TAWA YAMDHIBITI MAMBA ALIYEZUA TAHARUKI BUCHOSA

Kijiji cha Kahunda charindima Kwa nderemo na vifijo

Na. Beatus Maganja

Maofisa wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Nchini – TAWA kwa kushirikiana na wananchi wa Kijiji cha Kahunda kilichopo Kata ya Katwe Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema na mkoa wa Mwanza wamefanikiwa kumdhibiti mamba aliyezua taharuki takribani wiki nzima Kijijini humo kabla ya kuleta madhara Kwa binadamu.

Tukio la kumdhibiti mnyama huyo mkali na mharibifu lilitokea oktoba 03, 2024 mara baada ya wananchi wa Kijiji hicho kutoa taarifa kwa Maofisa wa TAWA Kanda ya ziwa kituo kidogo cha Mwanza ambao walifika haraka eneo la tukio na kufanikiwa kumdhibiti mnyama huyo Kwa kumuua Kwa mujibu wa Sheria.

Wananchi wa Kahunda wamesema mamba huyo amekuwa akileta taharuki takribani wiki nzima Kwa kukamata mifugo yao wakiwemo bata, kuku na mbwa Katika mwalo wa Kijiji hicho na Kijiji cha zabaga hali ambayo ilikuwa ikiwafanya waishi Kwa wasiwasi mkubwa na kushindwa kufanya shughuli za kibinadamu Kwa amani katika ziwa hilo.

Mwenyekiti wa Kijiji cha Kahunda Bw. Athumani Wambura ameipongeza Serikali kupitia maofisa wa TAWA kwa kufanikisha zoezi la kumdhibiti mamba huyo na jitihada zote zinazofanywa na taasisi hiyo Kijijini humo ikiwa ni pamoja na hatua mbalimbali wanazochukua Katika kulinda maisha ya wananchi wa wilaya ya Sengerema dhidi ya athari za wanyamapori wakali na waharibifu hususani mamba na viboko.

“Niseme tu nawapongezeni sana hawa ndugu zangu wa maliasili (TAWA) jambo walilolifanya ni kubwa kwa wananchi wetu, Kwa namna moja au nyingine tumepata amani kwa kumdhibiti huyu mnyama ambaye ni tishio kubwa sana. Kwa miaka ya hivi karibuni wanyama hawa wameweza kuua watu wetu zaidi ya watatu katika Kijiji cha Kahunda” amesema
Athumani Wambura. Continue reading.

Mil

I'm a content creator, Web/android developer, IT specialist, digital marketer and super Admin. Reach out for any inquiry: info@milton.co.ke

Related Posts

  • MilMil
  • News
  • June 29, 2025
  • 2 minutes Read
Looters Nabbed, Stolen Property Recovered IN Police Blitz

In the ongoing operation to apprehend looters and recover stolen property during the tumultuous demonstrations on June 25, 2025, law enforcement officers from DCI Mbeere South and Kiritiri Police Station…

Read more

  • MilMil
  • News
  • June 29, 2025
  • 3 minutes Read
How To Make Money Massively In Pig Farming

HOW TO MAKE MONEY MASSIVELY IN PIG 🐖 FARMING Profiting massively in pig farming requires a combination of strategic planning, efficient operations, smart marketing, and continuous innovation. Here’s a comprehensive…

Read more

You Missed

Looters Nabbed, Stolen Property Recovered IN Police Blitz

  • By Mil
  • June 29, 2025
Looters Nabbed, Stolen Property Recovered IN Police Blitz

How To Make Money Massively In Pig Farming

  • By Mil
  • June 29, 2025
How To Make Money Massively In Pig Farming

Football Transfer Gossip

  • By Mil
  • June 29, 2025
Football Transfer Gossip

Recovery Of Stolen Firearms

  • By Mil
  • June 28, 2025
Recovery Of Stolen Firearms

3 Arrested For The June 25th Goons Attack On Persons And Property

  • By Mil
  • June 28, 2025
3 Arrested For The June 25th Goons Attack On Persons And Property

How to Plant Potatoes

  • By Mil
  • June 28, 2025
How to Plant Potatoes

Former Deputy President Rigathi Gachagua has broken his silence on why he was absent during the June 25th demonstrations

  • By Mil
  • June 28, 2025
Former Deputy President Rigathi Gachagua has broken his silence on why he was absent during the June 25th demonstrations

UPDATE: Iran’s parliament has approved a motion to close the Strait of Hormuz

  • By Mil
  • June 23, 2025
UPDATE: Iran’s parliament has approved a motion to close the Strait of Hormuz

Is He “Dead”?

  • By Mil
  • June 22, 2025
Is He “Dead”?

The Most Tested Proven Ways To make Your Chicken Lay More

  • By Mil
  • June 21, 2025
The Most Tested Proven Ways To make Your Chicken Lay More

13 Things That Secretly Destroy A Man’s Destiny

  • By Mil
  • June 21, 2025
13 Things That Secretly Destroy A Man’s Destiny

Update: OCS Talaam Files A Case Against IPOA

  • By Mil
  • June 20, 2025
Update: OCS Talaam Files A Case Against IPOA

What Nandi Senator Said About The Police officer Who Was Shot Dead

  • By Mil
  • June 20, 2025
What Nandi Senator Said About The Police officer Who Was Shot Dead

An Associated Press photographer Brian Inganga captured the shooting of a civilian by a Kenyan police officer

  • By Mil
  • June 18, 2025
An Associated Press photographer Brian Inganga captured the shooting of a civilian by a Kenyan police officer

Iran has asked Qatar, Saudi Arabia, and Oman to urge US President Donald Trump to pressure Israel into an immediate ceasefire

  • By Mil
  • June 17, 2025
Iran has asked Qatar, Saudi Arabia, and Oman to urge US President Donald Trump to pressure Israel into an immediate ceasefire

My Advice To Youths

  • By Mil
  • June 17, 2025
My Advice To Youths

Tuesday 17th Football Transfer Gossip

  • By Mil
  • June 17, 2025
Tuesday 17th Football Transfer Gossip

Football Transfer Gossip

  • By Mil
  • June 16, 2025
Football Transfer Gossip

Bad News Kenyans As Fare Is Expected To Increase

  • By Mil
  • June 15, 2025
Bad News Kenyans As Fare Is Expected To Increase

Beautiful Photos Of 5-Year-Old Amanda Who Was Tragically Thrown Off 5th Floor Balcony

  • By Mil
  • June 13, 2025
Beautiful Photos Of 5-Year-Old Amanda Who Was Tragically Thrown Off 5th Floor Balcony

Details Of James Mukwana, A Suspect Police Officer In The Albert Ojwang’s Death

  • By Mil
  • June 13, 2025
Details Of James Mukwana, A Suspect Police Officer In The Albert Ojwang’s Death

What President William Ruto Said About Police Today

  • By Mil
  • June 13, 2025
What President William Ruto Said About Police Today

A Miracle in the Ashes: The Sole Survivor of Air India Flight AI171

  • By Mil
  • June 12, 2025
A Miracle in the Ashes: The Sole Survivor of Air India Flight AI171

When I was younger, I hated going to the market with my mother

  • By Mil
  • June 12, 2025
When I was younger, I hated going to the market with my mother

My wife met someone on Facebook

  • By Mil
  • June 12, 2025
My wife met someone on Facebook

Court Issues Arrest Warrant for Boniface Mwangi Over Assault Case

  • By Mil
  • June 12, 2025
Court Issues Arrest Warrant for Boniface Mwangi Over Assault Case