Neema 8th April Written Episode

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Neema ameamkia kazini,anajaribu kufanya mahesabu na anaona mauzo yameenda chini sana…Paul alikuja akaambia Neema,uko hapa na Jojo aligongana na gari? Neema akashtuka akamuuliza kama mwenye aligonga aliumia? Paul akasema zii hakuumia saaana…huh! Neema kuskia hivyo alimcall Eddy akamwambia wait for me,we need to talk. Neema amejam vibaya sana.

Wakati anatoka,alikutana na Mark..akaambia Mark acha nitafute huyu mwanaume tumalizane na yeye,naona ameanza kunichezea sana. Mark akamuuliza ni kuhusu chenye aliambia boss? Neema akamuuliza kwani ameambia boss nini? Mark akamwambia ameenda akaambia bossy ati bado mko wife na hubby na ati niachane na wewe..Neema sasa ako an sababu mbili muhimu za kudeal na Eddy sasa.

Neema Actor

Huku kwa Barasa,alipata Salome amempakia lunch lakini Baraza akamwambia please dont…kisha Barasa akamwambia sikiza, nilikubali ukae hapa ndio mkue na bond na Jayden..Salome akamuuliza so unamaanisha wewe,hutawai nisamehe? Barasa akamwambia ukweli,sina kinyongo na wewe lakini nilikupoteza once na sitaki kukupoteza tena na ilinichukua miaka sana kupona. Sitaki tuwe wapenzi nikupoteze tena chenye nataka ni uwe na bond na mtoto wako. wah..

Ona Eddy sasa,alimuona Neema kwa umbali akamwambia baby wangu kuja sweetie niko hapa. Neema amejam,akafika akauliza Eddy,ni ujinga gani unafanya? Jojo aligongana na hukusema,ukaenda kwa bossy kusema tuko pamoja na hukuniambia,kichwa yako,hii akili ina akili kweli? Neema aliambia Eddy sikiza, hujawai kuwa baba mzuri kwa watoto,only thing you do ni ukipata tupesa ni kuwabuyia vitu ndio wakupende but ujinga wako utakuja kutucost sana..nilikuambia Jojo asishike gari ju hana driving licence hukusikia now see,amegongana na you are here relaxed kama mende imelamba acid…na uache kuambiana ati mimi ni wife wako,uache or else nitaambia watoto wako chenye ulifanya na huyo mwanamke tuone kama watawai taka kukuona.

Neema

Amani na yeye aliamkia kumcall Jojo,akamwambia karembo,amka twende kwa farm tupige mapicha..Jojo akamuuliza na wewe ndio nani? Amani akamwambia come on,ni msee uligonga jana,Amani. So Jojo yafaa ameet na Jayden leo na tena yafaa akutane na Amani,acha tuone katabeba kichwa kuenda wapi..

Jayden alikuja akapata mamake akifanya usafi hapo,akamuuliza unafanya nini? Salome akamwambia aah son,nilikua nafanya usafi kiasi..Jayden akamwambia sikiza,the only reason uko hapa ni ya huruma wa babangu,na yoh iam not your son,usiniite son siku ingine,you are not MY MOTHER…wueh…kubaya huku

Jojo ashaamka ready kuenda kuona Amani,lakini punde si punde akapigiwa simu na Jayden akamuuliza babe,uko home? Jojo akasema yeah,but nataka kutoka kiasi…Jayden akamwambia nilikua nataka kuja kukuona but Jojo akamwambia aah si sai niko kwa haraka sana maybe tukutane siku ingine ama next year😂😂😂

All the way from Mombasa, Karen ashafika Nairobi an hajakuja wka uzuri,akekuja kudeal na Naomi.

