Muogope Mwanaume Mwenye Tabia Hizi

-OGOPA MWANAMKE muongeaji sana.. Ukiongea neno moja yeye hujibu maneno kumi na kuendelea, Huyu hata akikosea jambo ukimuelewesha hatoelewa na ni mwepesi kubishana na wewe hata kama utakuwa unamelekeza katika haq.

-OGOPA MWANAMKE anayependa kujisifu sana juu ya uzuri wake, huyu pia mara nyingi si msikivu ndani ya ndoa yake na ni rahisi kuomba talaka bila ya sababu akiamini yeye ni mzuri na anapendwa na wanaume wengi hivyo huwezi kumbabaisha.

-OGOPA MWANAMKE mwenye kujifanya mjuaji sana.. Ukimuelekeza jambo la ukweli hulitafutia sababu ya kukufanya uonekane kuwa unalomuelekeza si la muhimu kwake na hujiona kuwa yeye anajua zaidi kuliko wewe..

-OGOPA MWANAMKE ambaye ana fikra potofu za haki sawa kwa wote (Yaani 50 kwa 50) kwamba yaani anaamini kuwa naye ana haki ya kufanya lolote kama wewe mume na haijalishi kuwa umeridhia au laa.. Huyu hatokupa nafasi kama mume na hutaka kuyafanya maamuzi yake ndo yawe ya mwisho katika majambo..

READ Also  Kakamega Town Brought to a Standstill After Woman Who Had Intimacy Issues Healed Instantly

-OGOPA MWANAMKE asiye na Hofu na ALLAH.. huyu huwa ni mbaya zaidi na si mlezi mzuri wa watoto katika kuwaelekeza katika maadili mema.. Huweza kufanya lolote bila kujali ni lenye kumpatia madhambi au laa..

-OGOPA MWANAMKE yule mwenye kupenda kujipamba kwa ajili ya wanaume wengine, anayependa kuuonesha uzuri wake kwa wanaume na mwenye kujiona..

Aina hizi za wanawake na nyinginezo pia huweza kukufanya uikose tamu ya ndoa pindi uwaoapo kutokana na tabia zao na mwenendo wao usiopendeza…

CHAGUA MWANAMKE ALIYE BORA NA SI BORA MWANAMKE..

UTAPATA RAHA NA FURAHA NA UTAONJA LADHA NA TAMU YA NDOA YAKO.𝗠𝗨𝗢𝗚𝗢𝗣𝗘 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗠𝗞𝗘 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗧𝗔𝗕𝗜𝗔 𝗛𝗜𝗭𝗜

READ Also  “Weka yote babe, hii yote ni yako” I heard my wife tell my father inside the house

-OGOPA MWANAMKE muongeaji sana.. Ukiongea neno moja yeye hujibu maneno kumi na kuendelea, Huyu hata akikosea jambo ukimuelewesha hatoelewa na ni mwepesi kubishana na wewe hata kama utakuwa unamelekeza katika haq..

-OGOPA MWANAMKE anayependa kujisifu sana juu ya uzuri wake, huyu pia mara nyingi si msikivu ndani ya ndoa yake na ni rahisi kuomba talaka bila ya sababu akiamini yeye ni mzuri na anapendwa na wanaume wengi hivyo huwezi kumbabaisha..

-OGOPA MWANAMKE mwenye kujifanya mjuaji sana.. Ukimuelekeza jambo la ukweli hulitafutia sababu ya kukufanya uonekane kuwa unalomuelekeza si la muhimu kwake na hujiona kuwa yeye anajua zaidi kuliko wewe..

-OGOPA MWANAMKE ambaye ana fikra potofu za haki sawa kwa wote (Yaani 50 kwa 50) kwamba yaani anaamini kuwa naye ana haki ya kufanya lolote kama wewe mume na haijalishi kuwa umeridhia au laa.. Huyu hatokupa nafasi kama mume na hutaka kuyafanya maamuzi yake ndo yawe ya mwisho katika majambo..

READ Also  I Escaped a Deadly Highway Accident by Seconds, That’s When I Decided Never to Leave My Life to Chance

-OGOPA MWANAMKE asiye na Hofu na ALLAH.. huyu huwa ni mbaya zaidi na si mlezi mzuri wa watoto katika kuwaelekeza katika maadili mema.. Huweza kufanya lolote bila kujali ni lenye kumpatia madhambi au laa..

-OGOPA MWANAMKE yule mwenye kupenda kujipamba kwa ajili ya wanaume wengine, anayependa kuuonesha uzuri wake kwa wanaume na mwenye kujiona..

Aina hizi za wanawake na nyinginezo pia huweza kukufanya uikose tamu ya ndoa pindi uwaoapo kutokana na tabia zao na mwenendo wao usiopendeza…

CHAGUA MWANAMKE ALIYE BORA NA SI BORA MWANAMKE..

UTAPATA RAHA NA FURAHA NA UTAONJA LADHA NA TAMU YA NDOA.

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

  • MiltonMilton
  • Ads
  • October 21, 2025
  • 39 views
  • 1 minute Read
My Husband Started Beating On The Day Of Our Honeymoon And Continued To Do So For Over 3 Years In Our Marriage Until I Did This To Change Everything. Congo Lady Narrates

Marriage is meant to be a partnership filled with love, trust, and mutual respect. For Amina, a 29-year-old woman from Kinshasa, her marriage quickly became a nightmare. On the very…

Read more

  • MiltonMilton
  • Ads
  • October 21, 2025
  • 38 views
  • 1 minute Read
My Marrige Felt Like Hell, I Wanted To Give Up But After I Consulted These People, I Now Have Peace With My Husband, Rwandan Lady Shares

Marriage is supposed to be a source of happiness, love, and comfort. But for me, it had become a place of constant pain and misunderstanding. I am Amina, a woman…

Read more

You Missed

“we don’t want to see him here in Burkina Faso”

  • By Milton
  • November 9, 2025
  • 2 views
“we don’t want to see him here in Burkina Faso”

After 5 Years Of Being Married To My Wife, I Caught Her Last Night Taking ARVs Secretly, What Should I Do, Ronald Shares

  • By Milton
  • November 9, 2025
  • 2 views
After 5 Years Of Being Married To My Wife, I Caught Her Last Night Taking ARVs Secretly, What Should I Do, Ronald Shares

“My Wife Left Me For A Rich Sugar Daddy But This One Thing Brought Her Back Within 1 Day” Masaka Man Shares

  • By Milton
  • November 9, 2025
  • 3 views
“My Wife Left Me For A Rich Sugar Daddy But This One Thing Brought Her Back Within 1 Day” Masaka Man Shares

I Caught My Wife Who Is A Musician Red Handed Cheating On Me With Her Music Manager, Peter Cries Out

  • By Milton
  • November 9, 2025
  • 4 views
I Caught My Wife Who Is A Musician Red Handed Cheating On Me With Her Music Manager, Peter Cries Out

Meet Joseph Who Used To Be A Village Boy & School Dropout But Now He Is A World Foot Ball Star, This Is His Story

  • By Milton
  • November 9, 2025
  • 4 views
Meet Joseph Who Used To Be A Village Boy & School Dropout But Now He Is A World Foot Ball Star, This Is His Story

DCI Joins Multi-Agency Outreach In Rarieda

  • By Milton
  • November 9, 2025
  • 4 views
DCI Joins Multi-Agency Outreach In Rarieda