Opinion: President William Samoei Ruto is currently in Mombasa — celebrating ODM@20 as a founder member. Juzi niliwajulisha kwamba yeye ndiye ameweka the ODM registration certificate kwa “safe.” Wale wafuasi wa Baba ambao walimuenzi sana, kama hamutaki rais Ruto awapokonye chama na kufurusha waasi, contribute money in billions kisha murudishe hela alizompea Baba.
Musiporudishia Rais Ruto hela zake, stop talking tough like Orengo. In fact, if I were James Orengo, I would stop shouting in ODM rallies. Instead, I would form a political party, recruit young Turks like Babu, Sifuna and ilk to popularise the party kama ile ya Riggy G and use it to negotiate with the Wamunyoro group for the 2027 presidential running mate position.
Kwa wakati huu, hata Orengo apige kelele kiasi gani, ni bure tu kama mnyambo wa Punda juu chama kilinunuliwa kitambo Baba angali hai. Anytime he makes noise where ODM is holding a rally or a meeting, those seated in the front seats see him as an old centre of nuisance. They say, “huyu Mzee Orengo ni kelele tu. Hata huko Siaya hakuna kenye anafanya.”
Since President Ruto has full control of the party — courtesy of the billions unleashed to Opoda Farm, he dictates the rules of engagement. He tells the members, including those officials where to pee and where not to. In the current ODM, Bill pays all the bills.