Huh! Lakini sasa chei,Olivia akitoka kazini,kuna mtu alikua anatrail pole pole..na hadi alicall Richard,akamwambia babe,kuna jamaa naona kama ananifuata sijui ni nani..lakini kabla Olivia hajamaliza kuongea,alikua ashafikiwa na kisu,akanyang’anywa kila kitu na akaambiwa tu kitu moja,wachana na bwana ya wenyewe.😭😭😭

Ad 2
Ads: Click image 👆 & Download M News

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Ewee! Ona sasa Jojo na Amani,wamebebana kwa bike wako tu fiti… na kumbe wakiwa kwa barabara,Jojo walipitana na Jayden..Jayden akamuona vizuri sana but Jojo hakumuona…wah! Inaitwa heartbreak…

Jojo alileta Amani hadi kwa Mark waongee na wakiwa hapo Sharon na mamake wakipita wakamuona Amani hapo na Sharon akamuuliza na wewe ndio nani? Amani akajintroduce an kumbe Val na Amani wakawa na ile love at first site…hadi Val anaimagine akiwa na Amani.😂😂😂

Karen amefika,akakutana na beshte wake na akamwambia venye chenye anataka ni Naomi to pay for what she did to her..beshte alimuuliza na Eddy bado mnafendana? Karen akamwambia huyo simtaki tena,I crossed that bridge for good.

Karen alikua anatafuta number ya Alphonse…

Neea alirudi akaambia Mark venye kumeenda na akaambia Mark venye amepasha Eddy..Mark akamwambia basi,I like the woman you are becoming. Punde si punde Jojo na Amani wakafika…Neema akaona jamaa amevaa jacket akamuuliza kama huwa anaendesha bike? Amani akasema yeah na Neema akajoke tu akamwambia usipee Jojo bike huwa anagongana sana..Amani akamwambia yeah hata jana karubu amumalize na hapo ndio Neema akajua ooh,so ni wewe aligonga😂😂😂

Mark pia wakafanyiana intro na Amani lakini cheki,Amani kusikia tu huyu ndio Mark,alishtuka na akamsalimia kwa wasiwasi sana,kwani Amani ni nani?? Hahaa! Yo didnt see it coming right?????????

Sharon ashafika kwa Mark na wakati anabisha,Kate na Tom walikua wanakula so ikabidi Tom amejisunda kando kiasi ju wanadhani maybe ni mtu mwingine…Sharon kuingia akauliza Kate,kwani mumekua wangapi naona chakula cha watu wawili hapa? Kate akamwambia chakula ni mimi nakula ala na useme chenye unasema niende kulala..Sharon akamwambia enyewe ukiwa mimba unakula chakula ya watu wawili😂😂😂all in all,Sharon ashajua Kate si wife wa Mark ju sasa anauliza Kate,kama wewe ni wife wa Mark,mlipatana wapi?😂😂😂 Itaendelea…

Meanwhile, kuna wewe bado hujaFile KRA return na muda unasonga kusonga. Nimerudi ile bizz yangu, Nitafute whatsapp for any issues to do with KRA na Ecitizen, number 0707579313.

Mil

I'm content creator, Web/android developer, IT specialist, digital marketer and super Admin. Reach out for any inquiry: info@milton.co.ke

Related Posts

Citizen Tv reporter, Collins Shitybai has sadly lost his mother, Mama Sevenzia

Citizen Tv reporter, Collins Shitybai has sadly lost his mother, Mama Sevenzia. In a heartfelt message, he recalled how just days ago she had called him after he was assaulted…

Read more

Lillian Ng’ang’a opens up about her breakup with Juliani, citing emotional neglect as a key reason behind their split

The former Machakos County First Lady has lamented how her estranged partner Juliani, who was born and raised in Dandora in abject poverty, failed to value some of their most…

Read more

Leave a Reply

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

You Missed

How I Started My Poultry Farm

  • By Mil
  • May 2, 2025
How I Started My Poultry Farm

UEFA Champions League

  • By Mil
  • April 29, 2025
UEFA Champions League

Citizen Tv reporter, Collins Shitybai has sadly lost his mother, Mama Sevenzia

  • By Mil
  • April 24, 2025
Citizen Tv reporter, Collins Shitybai has sadly lost his mother, Mama Sevenzia

