika Mahakama Kuu kwa ajili ya kuendelea na hatua zaidi za kisheria.

READ Also  Uganda President Has Directed The Appointment Of Former BBC Journalist Alan Kasujja As Chief Of The State's Media Centre

Katika kesi hiyo ya uhaini Lissu anadaiwa Aprili 3, 2025 Jijini Dar es salaam alitengeneza nia ya kushawishi au kuchochea umma kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.

  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    • MiltonMilton
    • News
    • March 9, 2026
    • 2 views
    • 2 minutes Read
    Woman Reveals How She Stopped Her Husband From Secretly Supporting His Side Chic

    A married woman from Meru has opened up about the painful discovery she made when she realized that her husband had been secretly supporting another woman without her knowledge. According…

    Read more

    • MiltonMilton
    • News
    • March 9, 2026
    • 2 views
    • 2 minutes Read
    After Being Fired From Work Unfairly, Employee Finally Gets Reinstated – Here Is The Strategy That Worked

    A man from Mombasa has shared how he managed to regain his job after being dismissed under circumstances he believed were unfair. According to him, he had worked for the…

    Read more

    You Missed

    Woman Reveals How She Stopped Her Husband From Secretly Supporting His Side Chic

    • By Milton
    • March 9, 2026
    • 2 views
    Woman Reveals How She Stopped Her Husband From Secretly Supporting His Side Chic

    After Being Fired From Work Unfairly, Employee Finally Gets Reinstated – Here Is The Strategy That Worked

    • By Milton
    • March 9, 2026
    • 2 views
    After Being Fired From Work Unfairly, Employee Finally Gets Reinstated – Here Is The Strategy That Worked

    RIP: Sad As Former Harambee Stars Coach Die

    • By Milton
    • March 9, 2026
    • 3 views
    RIP: Sad As Former Harambee Stars Coach Die

    Iran’s Epic Counterstrike: Magic Carpet Takes Down F-35 Fleet

    • By Milton
    • March 9, 2026
    • 6 views
    Iran’s Epic Counterstrike: Magic Carpet Takes Down F-35 Fleet

    IRAN WAR — DAY 9. Here’s 10 Latest Updates You Should Probably Know

    • By Milton
    • March 9, 2026
    • 5 views
    IRAN WAR — DAY 9. Here’s 10 Latest Updates You Should Probably Know

    Young Man Narrates How He Escaped a Strange Series of Misfortunes That Followed Him Everywhere

    • By Milton
    • March 9, 2026
    • 4 views
    Young Man Narrates How He Escaped a Strange Series of Misfortunes That Followed Him Everywhere