Neema 8th April Written Episode

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Neema ameamkia kazini,anajaribu kufanya mahesabu na anaona mauzo yameenda chini sana…Paul alikuja akaambia Neema,uko hapa na Jojo aligongana na gari? Neema akashtuka akamuuliza kama mwenye aligonga aliumia? Paul akasema zii hakuumia saaana…huh! Neema kuskia hivyo alimcall Eddy akamwambia wait for me,we need to talk. Neema amejam vibaya sana.

Wakati anatoka,alikutana na Mark..akaambia Mark acha nitafute huyu mwanaume tumalizane na yeye,naona ameanza kunichezea sana. Mark akamuuliza ni kuhusu chenye aliambia boss? Neema akamuuliza kwani ameambia boss nini? Mark akamwambia ameenda akaambia bossy ati bado mko wife na hubby na ati niachane na wewe..Neema sasa ako an sababu mbili muhimu za kudeal na Eddy sasa.

Neema Actor

Huku kwa Barasa,alipata Salome amempakia lunch lakini Baraza akamwambia please dont…kisha Barasa akamwambia sikiza, nilikubali ukae hapa ndio mkue na bond na Jayden..Salome akamuuliza so unamaanisha wewe,hutawai nisamehe? Barasa akamwambia ukweli,sina kinyongo na wewe lakini nilikupoteza once na sitaki kukupoteza tena na ilinichukua miaka sana kupona. Sitaki tuwe wapenzi nikupoteze tena chenye nataka ni uwe na bond na mtoto wako. wah..

Ona Eddy sasa,alimuona Neema kwa umbali akamwambia baby wangu kuja sweetie niko hapa. Neema amejam,akafika akauliza Eddy,ni ujinga gani unafanya? Jojo aligongana na hukusema,ukaenda kwa bossy kusema tuko pamoja na hukuniambia,kichwa yako,hii akili ina akili kweli? Neema aliambia Eddy sikiza, hujawai kuwa baba mzuri kwa watoto,only thing you do ni ukipata tupesa ni kuwabuyia vitu ndio wakupende but ujinga wako utakuja kutucost sana..nilikuambia Jojo asishike gari ju hana driving licence hukusikia now see,amegongana na you are here relaxed kama mende imelamba acid…na uache kuambiana ati mimi ni wife wako,uache or else nitaambia watoto wako chenye ulifanya na huyo mwanamke tuone kama watawai taka kukuona.

Neema

Amani na yeye aliamkia kumcall Jojo,akamwambia karembo,amka twende kwa farm tupige mapicha..Jojo akamuuliza na wewe ndio nani? Amani akamwambia come on,ni msee uligonga jana,Amani. So Jojo yafaa ameet na Jayden leo na tena yafaa akutane na Amani,acha tuone katabeba kichwa kuenda wapi..

Jayden alikuja akapata mamake akifanya usafi hapo,akamuuliza unafanya nini? Salome akamwambia aah son,nilikua nafanya usafi kiasi..Jayden akamwambia sikiza,the only reason uko hapa ni ya huruma wa babangu,na yoh iam not your son,usiniite son siku ingine,you are not MY MOTHER…wueh…kubaya huku

Jojo ashaamka ready kuenda kuona Amani,lakini punde si punde akapigiwa simu na Jayden akamuuliza babe,uko home? Jojo akasema yeah,but nataka kutoka kiasi…Jayden akamwambia nilikua nataka kuja kukuona but Jojo akamwambia aah si sai niko kwa haraka sana maybe tukutane siku ingine ama next yearπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

All the way from Mombasa, Karen ashafika Nairobi an hajakuja wka uzuri,akekuja kudeal na Naomi.

Huh! Lakini sasa chei,Olivia akitoka kazini,kuna mtu alikua anatrail pole pole..na hadi alicall Richard,akamwambia babe,kuna jamaa naona kama ananifuata sijui ni nani..lakini kabla Olivia hajamaliza kuongea,alikua ashafikiwa na kisu,akanyang’anywa kila kitu na akaambiwa tu kitu moja,wachana na bwana ya wenyewe.😭😭😭

Ad 2
Ads: Click image πŸ‘† & Download M News

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Ewee! Ona sasa Jojo na Amani,wamebebana kwa bike wako tu fiti… na kumbe wakiwa kwa barabara,Jojo walipitana na Jayden..Jayden akamuona vizuri sana but Jojo hakumuona…wah! Inaitwa heartbreak…

Jojo alileta Amani hadi kwa Mark waongee na wakiwa hapo Sharon na mamake wakipita wakamuona Amani hapo na Sharon akamuuliza na wewe ndio nani? Amani akajintroduce an kumbe Val na Amani wakawa na ile love at first site…hadi Val anaimagine akiwa na Amani.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Karen amefika,akakutana na beshte wake na akamwambia venye chenye anataka ni Naomi to pay for what she did to her..beshte alimuuliza na Eddy bado mnafendana? Karen akamwambia huyo simtaki tena,I crossed that bridge for good.

Karen alikua anatafuta number ya Alphonse…

Neea alirudi akaambia Mark venye kumeenda na akaambia Mark venye amepasha Eddy..Mark akamwambia basi,I like the woman you are becoming. Punde si punde Jojo na Amani wakafika…Neema akaona jamaa amevaa jacket akamuuliza kama huwa anaendesha bike? Amani akasema yeah na Neema akajoke tu akamwambia usipee Jojo bike huwa anagongana sana..Amani akamwambia yeah hata jana karubu amumalize na hapo ndio Neema akajua ooh,so ni wewe aligongaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mark pia wakafanyiana intro na Amani lakini cheki,Amani kusikia tu huyu ndio Mark,alishtuka na akamsalimia kwa wasiwasi sana,kwani Amani ni nani?? Hahaa! Yo didnt see it coming right?????????

