Leo Tuangalie Ufugaji Asili Wa Kuku

LEO TUANGALIE UFUGAJI ASILI
.
Faida za Ufugaji wa Kuku wa Asili:

01: Chakula – nyama ya kuku na mayai hutumika kama chakula muhimu cha wanadamu, chenye protini.

02: Chanzo cha kipato – mkulima hupata fedha akiuza kuku au mayai.

03: Chanzo cha ajira – ufugaji wa kuku hutoa ajira kwa jamii.

04: Kuku hutumika kwenye shughuli za ndoa kama vile kutoa mahari na pia ni kitoweo muhimu katika sherehe hizo.

05: Gharama nafuu za kuanzisha na kuendesha mradi huu.

06: Ni kitoweo rahisi na chepesi kwa wageni kuliko wanyama wakubwa

READ Also  Kutoka Kukata Tamaa Hadi Kilele cha Mafanikio Dar es Salaam: Jinsi nilivyorudisha nyota ya buashara yangu

07: Ni kitoweo kisichohitaji hifadhi, hutumika mlo mmoja au miwili na kumalizika.

08: Kuku na mayai hutumika kwa tiba za asili.

09: Jogoo hutumika kama saa anapowika nyakati za alfajiri na majira mengine.

10: Hutuhabarisha iwapo kiumbe kigeni au cha hatari kwa mlio maalum wa kuashiria hatari.

11: Mbolea – kinyesi cha kuku kinaweza kutumika katika kurutubisha mashamba ya mazao na mabwawa ya samaki.

12: Kuendeleza kizazi cha kuku wa asili hapa nchini.

13: Soko lipo la uhakika, ukilinganisha na kuku wa kisasa kwani nyama na mayai yake hupendwa zaidi na walaji.

READ Also  I Hate Being The One To Tell You This, But Last Chances Don't Come With Warnings

14: Manyoya ya kuku hutumika kama mapambo, pia huweza kutumiaka kutengenezea mito ya kulalia na kukalia.

15: Shughuli za utafiti – kuku wanatumika katika tafiti nyingi za baiolojia, kama kutambua mambo ya lishe. Shughuli za viwandani: • • •

16: Mayai yenye mbegu ya jogoo hutumika katika kutengeneza dawa za chanjo.

17: Magamba ya mayai yanaweza kutumika katika utengenezaji wa vyakula vya wanyama.

18: Kiini cha njano cha mayai kinaweza kutumika kutengeneza mafuta ya kuoshea nywele (shampoo)..
Mapungufu ya Kuku wa Asili:

01: Hutaga mayai madogo wastani wa gm 47 ambapo kuku wa kisasa wastani wa gm 55,

READ Also  Great Honour From THE President

02: aidha hutaga mayai machache wastani wa mayai 60 kwa mwaka ambapo kuku wa kisasa huweza kutaga hadi mayai 250 kwa mwaka. Ukuaji taratibu

03 kuku wa asili hukua taratibu kutokana na lishe duni. huchukua muda mrefu miezi sita) kufikia uzito wa kuchinjwa (kilo 1-1.5 Hali hii pia hufanya faida ya ufugaji wa kuku wa asili kuchukua muda Mrefu. Nyama yake ni ngumu (huchukua muda mrefu kuiva) ikilinganishwa up na kuku wa kisasa

Kwa Ushauri ZAIDI piga 0768876692

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

Politics In Kenya Is Never Boring, And This Week, The Tea Is Piping Hot

So here’s the latest episode in what feels like a political telenovela: Nairobi MP Esther Passaris has come out swinging at none other than Edwin Sifuna, and let’s just say……

Read more

Urgent Consultations In ODM Underway

Party stakeholders have entered emergency consultations to address the leadership vacuum. The primary agenda:Bringing Edwin Sifuna back into a prominent role to salvage the party from imminent collapse. THE NEW…

Read more

You Missed

Politics In Kenya Is Never Boring, And This Week, The Tea Is Piping Hot

  • By Milton
  • February 17, 2026
  • 21 views
Politics In Kenya Is Never Boring, And This Week, The Tea Is Piping Hot

Urgent Consultations In ODM Underway

  • By Milton
  • February 17, 2026
  • 31 views
Urgent Consultations In ODM Underway

Crazy World! Kenyan man who stole police landcruiser boldly stating that he pays taxes

  • By Milton
  • February 17, 2026
  • 26 views
Crazy World! Kenyan man who stole police landcruiser boldly stating that he pays taxes

I Bought My Girlfriend iPhone 17 & a Range Rover But She Dumped Me for a Boda Boda Man 1 Week Later – Kampala Tycoon Shares His Testimony

  • By Milton
  • February 16, 2026
  • 30 views
I Bought My Girlfriend iPhone 17 & a Range Rover But She Dumped Me for a Boda Boda Man 1 Week Later – Kampala Tycoon Shares His Testimony

See The Best Strategy You Should Use If You Wish To Get a Quick Job Promotion – Testimony from Nakuru

  • By Milton
  • February 16, 2026
  • 20 views
See The Best Strategy You Should Use If You Wish To Get a Quick Job Promotion – Testimony from Nakuru

Sée The Latest Secret That Has Been Helping Africans Get an American Visa – A Testimony from Eldoret

  • By Milton
  • February 16, 2026
  • 16 views
Sée The Latest Secret That Has Been Helping Africans Get an American Visa – A Testimony from Eldoret