Leo Tuangalie Ufugaji Asili Wa Kuku

LEO TUANGALIE UFUGAJI ASILI
.
Faida za Ufugaji wa Kuku wa Asili:

01: Chakula – nyama ya kuku na mayai hutumika kama chakula muhimu cha wanadamu, chenye protini.

02: Chanzo cha kipato – mkulima hupata fedha akiuza kuku au mayai.

03: Chanzo cha ajira – ufugaji wa kuku hutoa ajira kwa jamii.

04: Kuku hutumika kwenye shughuli za ndoa kama vile kutoa mahari na pia ni kitoweo muhimu katika sherehe hizo.

05: Gharama nafuu za kuanzisha na kuendesha mradi huu.

06: Ni kitoweo rahisi na chepesi kwa wageni kuliko wanyama wakubwa

READ Also  "Tuende Home" Shalkido’s Last Moments

07: Ni kitoweo kisichohitaji hifadhi, hutumika mlo mmoja au miwili na kumalizika.

08: Kuku na mayai hutumika kwa tiba za asili.

09: Jogoo hutumika kama saa anapowika nyakati za alfajiri na majira mengine.

10: Hutuhabarisha iwapo kiumbe kigeni au cha hatari kwa mlio maalum wa kuashiria hatari.

11: Mbolea – kinyesi cha kuku kinaweza kutumika katika kurutubisha mashamba ya mazao na mabwawa ya samaki.

12: Kuendeleza kizazi cha kuku wa asili hapa nchini.

13: Soko lipo la uhakika, ukilinganisha na kuku wa kisasa kwani nyama na mayai yake hupendwa zaidi na walaji.

READ Also  How Indian Prime Minister Shri Narendra Was Welcomed In Johannesburg

14: Manyoya ya kuku hutumika kama mapambo, pia huweza kutumiaka kutengenezea mito ya kulalia na kukalia.

15: Shughuli za utafiti – kuku wanatumika katika tafiti nyingi za baiolojia, kama kutambua mambo ya lishe. Shughuli za viwandani: • • •

16: Mayai yenye mbegu ya jogoo hutumika katika kutengeneza dawa za chanjo.

17: Magamba ya mayai yanaweza kutumika katika utengenezaji wa vyakula vya wanyama.

18: Kiini cha njano cha mayai kinaweza kutumika kutengeneza mafuta ya kuoshea nywele (shampoo)..
Mapungufu ya Kuku wa Asili:

01: Hutaga mayai madogo wastani wa gm 47 ambapo kuku wa kisasa wastani wa gm 55,

READ Also  Guinea Has Officially Started Exporting Iron Ore From The Simandou Mines

02: aidha hutaga mayai machache wastani wa mayai 60 kwa mwaka ambapo kuku wa kisasa huweza kutaga hadi mayai 250 kwa mwaka. Ukuaji taratibu

03 kuku wa asili hukua taratibu kutokana na lishe duni. huchukua muda mrefu miezi sita) kufikia uzito wa kuchinjwa (kilo 1-1.5 Hali hii pia hufanya faida ya ufugaji wa kuku wa asili kuchukua muda Mrefu. Nyama yake ni ngumu (huchukua muda mrefu kuiva) ikilinganishwa up na kuku wa kisasa

Kwa Ushauri ZAIDI piga 0768876692

Milton

Professional IT expert and experienced news writer/ online marketing expert

Related Posts

Yankuba Minteh Lost The Ball 23 Times Against Nottingham Forest Despite Having Only 49 Touches

Over the season, he’s also the second-highest player in the Premier League for total ball losses, with 239. This is partly a result of his high-risk, high-reward style he constantly…

Read more

Musalia Mudavadi Meets Newly Elected MP Of Malava, David Ndakwa

Musalia Mudavadi, the Prime Cabinet Secretary (PCS), on Monday, December 1, 2025, hosted David Ndakwa, the newly-elected Member of Parliament for Malava Constituency, at his offices in Nairobi. The meeting…

Read more

You Missed

Yankuba Minteh Lost The Ball 23 Times Against Nottingham Forest Despite Having Only 49 Touches

  • By Milton
  • December 1, 2025
  • 4 views
Yankuba Minteh Lost The Ball 23 Times Against Nottingham Forest Despite Having Only 49 Touches

Musalia Mudavadi Meets Newly Elected MP Of Malava, David Ndakwa

  • By Milton
  • December 1, 2025
  • 4 views
Musalia Mudavadi Meets Newly Elected MP Of Malava, David Ndakwa

Why Ruto Will Be Meeting All Chiefs And Their Assistant Tomorrow

  • By Milton
  • December 1, 2025
  • 7 views
Why Ruto Will Be Meeting All Chiefs And Their Assistant Tomorrow

EACC Busts Ministry Of Labour Officials At JKIA For Extortion

  • By Milton
  • December 1, 2025
  • 7 views
EACC Busts Ministry Of Labour Officials At JKIA For Extortion

Good News To Kakamega Residents As Raymond Omollo Shares This

  • By Milton
  • December 1, 2025
  • 6 views
Good News To Kakamega Residents As Raymond Omollo Shares This

Trio Nabbed With Kes 1.7M Fake Cash In Diani

  • By Milton
  • November 30, 2025
  • 6 views
Trio Nabbed With Kes 1.7M Fake Cash In Diani