Sharon ashafika kwa Mark na wakati anabisha,Kate na Tom walikua wanakula so ikabidi Tom amejisunda kando kiasi ju wanadhani maybe ni mtu mwingine…Sharon kuingia akauliza Kate,kwani mumekua wangapi naona chakula cha watu wawili hapa? Kate akamwambia chakula ni mimi nakula ala na useme chenye unasema niende kulala..Sharon akamwambia enyewe ukiwa mimba unakula chakula ya watu wawiliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚all in all,Sharon ashajua Kate si wife wa Mark ju sasa anauliza Kate,kama wewe ni wife wa Mark,mlipatana wapi?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Itaendelea…

Meanwhile, kuna wewe bado hujaFile KRA return na muda unasonga kusonga. Nimerudi ile bizz yangu, Nitafute whatsapp for any issues to do with KRA na Ecitizen, number 0707579313.

Mil

I'm content creator, Web/android developer, IT specialist, digital marketer and super Admin. Reach out for any inquiry: info@milton.co.ke

Related Posts

Why You can be a great father and still lose your family

You can be a great father and still lose your family, because in today’s world, effort means nothing if you’re a man. You wake up early.You go to work.You pay…

Read more

First Time Visiting Your In-laws

1) Research about Them. Know what to expect, Ask your partner about their culture, how they greet over there, don’t go and say “Hi, good Afternoon Everybody” when they expect…

Read more

Leave a Reply

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

You Missed

Why You can be a great father and still lose your family

  • By Mil
  • April 12, 2025
Why You can be a great father and still lose your family

First Time Visiting Your In-laws

  • By Mil
  • April 12, 2025
First Time Visiting Your In-laws

The day I proposed to her, she said no

  • By Mil
  • April 12, 2025
The day I proposed to her, she said no

Football Titbits across the papers

  • By Mil
  • April 12, 2025
Football Titbits across the papers

Opinion: Why Is He Still In Office

  • By Mil
  • April 12, 2025
Opinion: Why Is He Still In Office

Total Amount Of Money That Arsenal Has Already Received From UCL

  • By Mil
  • April 11, 2025
Total Amount Of Money That Arsenal Has Already Received From UCL

How Butere Girls Were Received In Kakamega

  • By Mil
  • April 11, 2025
How Butere Girls Were Received In Kakamega

Details Of West Virginia Accident

  • By Mil
  • April 11, 2025
Details Of West Virginia Accident

Cleo Speaks After Butere Girls Drama

  • By Mil
  • April 10, 2025
Cleo Speaks After Butere Girls Drama

Cleophas Malala blocked by DCI while visiting students behind banned play β€˜Echoes of War’

  • By Mil
  • April 9, 2025
Cleophas Malala blocked by DCI while visiting students behind banned play β€˜Echoes of War’

Update On Mombasa Building Set To Be Demolished Tomorrow

  • By Mil
  • April 8, 2025
Update On Mombasa Building Set To Be Demolished Tomorrow

Neema 8th April Written Episode

  • By Mil
  • April 8, 2025
Neema 8th April Written Episode

Impeached DP Rigathi Gachagua has explained why the Mt. Kenya region supported President William Ruto in the last general election

  • By Mil
  • April 8, 2025
Impeached DP Rigathi Gachagua has explained why the Mt. Kenya region supported President William Ruto in the last general election

Mike Sonko was visibly emotional as he listened to a heart-wrenching story from a woman in Machakos who lost her eye and an arm

  • By Mil
  • April 5, 2025
Mike Sonko was visibly emotional as he listened to a heart-wrenching story from a woman in Machakos who lost her eye and an arm

Update: DCI Arrests Wesley Cheruiyot

  • By Mil
  • April 4, 2025
Update: DCI Arrests Wesley Cheruiyot

President Donald Trump announced plans to impose an across-the-board 10% tariff on all U.S. trading partners

  • By Mil
  • April 3, 2025
President Donald Trump announced plans to impose an across-the-board 10% tariff on all U.S. trading partners

RIP: Raila Odinga Mourns His Bodyguard

  • By Mil
  • April 3, 2025
RIP: Raila Odinga Mourns His Bodyguard

A proud Kenyan woman celebrates her husband with love

  • By Mil
  • April 2, 2025
A proud Kenyan woman celebrates her husband with love

Neema 2nd April Written Updates

  • By Mil
  • April 1, 2025
Neema 2nd April Written Updates

President William Ruto Reveals What Happened With Rigathi Gachagua

  • By Mil
  • March 31, 2025
President William Ruto Reveals What Happened With Rigathi Gachagua

Alleged Police Brutality Sparks Protests in Othaya

  • By Mil
  • March 31, 2025
Alleged Police Brutality Sparks Protests in Othaya

List Of All Remaining EPL Matches

  • By Mil
  • March 30, 2025
List Of All Remaining EPL Matches

Rip: Sad Moment In Rongai As Bodaboda Rider Is Stabbed To Death By His Wife

  • By Mil
  • March 30, 2025
Rip: Sad Moment In Rongai As Bodaboda Rider Is Stabbed To Death By His Wife

Elon Musk To Unveil Mass-produce Humanoid Robots

  • By Mil
  • March 30, 2025
Elon Musk To Unveil Mass-produce Humanoid Robots

Today’s Saturday Newspaper Headline: Intimidating Kenyans

  • By Mil
  • March 29, 2025
Today’s Saturday Newspaper Headline: Intimidating Kenyans

Raila Odinga Meets South Sudan President

  • By Mil
  • March 28, 2025
Raila Odinga Meets South Sudan President