Neema 8th April Written Episode

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Neema ameamkia kazini,anajaribu kufanya mahesabu na anaona mauzo yameenda chini sanaโ€ฆPaul alikuja akaambia Neema,uko hapa na Jojo aligongana na gari? Neema akashtuka akamuuliza kama mwenye aligonga aliumia? Paul akasema zii hakuumia saaanaโ€ฆhuh! Neema kuskia hivyo alimcall Eddy akamwambia wait for me,we need to talk. Neema amejam vibaya sana.

Wakati anatoka,alikutana na Mark..akaambia Mark acha nitafute huyu mwanaume tumalizane na yeye,naona ameanza kunichezea sana. Mark akamuuliza ni kuhusu chenye aliambia boss? Neema akamuuliza kwani ameambia boss nini? Mark akamwambia ameenda akaambia bossy ati bado mko wife na hubby na ati niachane na wewe..Neema sasa ako an sababu mbili muhimu za kudeal na Eddy sasa.

Neema Actor

Huku kwa Barasa,alipata Salome amempakia lunch lakini Baraza akamwambia please dontโ€ฆkisha Barasa akamwambia sikiza, nilikubali ukae hapa ndio mkue na bond na Jayden..Salome akamuuliza so unamaanisha wewe,hutawai nisamehe? Barasa akamwambia ukweli,sina kinyongo na wewe lakini nilikupoteza once na sitaki kukupoteza tena na ilinichukua miaka sana kupona. Sitaki tuwe wapenzi nikupoteze tena chenye nataka ni uwe na bond na mtoto wako. wah..

Ona Eddy sasa,alimuona Neema kwa umbali akamwambia baby wangu kuja sweetie niko hapa. Neema amejam,akafika akauliza Eddy,ni ujinga gani unafanya? Jojo aligongana na hukusema,ukaenda kwa bossy kusema tuko pamoja na hukuniambia,kichwa yako,hii akili ina akili kweli? Neema aliambia Eddy sikiza, hujawai kuwa baba mzuri kwa watoto,only thing you do ni ukipata tupesa ni kuwabuyia vitu ndio wakupende but ujinga wako utakuja kutucost sana..nilikuambia Jojo asishike gari ju hana driving licence hukusikia now see,amegongana na you are here relaxed kama mende imelamba acidโ€ฆna uache kuambiana ati mimi ni wife wako,uache or else nitaambia watoto wako chenye ulifanya na huyo mwanamke tuone kama watawai taka kukuona.

Neema

Amani na yeye aliamkia kumcall Jojo,akamwambia karembo,amka twende kwa farm tupige mapicha..Jojo akamuuliza na wewe ndio nani? Amani akamwambia come on,ni msee uligonga jana,Amani. So Jojo yafaa ameet na Jayden leo na tena yafaa akutane na Amani,acha tuone katabeba kichwa kuenda wapi..

Jayden alikuja akapata mamake akifanya usafi hapo,akamuuliza unafanya nini? Salome akamwambia aah son,nilikua nafanya usafi kiasi..Jayden akamwambia sikiza,the only reason uko hapa ni ya huruma wa babangu,na yoh iam not your son,usiniite son siku ingine,you are not MY MOTHERโ€ฆwuehโ€ฆkubaya huku

Jojo ashaamka ready kuenda kuona Amani,lakini punde si punde akapigiwa simu na Jayden akamuuliza babe,uko home? Jojo akasema yeah,but nataka kutoka kiasiโ€ฆJayden akamwambia nilikua nataka kuja kukuona but Jojo akamwambia aah si sai niko kwa haraka sana maybe tukutane siku ingine ama next year๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

All the way from Mombasa, Karen ashafika Nairobi an hajakuja wka uzuri,akekuja kudeal na Naomi.

