HABARI Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu imeahirishwa leo Novemba 12 hadi pale msajili wa Mahakama itakapo panga Tarehe ya kusikilizwa

Kesi hiyo imeahirishwa baada ya Mshitakiwa Tundu Lissu kuweka pingamizi dhidi ya upande wa Jamhuri kwa shahidi wa nne wa siri (Witness chamber) atokee kizimbani kwani Shahidi huyo kutoa ushahidi wa siri si salama kwake kama mshitakiwa.

Katika pingamizi Hilo,Lissu alichukua muda wa masaa mawili kutoa kanuni sita zinazokataza shahidi wa siri ikiwemo kanuni za ulinzi wa mashahidi za mwaka 2025, ambapo amesema kiboski ambacho shahidi yupo ni kizimba maalum cha ushahidi ambacho hata majaji hawatamuona katika kutoa ushahidi au kumuona isipokuwa mawakili pekee wa Serikali.

Baada ya pingamizi hilo upande wa Jamhuri kupitia kwa Nassoro Katuga umesema hoja za mshitakiwa zilikuwa nyingi na kuomba majaji na Mshitakiwa wawape muda wa kupitia kanuni hizo,ombi ambalo lilikubaliwa na Mshitakiwa Tundu Lissu na majaji. #EastAfricaTV

READ Also  Every Day, This Elderly Man Sits Here, Under A Torn Green Umbrella, Selling Clothes
  • Milton

    Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

    Related Posts

    RIP: Saddest Incident In Cameroon

    Veteran Cameroonian opposition leader Anicet Ekane on Monday died at a military hospital in Yaoundé, five weeks after his arrest in Douala for supporting opposition presidential candidate Issa Tchiroma Bakary.…

    Read more

    Update: Samia Suluhu’s Government Plans To Arrest Tanzanian Activist Based In US

    UPDATE: Since the controversial October 29, 2025 general elections in Tanzania, US-based activist Mange Kimambi has actively used social media to encourage protests against what she calls the “dictatorial rule”…

    Read more

    You Missed

    RIP: Saddest Incident In Cameroon

    • By Milton
    • December 2, 2025
    • 4 views
    RIP: Saddest Incident In Cameroon

    Update: Samia Suluhu’s Government Plans To Arrest Tanzanian Activist Based In US

    • By Milton
    • December 2, 2025
    • 6 views
    Update: Samia Suluhu’s Government Plans To Arrest Tanzanian Activist Based In US

    Yankuba Minteh Lost The Ball 23 Times Against Nottingham Forest Despite Having Only 49 Touches

    • By Milton
    • December 1, 2025
    • 6 views
    Yankuba Minteh Lost The Ball 23 Times Against Nottingham Forest Despite Having Only 49 Touches

    Musalia Mudavadi Meets Newly Elected MP Of Malava, David Ndakwa

    • By Milton
    • December 1, 2025
    • 9 views
    Musalia Mudavadi Meets Newly Elected MP Of Malava, David Ndakwa

    Why Ruto Will Be Meeting All Chiefs And Their Assistant Tomorrow

    • By Milton
    • December 1, 2025
    • 9 views
    Why Ruto Will Be Meeting All Chiefs And Their Assistant Tomorrow

    EACC Busts Ministry Of Labour Officials At JKIA For Extortion

    • By Milton
    • December 1, 2025
    • 10 views
    EACC Busts Ministry Of Labour Officials At JKIA For Extortion