TAWA YAMDHIBITI MAMBA ALIYEZUA TAHARUKI BUCHOSA

Kijiji cha Kahunda charindima Kwa nderemo na vifijo

Na. Beatus Maganja

Maofisa wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Nchini – TAWA kwa kushirikiana na wananchi wa Kijiji cha Kahunda kilichopo Kata ya Katwe Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema na mkoa wa Mwanza wamefanikiwa kumdhibiti mamba aliyezua taharuki takribani wiki nzima Kijijini humo kabla ya kuleta madhara Kwa binadamu.

Tukio la kumdhibiti mnyama huyo mkali na mharibifu lilitokea oktoba 03, 2024 mara baada ya wananchi wa Kijiji hicho kutoa taarifa kwa Maofisa wa TAWA Kanda ya ziwa kituo kidogo cha Mwanza ambao walifika haraka eneo la tukio na kufanikiwa kumdhibiti mnyama huyo Kwa kumuua Kwa mujibu wa Sheria.

Ad 2
Ads: Click image 👆 & Download M News

Wananchi wa Kahunda wamesema mamba huyo amekuwa akileta taharuki takribani wiki nzima Kwa kukamata mifugo yao wakiwemo bata, kuku na mbwa Katika mwalo wa Kijiji hicho na Kijiji cha zabaga hali ambayo ilikuwa ikiwafanya waishi Kwa wasiwasi mkubwa na kushindwa kufanya shughuli za kibinadamu Kwa amani katika ziwa hilo.

Mwenyekiti wa Kijiji cha Kahunda Bw. Athumani Wambura ameipongeza Serikali kupitia maofisa wa TAWA kwa kufanikisha zoezi la kumdhibiti mamba huyo na jitihada zote zinazofanywa na taasisi hiyo Kijijini humo ikiwa ni pamoja na hatua mbalimbali wanazochukua Katika kulinda maisha ya wananchi wa wilaya ya Sengerema dhidi ya athari za wanyamapori wakali na waharibifu hususani mamba na viboko.

“Niseme tu nawapongezeni sana hawa ndugu zangu wa maliasili (TAWA) jambo walilolifanya ni kubwa kwa wananchi wetu, Kwa namna moja au nyingine tumepata amani kwa kumdhibiti huyu mnyama ambaye ni tishio kubwa sana. Kwa miaka ya hivi karibuni wanyama hawa wameweza kuua watu wetu zaidi ya watatu katika Kijiji cha Kahunda” amesema
Athumani Wambura. Continue reading.

Mil

I'm content creator, Web/android developer, IT specialist, digital marketer and super Admin. Reach out for any inquiry: info@milton.co.ke

Related Posts

Opinion: Why Charles Nyachae Might Be The Next IEBC Chairperson

Charles Nyachae, a seasoned legal expert and a close ally to the President, is among the candidates eyeing the IEBC chairperson position following the conclusion of Wafula Chebukati’s term. Nyachae…

Read more

A football fan is lamenting the loss of his vehicle which was stolen while parked by the roadside

STOLEN VEHICLES A football fan is lamenting the loss of his vehicle which was stolen while parked by the roadside along Kisauni Road behind the Nairobi West Hospital, as he…

Read more

Leave a Reply

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

You Missed

Opinion: Why Charles Nyachae Might Be The Next IEBC Chairperson

  • By Mil
  • March 25, 2025
  • 1 views
Opinion: Why Charles Nyachae Might Be The Next IEBC Chairperson

A football fan is lamenting the loss of his vehicle which was stolen while parked by the roadside

  • By Mil
  • March 24, 2025
  • 3 views
A football fan is lamenting the loss of his vehicle which was stolen while parked by the roadside

Bungoma Governor Ken Lusaka Responds To MP Waluke’s Allegations

  • By Mil
  • March 24, 2025
  • 3 views
Bungoma Governor Ken Lusaka Responds To MP Waluke’s Allegations

Monday Newspaper Headlines: ‘Don’t Trust Raila’

  • By Mil
  • March 24, 2025
  • 4 views
Monday Newspaper Headlines: ‘Don’t Trust Raila’

How to Start a Poultry Farming Business

  • By Mil
  • March 24, 2025
  • 7 views
How to Start a Poultry Farming Business

“Don’t Trust Raila” Monday Newspaper

  • By Mil
  • March 23, 2025
  • 8 views
“Don’t Trust Raila” Monday Newspaper

Here Is What You Should Know About The Harambee Stars New Coach

  • By Mil
  • March 23, 2025
  • 7 views
Here Is What You Should Know About The Harambee Stars New Coach

10 Things You Must Discuss In Courtship

  • By Mil
  • March 23, 2025
  • 7 views
10 Things You Must Discuss In Courtship

“Who’s going to want Joe Biden back in the game?”

  • By Mil
  • March 21, 2025
  • 8 views
“Who’s going to want Joe Biden back in the game?”

Update: Waititu Replaces His Legal Team

  • By Mil
  • March 19, 2025
  • 10 views
Update: Waititu Replaces His Legal Team

Update On Margaret Nduta’s Sentence

  • By Mil
  • March 16, 2025
  • 9 views
Update On Margaret Nduta’s Sentence

Today’s Premier League matches

  • By Mil
  • March 16, 2025
  • 15 views
Today’s Premier League matches

Here Is The Sad Story Of Margaret Nduta Who Is Being Held In Vietnam

  • By Mil
  • March 16, 2025
  • 10 views
Here Is The Sad Story Of Margaret Nduta Who Is Being Held In Vietnam

Here Is What You Should Know About CBC

  • By Mil
  • March 14, 2025
  • 14 views
Here Is What You Should Know About CBC

Breaking: All 172 passengers and six crew members on American Airlines Flight 1006 safely evacuated

  • By Mil
  • March 14, 2025
  • 15 views
Breaking: All 172 passengers and six crew members on American Airlines Flight 1006 safely evacuated

A suspected thief masquerading as a boda boda rider was lynched by an angry mob

  • By Mil
  • March 12, 2025
  • 11 views
A suspected thief masquerading as a boda boda rider was lynched by an angry mob

Signs You Are Ready For Marriage

  • By Mil
  • March 12, 2025
  • 12 views
Signs You Are Ready For Marriage

6 Steps Before Buying Land

  • By Mil
  • March 12, 2025
  • 13 views
6 Steps Before Buying Land