Leo Tuangalie Ufugaji Asili Wa Kuku

LEO TUANGALIE UFUGAJI ASILI
.
Faida za Ufugaji wa Kuku wa Asili:

01: Chakula – nyama ya kuku na mayai hutumika kama chakula muhimu cha wanadamu, chenye protini.

02: Chanzo cha kipato – mkulima hupata fedha akiuza kuku au mayai.

03: Chanzo cha ajira – ufugaji wa kuku hutoa ajira kwa jamii.

04: Kuku hutumika kwenye shughuli za ndoa kama vile kutoa mahari na pia ni kitoweo muhimu katika sherehe hizo.

05: Gharama nafuu za kuanzisha na kuendesha mradi huu.

06: Ni kitoweo rahisi na chepesi kwa wageni kuliko wanyama wakubwa

07: Ni kitoweo kisichohitaji hifadhi, hutumika mlo mmoja au miwili na kumalizika.

08: Kuku na mayai hutumika kwa tiba za asili.

09: Jogoo hutumika kama saa anapowika nyakati za alfajiri na majira mengine.

10: Hutuhabarisha iwapo kiumbe kigeni au cha hatari kwa mlio maalum wa kuashiria hatari.

11: Mbolea – kinyesi cha kuku kinaweza kutumika katika kurutubisha mashamba ya mazao na mabwawa ya samaki.

12: Kuendeleza kizazi cha kuku wa asili hapa nchini.

13: Soko lipo la uhakika, ukilinganisha na kuku wa kisasa kwani nyama na mayai yake hupendwa zaidi na walaji.

14: Manyoya ya kuku hutumika kama mapambo, pia huweza kutumiaka kutengenezea mito ya kulalia na kukalia.

15: Shughuli za utafiti – kuku wanatumika katika tafiti nyingi za baiolojia, kama kutambua mambo ya lishe. Shughuli za viwandani: • • •

16: Mayai yenye mbegu ya jogoo hutumika katika kutengeneza dawa za chanjo.

17: Magamba ya mayai yanaweza kutumika katika utengenezaji wa vyakula vya wanyama.

18: Kiini cha njano cha mayai kinaweza kutumika kutengeneza mafuta ya kuoshea nywele (shampoo)..
Mapungufu ya Kuku wa Asili:

01: Hutaga mayai madogo wastani wa gm 47 ambapo kuku wa kisasa wastani wa gm 55,

02: aidha hutaga mayai machache wastani wa mayai 60 kwa mwaka ambapo kuku wa kisasa huweza kutaga hadi mayai 250 kwa mwaka. Ukuaji taratibu

03 kuku wa asili hukua taratibu kutokana na lishe duni. huchukua muda mrefu miezi sita) kufikia uzito wa kuchinjwa (kilo 1-1.5 Hali hii pia hufanya faida ya ufugaji wa kuku wa asili kuchukua muda Mrefu. Nyama yake ni ngumu (huchukua muda mrefu kuiva) ikilinganishwa up na kuku wa kisasa

Kwa Ushauri ZAIDI piga 0768876692

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

Grimsby Punished

GRIMSBY PUNISHED: GRIMSBY’S historic League Cup giant-killing of Manchester United came with the League Two side fielding an INELIGIBLE player. Clarke Oduor was INELIGIBLE to play against Manchester United. Clarke…

Read more

Today’s Football Titbits across the papers

Football Titbits across the papers. Manchester United failed to follow up on their interest in Aston Villa goalkeeper Emiliano Martinez, Liverpool decide to hang on to Joe Gomez despite a…

Read more

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

You Missed

Leo Tuangalie Ufugaji Asili Wa Kuku

  • By Milton
  • September 2, 2025
  • 14 views
Leo Tuangalie Ufugaji Asili Wa Kuku

Grimsby Punished

  • By Milton
  • September 2, 2025
  • 16 views
Grimsby Punished

Today’s Football Titbits across the papers

  • By Milton
  • September 2, 2025
  • 16 views
Today’s Football Titbits across the papers

It’s Life Imprisonment For ‘Uncle From Hell’

  • By Milton
  • August 30, 2025
  • 44 views
It’s Life Imprisonment For ‘Uncle From Hell’

Your EX is probably somewhere telling her NEW MAN how “BAD” you were

  • By Milton
  • August 30, 2025
  • 41 views
Your EX is probably somewhere telling her NEW MAN how “BAD” you were

UPDATE: President Ruto appoints James Kibugu Wambu as the Non-Executive Chairperson of the KUTRRH Board

  • By Milton
  • August 30, 2025
  • 41 views
UPDATE: President Ruto appoints James Kibugu Wambu as the Non-Executive Chairperson of the KUTRRH Board