Leo Tuangalie Ufugaji Asili Wa Kuku

LEO TUANGALIE UFUGAJI ASILI
.
Faida za Ufugaji wa Kuku wa Asili:

01: Chakula – nyama ya kuku na mayai hutumika kama chakula muhimu cha wanadamu, chenye protini.

02: Chanzo cha kipato – mkulima hupata fedha akiuza kuku au mayai.

03: Chanzo cha ajira – ufugaji wa kuku hutoa ajira kwa jamii.

04: Kuku hutumika kwenye shughuli za ndoa kama vile kutoa mahari na pia ni kitoweo muhimu katika sherehe hizo.

05: Gharama nafuu za kuanzisha na kuendesha mradi huu.

06: Ni kitoweo rahisi na chepesi kwa wageni kuliko wanyama wakubwa

READ Also  Global Football Round-Up — Yesterday's Match Results

07: Ni kitoweo kisichohitaji hifadhi, hutumika mlo mmoja au miwili na kumalizika.

08: Kuku na mayai hutumika kwa tiba za asili.

09: Jogoo hutumika kama saa anapowika nyakati za alfajiri na majira mengine.

10: Hutuhabarisha iwapo kiumbe kigeni au cha hatari kwa mlio maalum wa kuashiria hatari.

11: Mbolea – kinyesi cha kuku kinaweza kutumika katika kurutubisha mashamba ya mazao na mabwawa ya samaki.

12: Kuendeleza kizazi cha kuku wa asili hapa nchini.

13: Soko lipo la uhakika, ukilinganisha na kuku wa kisasa kwani nyama na mayai yake hupendwa zaidi na walaji.

READ Also  This Man Was Reportedly Left Stranded With Boiled Eggs After Hawker Disappeared With His Ksh. 1000 Note

14: Manyoya ya kuku hutumika kama mapambo, pia huweza kutumiaka kutengenezea mito ya kulalia na kukalia.

15: Shughuli za utafiti – kuku wanatumika katika tafiti nyingi za baiolojia, kama kutambua mambo ya lishe. Shughuli za viwandani: • • •

16: Mayai yenye mbegu ya jogoo hutumika katika kutengeneza dawa za chanjo.

17: Magamba ya mayai yanaweza kutumika katika utengenezaji wa vyakula vya wanyama.

18: Kiini cha njano cha mayai kinaweza kutumika kutengeneza mafuta ya kuoshea nywele (shampoo)..
Mapungufu ya Kuku wa Asili:

01: Hutaga mayai madogo wastani wa gm 47 ambapo kuku wa kisasa wastani wa gm 55,

READ Also  Man Publicly Admits Why They Stayed for 3 Months Without Intimacy

02: aidha hutaga mayai machache wastani wa mayai 60 kwa mwaka ambapo kuku wa kisasa huweza kutaga hadi mayai 250 kwa mwaka. Ukuaji taratibu

03 kuku wa asili hukua taratibu kutokana na lishe duni. huchukua muda mrefu miezi sita) kufikia uzito wa kuchinjwa (kilo 1-1.5 Hali hii pia hufanya faida ya ufugaji wa kuku wa asili kuchukua muda Mrefu. Nyama yake ni ngumu (huchukua muda mrefu kuiva) ikilinganishwa up na kuku wa kisasa

Kwa Ushauri ZAIDI piga 0768876692

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

Football Titbits across the papers

Football Titbits across the papers. Liverpool make offer for Dutch defender Sam Beukema, AC Milan offer Rafael Leao to Premier League sides, Manchester United target ex-Nottingham Forest midfielder Danilo. Liverpool…

Read more

  • MiltonMilton
  • News
  • April 30, 2026
  • 8 views
  • 1 minute Read
UPDATE: President Ruto Awards Sebastian Sawe With Ksh 8 Million

President Ruto awards Sebastian Sawe with Ksh 8 Million after becoming the first athlete to run a sub-two-hour marathon at the 2026 London Marathon. READ Also  Bad News To Workers…

Read more

You Missed

Football Titbits across the papers

  • By Milton
  • May 3, 2026
  • 3 views
Football Titbits across the papers

UPDATE: President Ruto Awards Sebastian Sawe With Ksh 8 Million

  • By Milton
  • April 30, 2026
  • 8 views
UPDATE: President Ruto Awards Sebastian Sawe With Ksh 8 Million

UPDATE: Millie Odhiambo Rejects Election Zoning

  • By Milton
  • April 30, 2026
  • 7 views
UPDATE: Millie Odhiambo Rejects Election Zoning

Football Titbits across the papers

  • By Milton
  • April 30, 2026
  • 7 views
Football Titbits across the papers

I Still Believe Arsenal Will Win The Premier League

  • By Milton
  • April 20, 2026
  • 20 views
I Still Believe Arsenal Will Win The Premier League

Pep Guardiola On Donnarumma’s error

  • By Milton
  • April 20, 2026
  • 20 views
Pep Guardiola On Donnarumma’s error