
- MNYANYASAJI – Hutafuta ufumbuzi wa matatizo kwa kupiga mke, kutukana matusi na kutoa vitisho.
- MVIVU – Hulala siku nzima, hana mipango yoyote na humtegemea mwanamke kutunza familia.
- MSALITI MBOBEVU – Haheshimu kabisa viapo vya ndoa. Muda wote yeye ni kukimbizana na wanawake.
- MZEMBE – Hatimizi wajibu wake. Hajali watoto, hajali mambo ya familia.
- MTOTO WA MAMA – Mama yake ndio hufanya maamuzi yote kila kitu hadi amuulize mama.
- MWENYE WIVU – Hufuatilia simu ya mke nyendo zake, marafiki zake na haishi kumtuhumu mke.kuwa ana wanaume.
- MRAIBU – Hutawaliwa na uraibu wa pombe, kamari au madawa ya kulevya na tabia hizo zinaharibu nyumba yake
- MWENYE KIBURI – To read more Click here.