Huh! Lakini sasa chei,Olivia akitoka kazini,kuna mtu alikua anatrail pole pole..na hadi alicall Richard,akamwambia babe,kuna jamaa naona kama ananifuata sijui ni nani..lakini kabla Olivia hajamaliza kuongea,alikua ashafikiwa na kisu,akanyang’anywa kila kitu na akaambiwa tu kitu moja,wachana na bwana ya wenyewe.๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Ad 2
Ads: Click image ๐Ÿ‘† & Download M News

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Ewee! Ona sasa Jojo na Amani,wamebebana kwa bike wako tu fitiโ€ฆ na kumbe wakiwa kwa barabara,Jojo walipitana na Jayden..Jayden akamuona vizuri sana but Jojo hakumuonaโ€ฆwah! Inaitwa heartbreakโ€ฆ

Jojo alileta Amani hadi kwa Mark waongee na wakiwa hapo Sharon na mamake wakipita wakamuona Amani hapo na Sharon akamuuliza na wewe ndio nani? Amani akajintroduce an kumbe Val na Amani wakawa na ile love at first siteโ€ฆhadi Val anaimagine akiwa na Amani.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Karen amefika,akakutana na beshte wake na akamwambia venye chenye anataka ni Naomi to pay for what she did to her..beshte alimuuliza na Eddy bado mnafendana? Karen akamwambia huyo simtaki tena,I crossed that bridge for good.

Karen alikua anatafuta number ya Alphonseโ€ฆ

Neea alirudi akaambia Mark venye kumeenda na akaambia Mark venye amepasha Eddy..Mark akamwambia basi,I like the woman you are becoming. Punde si punde Jojo na Amani wakafikaโ€ฆNeema akaona jamaa amevaa jacket akamuuliza kama huwa anaendesha bike? Amani akasema yeah na Neema akajoke tu akamwambia usipee Jojo bike huwa anagongana sana..Amani akamwambia yeah hata jana karubu amumalize na hapo ndio Neema akajua ooh,so ni wewe aligonga๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Mark pia wakafanyiana intro na Amani lakini cheki,Amani kusikia tu huyu ndio Mark,alishtuka na akamsalimia kwa wasiwasi sana,kwani Amani ni nani?? Hahaa! Yo didnt see it coming right?????????

Sharon ashafika kwa Mark na wakati anabisha,Kate na Tom walikua wanakula so ikabidi Tom amejisunda kando kiasi ju wanadhani maybe ni mtu mwingineโ€ฆSharon kuingia akauliza Kate,kwani mumekua wangapi naona chakula cha watu wawili hapa? Kate akamwambia chakula ni mimi nakula ala na useme chenye unasema niende kulala..Sharon akamwambia enyewe ukiwa mimba unakula chakula ya watu wawili๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚all in all,Sharon ashajua Kate si wife wa Mark ju sasa anauliza Kate,kama wewe ni wife wa Mark,mlipatana wapi?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Itaendeleaโ€ฆ

Meanwhile, kuna wewe bado hujaFile KRA return na muda unasonga kusonga. Nimerudi ile bizz yangu, Nitafute whatsapp for any issues to do with KRA na Ecitizen, number 0707579313.

Mil

I'm a content creator, Web/android developer, IT specialist, digital marketer and super Admin. Reach out for any inquiry: info@milton.co.ke

Related Posts

The Most Tested Proven Ways To make Your Chicken Lay More

Just remember that crowding them can lead to health and behavioral issues.They may start pecking and feather plucking, egg eating, and a host of other anti-social behaviors. The weaker birds…

Read more

13 Things That Secretly Destroy A Man’s Destiny

If you’re between ages 18 to 35, this is the raw, undiluted truth you didn’t know you needed.Forget “who is doing you”โ€”youโ€™re doing yourself. Yes, I wrote it three times.Because…

Read more

You Missed

The Most Tested Proven Ways To make Your Chicken Lay More

  • By Mil
  • June 21, 2025
The Most Tested Proven Ways To make Your Chicken Lay More

13 Things That Secretly Destroy A Man’s Destiny

  • By Mil
  • June 21, 2025
13 Things That Secretly Destroy A Man’s Destiny

Update: OCS Talaam Files A Case Against IPOA

  • By Mil
  • June 20, 2025
Update: OCS Talaam Files A Case Against IPOA

What Nandi Senator Said About The Police officer Who Was Shot Dead

  • By Mil
  • June 20, 2025
What Nandi Senator Said About The Police officer Who Was Shot Dead