Lillian Ng’ang’a opens up about her breakup with Juliani, citing emotional neglect as a key reason behind their split

  • By Mil
  • April 23, 2025
Lillian Ng’ang’a opens up about her breakup with Juliani, citing emotional neglect as a key reason behind their split

What You Should Know about Aviator

  • By Mil
  • April 22, 2025
What You Should Know about Aviator

UPDATE: Since Pope Francis is dead, Here’s Step-by-Step of The Catholic Church after the death of a Pope

  • By Mil
  • April 21, 2025
UPDATE: Since Pope Francis is dead, Here’s Step-by-Step of The Catholic Church after the death of a Pope

Fred Matiangi is Cruising very fast and soon he is going to be the Owner Of Numbers

  • By Mil
  • April 19, 2025
Fred Matiangi is Cruising very fast and soon he is going to be the Owner Of Numbers

Yes, Fred Matiangi is Uhuru Kenyatta’s project

  • By Mil
  • April 18, 2025
Yes, Fred Matiangi is Uhuru Kenyatta’s project

Opinion: Advice To All Employees

  • By Mil
  • April 16, 2025
Opinion: Advice To All Employees

12 Decisions To Make Before You Marry

  • By Mil
  • April 15, 2025
12 Decisions To Make Before You Marry

UPDATE: Communications Authority of Kenya (CA) has initiated proceedings to revoke all broadcasting licenses

  • By Mil
  • April 15, 2025
UPDATE: Communications Authority of Kenya (CA) has initiated proceedings to revoke all broadcasting licenses

BREAKING: Donald Trump gets slammed with the first major lawsuit over his disastrous “Liberation Day” tariffs

  • By Mil
  • April 15, 2025
BREAKING: Donald Trump gets slammed with the first major lawsuit over his disastrous “Liberation Day” tariffs

Musalia Mudavadi Under Siege

  • By Mil
  • April 13, 2025
Musalia Mudavadi Under Siege

Jokes: Tom And Jerry Games

  • By Mil
  • April 13, 2025
Jokes: Tom And Jerry Games

Update On Wanja Mwaura Who has been on her wheelchair for months

  • By Mil
  • April 13, 2025
Update On Wanja Mwaura Who has been on her wheelchair for months

Why You can be a great father and still lose your family

  • By Mil
  • April 12, 2025
Why You can be a great father and still lose your family

First Time Visiting Your In-laws

  • By Mil
  • April 12, 2025
First Time Visiting Your In-laws

The day I proposed to her, she said no

  • By Mil
  • April 12, 2025
The day I proposed to her, she said no

Football Titbits across the papers

  • By Mil
  • April 12, 2025
Football Titbits across the papers

Opinion: Why Is He Still In Office

  • By Mil
  • April 12, 2025
Opinion: Why Is He Still In Office

Total Amount Of Money That Arsenal Has Already Received From UCL

  • By Mil
  • April 11, 2025
Total Amount Of Money That Arsenal Has Already Received From UCL

How Butere Girls Were Received In Kakamega

  • By Mil
  • April 11, 2025
How Butere Girls Were Received In Kakamega

Details Of West Virginia Accident

  • By Mil
  • April 11, 2025
Details Of West Virginia Accident

Cleo Speaks After Butere Girls Drama

  • By Mil
  • April 10, 2025
Cleo Speaks After Butere Girls Drama

Cleophas Malala blocked by DCI while visiting students behind banned play ‘Echoes of War’

  • By Mil
  • April 9, 2025
Cleophas Malala blocked by DCI while visiting students behind banned play ‘Echoes of War’

Update On Mombasa Building Set To Be Demolished Tomorrow

  • By Mil
  • April 8, 2025
Update On Mombasa Building Set To Be Demolished Tomorrow