Leo Tuangalie Ufugaji Asili Wa Kuku

LEO TUANGALIE UFUGAJI ASILI
.
Faida za Ufugaji wa Kuku wa Asili:

01: Chakula – nyama ya kuku na mayai hutumika kama chakula muhimu cha wanadamu, chenye protini.

02: Chanzo cha kipato – mkulima hupata fedha akiuza kuku au mayai.

03: Chanzo cha ajira – ufugaji wa kuku hutoa ajira kwa jamii.

04: Kuku hutumika kwenye shughuli za ndoa kama vile kutoa mahari na pia ni kitoweo muhimu katika sherehe hizo.

05: Gharama nafuu za kuanzisha na kuendesha mradi huu.

06: Ni kitoweo rahisi na chepesi kwa wageni kuliko wanyama wakubwa

READ Also  𝐌𝐀𝐍 𝐂𝐢𝐭𝐲 N𝐞𝐱𝐭 𝟏𝟎 𝐄𝐏𝐋 𝐌𝐚𝐭𝐜𝐡𝐞𝐬

07: Ni kitoweo kisichohitaji hifadhi, hutumika mlo mmoja au miwili na kumalizika.

08: Kuku na mayai hutumika kwa tiba za asili.

09: Jogoo hutumika kama saa anapowika nyakati za alfajiri na majira mengine.

10: Hutuhabarisha iwapo kiumbe kigeni au cha hatari kwa mlio maalum wa kuashiria hatari.

11: Mbolea – kinyesi cha kuku kinaweza kutumika katika kurutubisha mashamba ya mazao na mabwawa ya samaki.

12: Kuendeleza kizazi cha kuku wa asili hapa nchini.

13: Soko lipo la uhakika, ukilinganisha na kuku wa kisasa kwani nyama na mayai yake hupendwa zaidi na walaji.

READ Also  Here Are The Changes Done In ODM Party

14: Manyoya ya kuku hutumika kama mapambo, pia huweza kutumiaka kutengenezea mito ya kulalia na kukalia.

15: Shughuli za utafiti – kuku wanatumika katika tafiti nyingi za baiolojia, kama kutambua mambo ya lishe. Shughuli za viwandani: • • •

16: Mayai yenye mbegu ya jogoo hutumika katika kutengeneza dawa za chanjo.

17: Magamba ya mayai yanaweza kutumika katika utengenezaji wa vyakula vya wanyama.

18: Kiini cha njano cha mayai kinaweza kutumika kutengeneza mafuta ya kuoshea nywele (shampoo)..
Mapungufu ya Kuku wa Asili:

01: Hutaga mayai madogo wastani wa gm 47 ambapo kuku wa kisasa wastani wa gm 55,

READ Also  Receiving Day-Old Chicks (DAY 1–6)

02: aidha hutaga mayai machache wastani wa mayai 60 kwa mwaka ambapo kuku wa kisasa huweza kutaga hadi mayai 250 kwa mwaka. Ukuaji taratibu

03 kuku wa asili hukua taratibu kutokana na lishe duni. huchukua muda mrefu miezi sita) kufikia uzito wa kuchinjwa (kilo 1-1.5 Hali hii pia hufanya faida ya ufugaji wa kuku wa asili kuchukua muda Mrefu. Nyama yake ni ngumu (huchukua muda mrefu kuiva) ikilinganishwa up na kuku wa kisasa

Kwa Ushauri ZAIDI piga 0768876692

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

  • MiltonMilton
  • News
  • December 25, 2025
  • 2 views
  • 1 minute Read
Season’s Greetings From Milton.co.ke

As we celebrate the festive season, I extends heartfelt gratitude to all loyal audience, partners, and contributors for your continued trust and support. Thank you for allowing me to be…

Read more

Gor Mahia Chairman Ambrose Rachier Accused Nairobi United Fans For Chaos

On Monday, Gor Mahia chairman Ambrose Rachier accused Nairobi United fans for the chaos witnessed during their SportPesa League fixture at Dandora Stadium, adding that the security response was not…

Read more

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

You Missed

Season’s Greetings From Milton.co.ke

  • By Milton
  • December 25, 2025
  • 2 views
Season’s Greetings From Milton.co.ke

Gor Mahia Chairman Ambrose Rachier Accused Nairobi United Fans For Chaos

  • By Milton
  • December 25, 2025
  • 4 views
Gor Mahia Chairman Ambrose Rachier Accused Nairobi United Fans For Chaos

When A Breakup Happens And A False Narrative Is Being Sold To Paint You As The Villain, Don’t Defend Yourself But Do This

  • By Milton
  • December 25, 2025
  • 4 views
When A Breakup Happens And A False Narrative Is Being Sold To Paint You As The Villain, Don’t Defend Yourself But Do This

Meet Libyan Military Who Died In A Plane Crash

  • By Milton
  • December 24, 2025
  • 3 views
Meet Libyan Military Who Died In A Plane Crash

Museveni And Janet Open Hoima City Stadium

  • By Milton
  • December 24, 2025
  • 6 views
Museveni And Janet Open Hoima City Stadium

Musalia Mudavadi Proposes Referendum Come 2027

  • By Milton
  • December 24, 2025
  • 4 views
Musalia Mudavadi Proposes Referendum Come 2027