An Associated Press photographer Brian Inganga captured the shooting of a civilian by a Kenyan police officer

  • By Mil
  • June 18, 2025
An Associated Press photographer Brian Inganga captured the shooting of a civilian by a Kenyan police officer

Iran has asked Qatar, Saudi Arabia, and Oman to urge US President Donald Trump to pressure Israel into an immediate ceasefire

  • By Mil
  • June 17, 2025
Iran has asked Qatar, Saudi Arabia, and Oman to urge US President Donald Trump to pressure Israel into an immediate ceasefire

My Advice To Youths

  • By Mil
  • June 17, 2025
My Advice To Youths

Tuesday 17th Football Transfer Gossip

  • By Mil
  • June 17, 2025
Tuesday 17th Football Transfer Gossip

Football Transfer Gossip

  • By Mil
  • June 16, 2025
Football Transfer Gossip

Bad News Kenyans As Fare Is Expected To Increase

  • By Mil
  • June 15, 2025
Bad News Kenyans As Fare Is Expected To Increase

Beautiful Photos Of 5-Year-Old Amanda Who Was Tragically Thrown Off 5th Floor Balcony

  • By Mil
  • June 13, 2025
Beautiful Photos Of 5-Year-Old Amanda Who Was Tragically Thrown Off 5th Floor Balcony

Details Of James Mukwana, A Suspect Police Officer In The Albert Ojwang’s Death

  • By Mil
  • June 13, 2025
Details Of James Mukwana, A Suspect Police Officer In The Albert Ojwang’s Death

What President William Ruto Said About Police Today

  • By Mil
  • June 13, 2025
What President William Ruto Said About Police Today

A Miracle in the Ashes: The Sole Survivor of Air India Flight AI171

  • By Mil
  • June 12, 2025
A Miracle in the Ashes: The Sole Survivor of Air India Flight AI171

When I was younger, I hated going to the market with my mother

  • By Mil
  • June 12, 2025
When I was younger, I hated going to the market with my mother

My wife met someone on Facebook

  • By Mil
  • June 12, 2025
My wife met someone on Facebook

Court Issues Arrest Warrant for Boniface Mwangi Over Assault Case

  • By Mil
  • June 12, 2025
Court Issues Arrest Warrant for Boniface Mwangi Over Assault Case

Taboos in our Luo culture touching on marriage

  • By Mil
  • June 12, 2025
Taboos in our Luo culture touching on marriage

Photos Of Eric Omondi With Albert Ojwang’s Son

  • By Mil
  • June 12, 2025
Photos Of Eric Omondi With Albert Ojwang’s Son

FIFA World Cup 2026 โ€“ What You Need to Know

  • By Mil
  • June 12, 2025
FIFA World Cup 2026 โ€“ What You Need to Know

Albert Ojwangโ€™s father worked in a quarry, breaking stones with his bare hands just to pay fees for his only son and child

  • By Mil
  • June 10, 2025
Albert Ojwangโ€™s father worked in a quarry, breaking stones with his bare hands just to pay fees for his only son and child

Man Sentenced to Death for Violent Robbery of Phones and Cash in Nairobi

  • By Mil
  • June 10, 2025
Man Sentenced to Death for Violent Robbery of Phones and Cash in Nairobi

President William Ruto Holds A Meeting With Church Leaders In State House

  • By Mil
  • June 10, 2025
President William Ruto Holds A Meeting With Church Leaders In State House

RIP: Raila Odinga Finally Breaks Silence On Albert Ojwang’s Death

  • By Mil
  • June 10, 2025
RIP: Raila Odinga Finally Breaks Silence On Albert Ojwang’s Death

So I usรปally give my neighbor’s son, Jeremy, a lift to school whenever I am going to work

  • By Mil
  • June 10, 2025
So I usรปally give my neighbor’s son, Jeremy, a lift to school whenever I am going to work

Opinion: The most important thing a man should do for his Family

  • By Mil
  • June 10, 2025
Opinion: The most important thing a man should do for his Family